Uwezekano wa Magufuli kuongoza nchi kwa kipindi cha pili haupo

Uwezekano wa Magufuli kuongoza nchi kwa kipindi cha pili haupo

Na Anderson Ndambo.

Kuna mambo yanahitaji jicho la Tatu kuyaona na pengine kuyaamini. Tabia mojawapo ya siasa ni kubadilika badilika kulingana na majira na wakati kutokana na sababu za wakati husika, lakini kwa Tanzania mabadiliko haya yamekuwa na kasi kubwa mno, hicho si kitu cha kawaida, kama ambavyo Magufuli mwenyewe hakutegemea kuukwaa Urais wa Tanzania kwa kuchaguliwa kuwa mgombea wa ccm, vilevile mazingira kama yale yanaweza kubadilisha hali ya mambo na matokeo yakawa tofauti na tunavyodhani kuelekea 2020.

Rais Jakaya Kikwete aliingia madarakani kutokana na kuimarika kwa kundi lenye nguvu lililokuwa likiongozwa na Lowassa ndani ya ccm, na kwa wakati huo ndio lilikuwa kundi lenye nguvu ndani ya chama hicho (ccm) lililoweza kudhihirika na kuweza kutoa ushawishi na kulazimisha Kikwete kuingia madarakani na kundi hilo likamkaanga vikali, Salim na kumtowesha kabisa kwenye ulingo wa siasa za kitaifa ndani ya ccm na nchi kwa ujumla. Kundi hili lilianza kujijenga tangu wakati Nyerere akiwa madarakani na kimsingi lilikomaa sana wakati wa Mkapa kiasi kwamba Mkapa akashindwa kulidhibiti.

Mwaka 2015, kundi hili lilifikia hatua ya mwisho na ya juu kabisa ya kupasuka kwakwe, baada ya Kikwete ambae ni sehemu ya zao la kundi hilo kujichomoa na kumsaliti king mwenzie (Lowassa) na kutengeneza kundi jipya ndani ya ccm. Kutokana na nguvu ya Lowassa wakati ule ccm ambayo ilitokana na kundi lake la asili, kundi la Kikwete lilikuwa na wakati mgumu sana, kwasababu lilikuwa halina ukubwa na ushawishi mkubwa kama kundi ambalo kikwete amelisaliti isipokuwa tu kutokana na Ushawishi wake Kikwete kama Rais na mjumbe mzoefu alie asi na baadhi ya wajumbe wake na wote tunafahamu shughuli waliokuwa nayo walipo mkata Lowassa.

Sasa Magufuli amezaliwa kutokana na Kundi kubwa ndani ya ccm kuvunjika kwa kusalitiana na kwa bahati mbaya sana, makundi haya yote yalijikuta yako tena kwenye uwanja mmoja (ulingo wa siasa (ccm), na katikati yupo Magufuli. Kundi la Kikwete kwa sasa lina nguvu kubwa kutokana uwekezaji mkubwa wa kikwete ndani ya serikali na ccm, lakini kundi la Lowassa ni kubwa kutokana na uzito wa wajumbe wake ndani ya ccm na ushawishi wao kwa Rais magufuli. Vita inapamba moto. Na makundi yote haya mawili kwanza hayakubaliani, lakini kubwa zaidi haya mkubali Magufuli kwasababu mwenendo wa magufjli una athari zinazo fanana kwa makundi yote na timu yake. Kundi la lowassa linatumia fursa tu, na tusisahau Ndoto ya Lowassa kuongoza nchi haijafa.

Rais magufuli anadhani yuko salama, kwasababu kuna vita ya ziada kwa makundi haya mawili, anadhani kuliimarisha kundi la Lowassa kutamsaidia yeye kupita kiulaini 2020 kwasababu ya mvutano mkali utakaozidi kuimarika baina ya makundi haya mawili ambayo tayari vita hiyo imeanza kujidhihirisha hadharani baada ya matamshi ya Bashe yenye dhana ya kisasi dhidi ya watu wa kundi la Kikwete. Kitendo hiki kimemshawishi sana magufuli kwamba ataweza kuvuka kiulaini sana. Na hili linaonesha kupata mafanikio kwasababu kundi la lowassa sio tu linapewa nyadhifa sasa na magufuli bali, limeanza kuinunua vita ya magufuli na wakina musiba wanaanza kutoweka kiana.

Kinachokwenda kutokea..

1. Kwanza tuelewe, makundi haya yote yana ushawishi mkubwa ndani ya ccm kuliko magufuli mwenyewe.

2. Makundi haya yana ushawishi mkubwa ndani ya vyombo vya ulinzi na usalama kuliko magufuli mwenyewe.

3. Magufuli sio tu, hana ushawishi mkubwa kwenye vyombo vya usalama kuliko mahasimu wake, Bali hata ndani ya ccm na hata kwenye nchi (Taifa) maana watu wamemchoka kabisa, kweli Raia tumemchoka kabisa.

4. Magufuli amenza kuunda chama chake kipya ndani ya ccm (ccm mpya), inayobebwa na kundi la watu ambao hawana ushawishi wowote ndani ya ccm, hawana uzoefu wa kutosha wa kuongoza nchi, hawana mizizi mirefu ndani ya siasa za ccm, kimsingi watu hawa ni wanasiasa kwenye taswira ya magufuli (magufulisim).

Sasa, mwisho wa kukomaa kwa vita hii kubwa ya mafahari wawili, itapelekea nchi kuwa kwenye hali mbaya zaidi kiuchumi, kisiasa na kijamii. Jamii itazidi kuyajua maovu mengi yaliofichwa dhidi ya ccm, bila kujali ni ccm asilia au mpya au nani, na kimsingi jamii itakuwa imejaa chuki kubwa dhidi ya ccm yote, bila kujali huyu anatoka kundi gani, kwasababu wote hawa nje ya ccm wanajulakana kama ni ccm tu. Magufuli hatokuwa kwenye nafasi ya kufanya mambo mapya, kwasababu ya mtifuano huu na mtifuano huu ndio utakao chukua nafasi kubwa zaidi kuelekea 2020 kwenye masikio ya watu na si magfuli, kimsingi magufuli atakpjikuta anafika 2020 akiwa anachukiwa kuliko mwanzo.

Itakapofikia hapo, wakati wa kufanya maamuzi ya nani anapaswa kuivusha ccm, itategemea mshindi wa kati ya makundi haya mawili, lile la Kikwete na lile la Lowassa, na kimsingi, vyombo vya dola na usalama vitakuwa kwenye nafasi kubwa ya ushawishi ndani ya nchi na ccm yenyewe kuliko wakati wowote ule, na jamii itakuwa ikiamini zaidi kwa wapinzani, hapa ndipo maamuzi ya ama magufuli au mwingine ndani ya ccm atapaswa kuwekwa kama mgombea yanaweza sio tu kufanyika na ccm wenyewe, pengine Jeshi la nchi, na kwa vyovyote vile, jeshi la nchii kwa sisi wachambuzi wa mambo haliwezi kumruhusu magufuli kuendelea na awamu ya pili. Chakuzingatia tu, wakati huo (2020) kuna uwezekano baadhi ya watu hatutakuwa nao, kimwili au kisiasa, akiwemo Magufuli mwenyewe. Hapa ndipo namuona Lowassa akiibuka tena.

Watu wanaosema, ccm imekuwa ikifikia hatua kubwa ya mpasuko, na huweza kujinasua upya, wanasahau wakati huo, kulikuwa na kundi moja, na baadae likaongezeka hili la pili ambalo limejengeka kwenye msingi wa visasi, na sasa tuna makundi mawili yenye nguvu yasiokuwa tayari kupatana na kukaa meza moja, kitu ambacho hakijawai kutokea huko nyuma.

Hichi kinacho onekana Lowassa na Rostam kumuunga mkono Magufuli si kitu cha kufuraia sana, usishangae 2020 mgombe wa ccm akawa Edward Lowassa na sio Magufuli tunae dhani ndie. Mwelekeo wa mambo wa sasa unabadilika kwa kasi kubwa sana, na kuna kila dalili za ccm kufikia tamati, ijapokuwa kweye mazingira tata sana. Lowassa ni mzuri sana kwenye kuficha na kulinda hadhi yake yeye binafsi. Mwaka 2015 kuna utafiti ulionesha ndie amgombea pekee aliekuwa na ushawishi mkubwa kuliko wanasiasa wengine kwa tofauti ya asilimia 11 akifuatiwa na Dr. Slaa. Huu ni ushawishi binafsi bila chama. Na kimsingi anajua jinsi ya kuwatumia wengine, na ana watu wenye weledi mkubwa kwenye kumlinda tofauti na magufuli anaetetewa na vichaa kama musiba.

Naendelea kutoa ushauri kwa vijana wa ccm, kujaribu kuchagua upande sahihi mapema na sio kukesha kupyauka, leo unamtukana huyu, kesho unamtukana yule, mwisho unajikuta unatakiwa kumsifia mtu uliemtukana jana, utasimamaje? Vijana muwe wenye hekima sana, na pengine mjitaidi kunyamaza kimya, unaedhani ana nguvu leo, kesho unaweza kumkuta ni laini kama siagi......kuni zinawaka moto sana....

A. Ndambo
Umechambua vizuri ila katikati ukaingiza ushabiki wako wa kivyama, umeweka vitu ambavyo kiuhalisia havipo. Mtu kama Lowassa huwezi kumpa nguvu za kisiasa ulizompa, hana tena amezipotezea upinzani. Ila ni kweli waliokua wanamuunga mkono wapo lakini walishabadilisha uelekeo kwenda kwa magu. Kundi la kina kikwete lipo lakini ni kama vile limeparalyse, wamebaki wanatapatapa tu kwa maneno, vijembe kama yanayoendelea sasa, lakini hawana ushawishi wowote wa maamuzi kwenye chama.

Magufuli ambae umetaka kutuaminisha kwamba hana nguvu yoyote, kiuhalisia ndo ameshika mpini mpaka 2025. Hivi Mwenyekiti wa chama unakuaje eti huna nguvu kwenye chama. Sekretariati yote ya chama iko chini yako na umeichagua mwenyewe. Isitoshe Serikali unaiongoza wewe. Kwahiyo, maamuzi yote yanayohusu chama na Serikali yeye ndo anayacontrol. Halafu anawezaje asichaguliwe kuongoza kipindi cha pili eti kwa nguvu ya watu wasio na mamlaka. Hebu tuondolee hizi porojo.
 
Vituko havitaisha
Na Anderson Ndambo.

Kuna mambo yanahitaji jicho la Tatu kuyaona na pengine kuyaamini. Tabia mojawapo ya siasa ni kubadilika badilika kulingana na majira na wakati kutokana na sababu za wakati husika, lakini kwa Tanzania mabadiliko haya yamekuwa na kasi kubwa mno, hicho si kitu cha kawaida, kama ambavyo Magufuli mwenyewe hakutegemea kuukwaa Urais wa Tanzania kwa kuchaguliwa kuwa mgombea wa ccm, vilevile mazingira kama yale yanaweza kubadilisha hali ya mambo na matokeo yakawa tofauti na tunavyodhani kuelekea 2020.

Rais Jakaya Kikwete aliingia madarakani kutokana na kuimarika kwa kundi lenye nguvu lililokuwa likiongozwa na Lowassa ndani ya ccm, na kwa wakati huo ndio lilikuwa kundi lenye nguvu ndani ya chama hicho (ccm) lililoweza kudhihirika na kuweza kutoa ushawishi na kulazimisha Kikwete kuingia madarakani na kundi hilo likamkaanga vikali, Salim na kumtowesha kabisa kwenye ulingo wa siasa za kitaifa ndani ya ccm na nchi kwa ujumla. Kundi hili lilianza kujijenga tangu wakati Nyerere akiwa madarakani na kimsingi lilikomaa sana wakati wa Mkapa kiasi kwamba Mkapa akashindwa kulidhibiti.

Mwaka 2015, kundi hili lilifikia hatua ya mwisho na ya juu kabisa ya kupasuka kwakwe, baada ya Kikwete ambae ni sehemu ya zao la kundi hilo kujichomoa na kumsaliti king mwenzie (Lowassa) na kutengeneza kundi jipya ndani ya ccm. Kutokana na nguvu ya Lowassa wakati ule ccm ambayo ilitokana na kundi lake la asili, kundi la Kikwete lilikuwa na wakati mgumu sana, kwasababu lilikuwa halina ukubwa na ushawishi mkubwa kama kundi ambalo kikwete amelisaliti isipokuwa tu kutokana na Ushawishi wake Kikwete kama Rais na mjumbe mzoefu alie asi na baadhi ya wajumbe wake na wote tunafahamu shughuli waliokuwa nayo walipo mkata Lowassa.

Sasa Magufuli amezaliwa kutokana na Kundi kubwa ndani ya ccm kuvunjika kwa kusalitiana na kwa bahati mbaya sana, makundi haya yote yalijikuta yako tena kwenye uwanja mmoja (ulingo wa siasa (ccm), na katikati yupo Magufuli. Kundi la Kikwete kwa sasa lina nguvu kubwa kutokana uwekezaji mkubwa wa kikwete ndani ya serikali na ccm, lakini kundi la Lowassa ni kubwa kutokana na uzito wa wajumbe wake ndani ya ccm na ushawishi wao kwa Rais magufuli. Vita inapamba moto. Na makundi yote haya mawili kwanza hayakubaliani, lakini kubwa zaidi haya mkubali Magufuli kwasababu mwenendo wa magufjli una athari zinazo fanana kwa makundi yote na timu yake. Kundi la lowassa linatumia fursa tu, na tusisahau Ndoto ya Lowassa kuongoza nchi haijafa.

Rais magufuli anadhani yuko salama, kwasababu kuna vita ya ziada kwa makundi haya mawili, anadhani kuliimarisha kundi la Lowassa kutamsaidia yeye kupita kiulaini 2020 kwasababu ya mvutano mkali utakaozidi kuimarika baina ya makundi haya mawili ambayo tayari vita hiyo imeanza kujidhihirisha hadharani baada ya matamshi ya Bashe yenye dhana ya kisasi dhidi ya watu wa kundi la Kikwete. Kitendo hiki kimemshawishi sana magufuli kwamba ataweza kuvuka kiulaini sana. Na hili linaonesha kupata mafanikio kwasababu kundi la lowassa sio tu linapewa nyadhifa sasa na magufuli bali, limeanza kuinunua vita ya magufuli na wakina musiba wanaanza kutoweka kiana.

Kinachokwenda kutokea..

1. Kwanza tuelewe, makundi haya yote yana ushawishi mkubwa ndani ya ccm kuliko magufuli mwenyewe.

2. Makundi haya yana ushawishi mkubwa ndani ya vyombo vya ulinzi na usalama kuliko magufuli mwenyewe.

3. Magufuli sio tu, hana ushawishi mkubwa kwenye vyombo vya usalama kuliko mahasimu wake, Bali hata ndani ya ccm na hata kwenye nchi (Taifa) maana watu wamemchoka kabisa, kweli Raia tumemchoka kabisa.

4. Magufuli amenza kuunda chama chake kipya ndani ya ccm (ccm mpya), inayobebwa na kundi la watu ambao hawana ushawishi wowote ndani ya ccm, hawana uzoefu wa kutosha wa kuongoza nchi, hawana mizizi mirefu ndani ya siasa za ccm, kimsingi watu hawa ni wanasiasa kwenye taswira ya magufuli (magufulisim).

Sasa, mwisho wa kukomaa kwa vita hii kubwa ya mafahari wawili, itapelekea nchi kuwa kwenye hali mbaya zaidi kiuchumi, kisiasa na kijamii. Jamii itazidi kuyajua maovu mengi yaliofichwa dhidi ya ccm, bila kujali ni ccm asilia au mpya au nani, na kimsingi jamii itakuwa imejaa chuki kubwa dhidi ya ccm yote, bila kujali huyu anatoka kundi gani, kwasababu wote hawa nje ya ccm wanajulakana kama ni ccm tu. Magufuli hatokuwa kwenye nafasi ya kufanya mambo mapya, kwasababu ya mtifuano huu na mtifuano huu ndio utakao chukua nafasi kubwa zaidi kuelekea 2020 kwenye masikio ya watu na si magfuli, kimsingi magufuli atakpjikuta anafika 2020 akiwa anachukiwa kuliko mwanzo.

Itakapofikia hapo, wakati wa kufanya maamuzi ya nani anapaswa kuivusha ccm, itategemea mshindi wa kati ya makundi haya mawili, lile la Kikwete na lile la Lowassa, na kimsingi, vyombo vya dola na usalama vitakuwa kwenye nafasi kubwa ya ushawishi ndani ya nchi na ccm yenyewe kuliko wakati wowote ule, na jamii itakuwa ikiamini zaidi kwa wapinzani, hapa ndipo maamuzi ya ama magufuli au mwingine ndani ya ccm atapaswa kuwekwa kama mgombea yanaweza sio tu kufanyika na ccm wenyewe, pengine Jeshi la nchi, na kwa vyovyote vile, jeshi la nchii kwa sisi wachambuzi wa mambo haliwezi kumruhusu magufuli kuendelea na awamu ya pili. Chakuzingatia tu, wakati huo (2020) kuna uwezekano baadhi ya watu hatutakuwa nao, kimwili au kisiasa, akiwemo Magufuli mwenyewe. Hapa ndipo namuona Lowassa akiibuka tena.

Watu wanaosema, ccm imekuwa ikifikia hatua kubwa ya mpasuko, na huweza kujinasua upya, wanasahau wakati huo, kulikuwa na kundi moja, na baadae likaongezeka hili la pili ambalo limejengeka kwenye msingi wa visasi, na sasa tuna makundi mawili yenye nguvu yasiokuwa tayari kupatana na kukaa meza moja, kitu ambacho hakijawai kutokea huko nyuma.

Hichi kinacho onekana Lowassa na Rostam kumuunga mkono Magufuli si kitu cha kufuraia sana, usishangae 2020 mgombe wa ccm akawa Edward Lowassa na sio Magufuli tunae dhani ndie. Mwelekeo wa mambo wa sasa unabadilika kwa kasi kubwa sana, na kuna kila dalili za ccm kufikia tamati, ijapokuwa kweye mazingira tata sana. Lowassa ni mzuri sana kwenye kuficha na kulinda hadhi yake yeye binafsi. Mwaka 2015 kuna utafiti ulionesha ndie amgombea pekee aliekuwa na ushawishi mkubwa kuliko wanasiasa wengine kwa tofauti ya asilimia 11 akifuatiwa na Dr. Slaa. Huu ni ushawishi binafsi bila chama. Na kimsingi anajua jinsi ya kuwatumia wengine, na ana watu wenye weledi mkubwa kwenye kumlinda tofauti na magufuli anaetetewa na vichaa kama musiba.

Naendelea kutoa ushauri kwa vijana wa ccm, kujaribu kuchagua upande sahihi mapema na sio kukesha kupyauka, leo unamtukana huyu, kesho unamtukana yule, mwisho unajikuta unatakiwa kumsifia mtu uliemtukana jana, utasimamaje? Vijana muwe wenye hekima sana, na pengine mjitaidi kunyamaza kimya, ui zinawaka moto sana....

A. Ndambo
Vituko havitaisha duniani.
 
Na Anderson Ndambo.

Kuna mambo yanahitaji jicho la Tatu kuyaona na pengine kuyaamini. Tabia mojawapo ya siasa ni kubadilika badilika kulingana na majira na wakati kutokana na sababu za wakati husika, lakini kwa Tanzania mabadiliko haya yamekuwa na kasi kubwa mno, hicho si kitu cha kawaida, kama ambavyo Magufuli mwenyewe hakutegemea kuukwaa Urais wa Tanzania kwa kuchaguliwa kuwa mgombea wa ccm, vilevile mazingira kama yale yanaweza kubadilisha hali ya mambo na matokeo yakawa tofauti na tunavyodhani kuelekea 2020.

Rais Jakaya Kikwete aliingia madarakani kutokana na kuimarika kwa kundi lenye nguvu lililokuwa likiongozwa na Lowassa ndani ya ccm, na kwa wakati huo ndio lilikuwa kundi lenye nguvu ndani ya chama hicho (ccm) lililoweza kudhihirika na kuweza kutoa ushawishi na kulazimisha Kikwete kuingia madarakani na kundi hilo likamkaanga vikali, Salim na kumtowesha kabisa kwenye ulingo wa siasa za kitaifa ndani ya ccm na nchi kwa ujumla. Kundi hili lilianza kujijenga tangu wakati Nyerere akiwa madarakani na kimsingi lilikomaa sana wakati wa Mkapa kiasi kwamba Mkapa akashindwa kulidhibiti.

Mwaka 2015, kundi hili lilifikia hatua ya mwisho na ya juu kabisa ya kupasuka kwakwe, baada ya Kikwete ambae ni sehemu ya zao la kundi hilo kujichomoa na kumsaliti king mwenzie (Lowassa) na kutengeneza kundi jipya ndani ya ccm. Kutokana na nguvu ya Lowassa wakati ule ccm ambayo ilitokana na kundi lake la asili, kundi la Kikwete lilikuwa na wakati mgumu sana, kwasababu lilikuwa halina ukubwa na ushawishi mkubwa kama kundi ambalo kikwete amelisaliti isipokuwa tu kutokana na Ushawishi wake Kikwete kama Rais na mjumbe mzoefu alie asi na baadhi ya wajumbe wake na wote tunafahamu shughuli waliokuwa nayo walipo mkata Lowassa.

Sasa Magufuli amezaliwa kutokana na Kundi kubwa ndani ya ccm kuvunjika kwa kusalitiana na kwa bahati mbaya sana, makundi haya yote yalijikuta yako tena kwenye uwanja mmoja (ulingo wa siasa (ccm), na katikati yupo Magufuli. Kundi la Kikwete kwa sasa lina nguvu kubwa kutokana uwekezaji mkubwa wa kikwete ndani ya serikali na ccm, lakini kundi la Lowassa ni kubwa kutokana na uzito wa wajumbe wake ndani ya ccm na ushawishi wao kwa Rais magufuli. Vita inapamba moto. Na makundi yote haya mawili kwanza hayakubaliani, lakini kubwa zaidi haya mkubali Magufuli kwasababu mwenendo wa magufjli una athari zinazo fanana kwa makundi yote na timu yake. Kundi la lowassa linatumia fursa tu, na tusisahau Ndoto ya Lowassa kuongoza nchi haijafa.

Rais magufuli anadhani yuko salama, kwasababu kuna vita ya ziada kwa makundi haya mawili, anadhani kuliimarisha kundi la Lowassa kutamsaidia yeye kupita kiulaini 2020 kwasababu ya mvutano mkali utakaozidi kuimarika baina ya makundi haya mawili ambayo tayari vita hiyo imeanza kujidhihirisha hadharani baada ya matamshi ya Bashe yenye dhana ya kisasi dhidi ya watu wa kundi la Kikwete. Kitendo hiki kimemshawishi sana magufuli kwamba ataweza kuvuka kiulaini sana. Na hili linaonesha kupata mafanikio kwasababu kundi la lowassa sio tu linapewa nyadhifa sasa na magufuli bali, limeanza kuinunua vita ya magufuli na wakina musiba wanaanza kutoweka kiana.

Kinachokwenda kutokea..

1. Kwanza tuelewe, makundi haya yote yana ushawishi mkubwa ndani ya ccm kuliko magufuli mwenyewe.

2. Makundi haya yana ushawishi mkubwa ndani ya vyombo vya ulinzi na usalama kuliko magufuli mwenyewe.

3. Magufuli sio tu, hana ushawishi mkubwa kwenye vyombo vya usalama kuliko mahasimu wake, Bali hata ndani ya ccm na hata kwenye nchi (Taifa) maana watu wamemchoka kabisa, kweli Raia tumemchoka kabisa.

4. Magufuli amenza kuunda chama chake kipya ndani ya ccm (ccm mpya), inayobebwa na kundi la watu ambao hawana ushawishi wowote ndani ya ccm, hawana uzoefu wa kutosha wa kuongoza nchi, hawana mizizi mirefu ndani ya siasa za ccm, kimsingi watu hawa ni wanasiasa kwenye taswira ya magufuli (magufulisim).

Sasa, mwisho wa kukomaa kwa vita hii kubwa ya mafahari wawili, itapelekea nchi kuwa kwenye hali mbaya zaidi kiuchumi, kisiasa na kijamii. Jamii itazidi kuyajua maovu mengi yaliofichwa dhidi ya ccm, bila kujali ni ccm asilia au mpya au nani, na kimsingi jamii itakuwa imejaa chuki kubwa dhidi ya ccm yote, bila kujali huyu anatoka kundi gani, kwasababu wote hawa nje ya ccm wanajulakana kama ni ccm tu. Magufuli hatokuwa kwenye nafasi ya kufanya mambo mapya, kwasababu ya mtifuano huu na mtifuano huu ndio utakao chukua nafasi kubwa zaidi kuelekea 2020 kwenye masikio ya watu na si magfuli, kimsingi magufuli atakpjikuta anafika 2020 akiwa anachukiwa kuliko mwanzo.

Itakapofikia hapo, wakati wa kufanya maamuzi ya nani anapaswa kuivusha ccm, itategemea mshindi wa kati ya makundi haya mawili, lile la Kikwete na lile la Lowassa, na kimsingi, vyombo vya dola na usalama vitakuwa kwenye nafasi kubwa ya ushawishi ndani ya nchi na ccm yenyewe kuliko wakati wowote ule, na jamii itakuwa ikiamini zaidi kwa wapinzani, hapa ndipo maamuzi ya ama magufuli au mwingine ndani ya ccm atapaswa kuwekwa kama mgombea yanaweza sio tu kufanyika na ccm wenyewe, pengine Jeshi la nchi, na kwa vyovyote vile, jeshi la nchii kwa sisi wachambuzi wa mambo haliwezi kumruhusu magufuli kuendelea na awamu ya pili. Chakuzingatia tu, wakati huo (2020) kuna uwezekano baadhi ya watu hatutakuwa nao, kimwili au kisiasa, akiwemo Magufuli mwenyewe. Hapa ndipo namuona Lowassa akiibuka tena.

Watu wanaosema, ccm imekuwa ikifikia hatua kubwa ya mpasuko, na huweza kujinasua upya, wanasahau wakati huo, kulikuwa na kundi moja, na baadae likaongezeka hili la pili ambalo limejengeka kwenye msingi wa visasi, na sasa tuna makundi mawili yenye nguvu yasiokuwa tayari kupatana na kukaa meza moja, kitu ambacho hakijawai kutokea huko nyuma.

Hichi kinacho onekana Lowassa na Rostam kumuunga mkono Magufuli si kitu cha kufuraia sana, usishangae 2020 mgombe wa ccm akawa Edward Lowassa na sio Magufuli tunae dhani ndie. Mwelekeo wa mambo wa sasa unabadilika kwa kasi kubwa sana, na kuna kila dalili za ccm kufikia tamati, ijapokuwa kweye mazingira tata sana. Lowassa ni mzuri sana kwenye kuficha na kulinda hadhi yake yeye binafsi. Mwaka 2015 kuna utafiti ulionesha ndie amgombea pekee aliekuwa na ushawishi mkubwa kuliko wanasiasa wengine kwa tofauti ya asilimia 11 akifuatiwa na Dr. Slaa. Huu ni ushawishi binafsi bila chama. Na kimsingi anajua jinsi ya kuwatumia wengine, na ana watu wenye weledi mkubwa kwenye kumlinda tofauti na magufuli anaetetewa na vichaa kama musiba.

Naendelea kutoa ushauri kwa vijana wa ccm, kujaribu kuchagua upande sahihi mapema na sio kukesha kupyauka, leo unamtukana huyu, kesho unamtukana yule, mwisho unajikuta unatakiwa kumsifia mtu uliemtukana jana, utasimamaje? Vijana muwe wenye hekima sana, na pengine mjitaidi kunyamaza kimya, unaedhani ana nguvu leo, kesho unaweza kumkuta ni laini kama siagi......kuni zinawaka moto sana....

A. Ndambo
Mkuu naamini kabisa kwamba kundi la Lowassa bado linataka nafasi yake kweli?
 
Kitu kimoja hapo ulichosahau makusudi kabisa ni kuwa unaelewa Mzee Lowassa anaumwa, na unajua kabisa kwa hali yake hawezi gombea na hawezi mikiki tena ya kuzunguka kwa campaign! Kundi la kikwete naona wakina Januar Makamba kuna Membe wako front lkn upande wa Lowassa sioni aliye mbele zaidi yake Lowassa mwenyewe, ila ukweli ni kwamba kwa sasa kundi la mkwere litapitia misukosuko na Rais ataibuka na kundi lake na kusonga 2020 ila come 2022 hapo ndo minyukano itakuwa ya ukweli haswa kwa kuwa kutakuwa hakuna kuogopana it will be war kundi la Lowassa, kundi la Mkwere na kundi la ccm mpya bila kusahau na wastaafu nao sijui wataangukia kundi gani!
 
Duh! Wewe ndio umechemka kabisa kumleta Ngoyai kwenye equation. Mtu ambaye yuko 'ICU' anawezaje kweli kugombea Urais?
Labda hujaona clipp yake ya hivi karibuni... Ngoyai keshajichokea. The best for him now ni kujiandaa kiroho kwa safari inayofuata...

Umeni pre-empty! Kwa vyovyote iwavyo tutaenda na JPM tena 2020
 
Mtupumzishe na huyo Lowasa na hadithi zake.
Alisema ataondoka CCM na kundi la watu hilo likashindikana.
Akawaambia Chadema wapige kura hayo mengine wamwachie na penyewe kashindwa.
Afya yake si nzuri, labda mtuibie kura vya kutosha ndio atashinda.

Tanzania kuna nguvu mbili tu, nguvu ya dola na nguvu ya wananchi. Nguvu ya wananchi imeonyesha mahali mahali kufukuta na ndiyo anko kakomaa kuififisha sasa mbabe ni mmoja tu.
Labda pepo zivume wananchi wakurupuke mambo yaende.
Ila mpaka sasa wanasiasa wenyewe wanajikomba kwenye nguvu dola maana wananchi hawana turufu.
Mkuu "you nailed it" lakini ktk hizo nguvu umesahau na nguvu za Mungu, so kwa mtazamo wangu ziko nguvu tatu:
- Nguvu ya Mungu.
- Nguvu ya Wananchi.
- Nguvu ya Dola.
 
Sioni namna ambavyo aliyeko madarakani hivi sasa na ni kiongozi wa chama eti aenguliwe halafu aingie mgombea mwingine aliyeshindwa uchaguzi wa 2015.CCM ya sasa inajisafisha na kuondoa madoa, mengine yanajiondoa yenyewe. Ukiisha fika uzee na wakati mwingine hata kabla ya uzee,mwili ukaonyesha kila dalili za kuchoka, busara inaelekeza utafute ufalme wa mbingu. Namuunga mkono Magufuli amalize kutekeleza kazi ambazo Mungu amempa kwa ajili ya taifa letu na Mungu hajipingi. Huyu anahitaji zaidi kuombewa na kushauriwa kwani kama binadamu ana mapungufu yake. Analysis imekosa mwanga wa Mungu.
 
Wananchi wanaitaji mabadiriko ya katiba mpya atakaye fanya hivyo atapendwa na watanzania wote .Lakini kushabikia utawala wa kuendeleza himaya ya chama kimoja itakuwa shida .Mawazo ya nani atatawala baada ya kiongozi aliyepo sasa sio kipaumbele cha watanzania kwa sasa.Hata hao wanaopendekezwa wakina Lowasa ,Slaa hawana mvuto tena maana siasa ni upepo unabadirika wakati wowote.
 
Bwana Yesu rudi ulimwenguni mambo yamebadilika kila mtu anapataka ikulu sijui kuna biashara gani hapo inayogombewa Baba mwokozi?
 
Magufuli akiongoza muhula mmoja atakuwa amejijengea heshimu kubwa ndani na nje ya nchi. Kinyume na hapo ataondoka nyumba ya chokaa kwa aibu.


Wanzuki oyeeeeeee
 
Hayo makundi ni ya aina gani, maana Mzee Edward alipoondoka mbona hakuna kundi lililomfuata?

Hayo makundi ni ya maslahi tu, ni ya wakati wa kula tu wakati wa njaa humuoni Mtu.
Inajulikana kabisa duniani na mbinguni Rais Magufuli ataendelea kuongoza kwa kipindi kingine cha miaka 5. Hawa wanaosema ataongoza kwa kipindi kimoja tu ni wehu.
 
Paschal Mayalla aione hii kwenye file


Na Anderson Ndambo.

Kuna mambo yanahitaji jicho la Tatu kuyaona na pengine kuyaamini. Tabia mojawapo ya siasa ni kubadilika badilika kulingana na majira na wakati kutokana na sababu za wakati husika, lakini kwa Tanzania mabadiliko haya yamekuwa na kasi kubwa mno, hicho si kitu cha kawaida, kama ambavyo Magufuli mwenyewe hakutegemea kuukwaa Urais wa Tanzania kwa kuchaguliwa kuwa mgombea wa ccm, vilevile mazingira kama yale yanaweza kubadilisha hali ya mambo na matokeo yakawa tofauti na tunavyodhani kuelekea 2020.

Rais Jakaya Kikwete aliingia madarakani kutokana na kuimarika kwa kundi lenye nguvu lililokuwa likiongozwa na Lowassa ndani ya ccm, na kwa wakati huo ndio lilikuwa kundi lenye nguvu ndani ya chama hicho (ccm) lililoweza kudhihirika na kuweza kutoa ushawishi na kulazimisha Kikwete kuingia madarakani na kundi hilo likamkaanga vikali, Salim na kumtowesha kabisa kwenye ulingo wa siasa za kitaifa ndani ya ccm na nchi kwa ujumla. Kundi hili lilianza kujijenga tangu wakati Nyerere akiwa madarakani na kimsingi lilikomaa sana wakati wa Mkapa kiasi kwamba Mkapa akashindwa kulidhibiti.

Mwaka 2015, kundi hili lilifikia hatua ya mwisho na ya juu kabisa ya kupasuka kwakwe, baada ya Kikwete ambae ni sehemu ya zao la kundi hilo kujichomoa na kumsaliti king mwenzie (Lowassa) na kutengeneza kundi jipya ndani ya ccm. Kutokana na nguvu ya Lowassa wakati ule ccm ambayo ilitokana na kundi lake la asili, kundi la Kikwete lilikuwa na wakati mgumu sana, kwasababu lilikuwa halina ukubwa na ushawishi mkubwa kama kundi ambalo kikwete amelisaliti isipokuwa tu kutokana na Ushawishi wake Kikwete kama Rais na mjumbe mzoefu alie asi na baadhi ya wajumbe wake na wote tunafahamu shughuli waliokuwa nayo walipo mkata Lowassa.

Sasa Magufuli amezaliwa kutokana na Kundi kubwa ndani ya ccm kuvunjika kwa kusalitiana na kwa bahati mbaya sana, makundi haya yote yalijikuta yako tena kwenye uwanja mmoja (ulingo wa siasa (ccm), na katikati yupo Magufuli. Kundi la Kikwete kwa sasa lina nguvu kubwa kutokana uwekezaji mkubwa wa kikwete ndani ya serikali na ccm, lakini kundi la Lowassa ni kubwa kutokana na uzito wa wajumbe wake ndani ya ccm na ushawishi wao kwa Rais magufuli. Vita inapamba moto. Na makundi yote haya mawili kwanza hayakubaliani, lakini kubwa zaidi haya mkubali Magufuli kwasababu mwenendo wa magufjli una athari zinazo fanana kwa makundi yote na timu yake. Kundi la lowassa linatumia fursa tu, na tusisahau Ndoto ya Lowassa kuongoza nchi haijafa.

Rais magufuli anadhani yuko salama, kwasababu kuna vita ya ziada kwa makundi haya mawili, anadhani kuliimarisha kundi la Lowassa kutamsaidia yeye kupita kiulaini 2020 kwasababu ya mvutano mkali utakaozidi kuimarika baina ya makundi haya mawili ambayo tayari vita hiyo imeanza kujidhihirisha hadharani baada ya matamshi ya Bashe yenye dhana ya kisasi dhidi ya watu wa kundi la Kikwete. Kitendo hiki kimemshawishi sana magufuli kwamba ataweza kuvuka kiulaini sana. Na hili linaonesha kupata mafanikio kwasababu kundi la lowassa sio tu linapewa nyadhifa sasa na magufuli bali, limeanza kuinunua vita ya magufuli na wakina musiba wanaanza kutoweka kiana.

Kinachokwenda kutokea..

1. Kwanza tuelewe, makundi haya yote yana ushawishi mkubwa ndani ya ccm kuliko magufuli mwenyewe.

2. Makundi haya yana ushawishi mkubwa ndani ya vyombo vya ulinzi na usalama kuliko magufuli mwenyewe.

3. Magufuli sio tu, hana ushawishi mkubwa kwenye vyombo vya usalama kuliko mahasimu wake, Bali hata ndani ya ccm na hata kwenye nchi (Taifa) maana watu wamemchoka kabisa, kweli Raia tumemchoka kabisa.

4. Magufuli amenza kuunda chama chake kipya ndani ya ccm (ccm mpya), inayobebwa na kundi la watu ambao hawana ushawishi wowote ndani ya ccm, hawana uzoefu wa kutosha wa kuongoza nchi, hawana mizizi mirefu ndani ya siasa za ccm, kimsingi watu hawa ni wanasiasa kwenye taswira ya magufuli (magufulisim).

Sasa, mwisho wa kukomaa kwa vita hii kubwa ya mafahari wawili, itapelekea nchi kuwa kwenye hali mbaya zaidi kiuchumi, kisiasa na kijamii. Jamii itazidi kuyajua maovu mengi yaliofichwa dhidi ya ccm, bila kujali ni ccm asilia au mpya au nani, na kimsingi jamii itakuwa imejaa chuki kubwa dhidi ya ccm yote, bila kujali huyu anatoka kundi gani, kwasababu wote hawa nje ya ccm wanajulakana kama ni ccm tu. Magufuli hatokuwa kwenye nafasi ya kufanya mambo mapya, kwasababu ya mtifuano huu na mtifuano huu ndio utakao chukua nafasi kubwa zaidi kuelekea 2020 kwenye masikio ya watu na si magfuli, kimsingi magufuli atakpjikuta anafika 2020 akiwa anachukiwa kuliko mwanzo.

Itakapofikia hapo, wakati wa kufanya maamuzi ya nani anapaswa kuivusha ccm, itategemea mshindi wa kati ya makundi haya mawili, lile la Kikwete na lile la Lowassa, na kimsingi, vyombo vya dola na usalama vitakuwa kwenye nafasi kubwa ya ushawishi ndani ya nchi na ccm yenyewe kuliko wakati wowote ule, na jamii itakuwa ikiamini zaidi kwa wapinzani, hapa ndipo maamuzi ya ama magufuli au mwingine ndani ya ccm atapaswa kuwekwa kama mgombea yanaweza sio tu kufanyika na ccm wenyewe, pengine Jeshi la nchi, na kwa vyovyote vile, jeshi la nchii kwa sisi wachambuzi wa mambo haliwezi kumruhusu magufuli kuendelea na awamu ya pili. Chakuzingatia tu, wakati huo (2020) kuna uwezekano baadhi ya watu hatutakuwa nao, kimwili au kisiasa, akiwemo Magufuli mwenyewe. Hapa ndipo namuona Lowassa akiibuka tena.

Watu wanaosema, ccm imekuwa ikifikia hatua kubwa ya mpasuko, na huweza kujinasua upya, wanasahau wakati huo, kulikuwa na kundi moja, na baadae likaongezeka hili la pili ambalo limejengeka kwenye msingi wa visasi, na sasa tuna makundi mawili yenye nguvu yasiokuwa tayari kupatana na kukaa meza moja, kitu ambacho hakijawai kutokea huko nyuma.

Hichi kinacho onekana Lowassa na Rostam kumuunga mkono Magufuli si kitu cha kufuraia sana, usishangae 2020 mgombe wa ccm akawa Edward Lowassa na sio Magufuli tunae dhani ndie. Mwelekeo wa mambo wa sasa unabadilika kwa kasi kubwa sana, na kuna kila dalili za ccm kufikia tamati, ijapokuwa kweye mazingira tata sana. Lowassa ni mzuri sana kwenye kuficha na kulinda hadhi yake yeye binafsi. Mwaka 2015 kuna utafiti ulionesha ndie amgombea pekee aliekuwa na ushawishi mkubwa kuliko wanasiasa wengine kwa tofauti ya asilimia 11 akifuatiwa na Dr. Slaa. Huu ni ushawishi binafsi bila chama. Na kimsingi anajua jinsi ya kuwatumia wengine, na ana watu wenye weledi mkubwa kwenye kumlinda tofauti na magufuli anaetetewa na vichaa kama musiba.

Naendelea kutoa ushauri kwa vijana wa ccm, kujaribu kuchagua upande sahihi mapema na sio kukesha kupyauka, leo unamtukana huyu, kesho unamtukana yule, mwisho unajikuta unatakiwa kumsifia mtu uliemtukana jana, utasimamaje? Vijana muwe wenye hekima sana, na pengine mjitaidi kunyamaza kimya, unaedhani ana nguvu leo, kesho unaweza kumkuta ni laini kama siagi......kuni zinawaka moto sana....

A. Ndambo
 
Vitu vingine ni ndoto tuu za mchana, unaamua usichangie ili tuu kuheshimu mawazo ya watu. Utaratibu wa CCM kuhusu the incumbent president unajulikana, who would dare do anything?. Kinana, Makamba,Membe, Nape na January they are history!, they are things of the past, kama yalivyo ...ya jana, hayanuki!. Hakuna mtu CCM alikuwa na nguvu na wafuasi kama Lowassa, alipoondoka, aliondoka peke yake na watu wake wachache na hakukimega chama, hivyo wengine wote they are almost nothing.
P
By the way eti ya kweli haya.. nimeikuta sehemu.

"Serikali Na Kampuni Ya Barrick Wamekubaliana Kuwa Bunge La Tanzania Halitaruhusiwa Kutunga Sheria Yeyote Ambayo Itabadili Makubaliano Yao Na Kodi Zote Zilizokuwa Zinafanya Kazi Wakati Wa Kuingia Makubaliano Hazitaweza Kubadilishwa Kipindi Chote Ambacho Barrick Watakuwa Tanzania."
 
Mwenye uhakika wa kushinda kwa asilimia zote kama atasimamishwa na CCM ni Dr slaa peke yake wengine wasubiri kulambishwa mchanga na CCM yao iliosheheni majizi na mafisadi.

Kwa hiyari yao wenyewe pasipokulazimishwa na mtu yeyote,waliunda tume ya kuchunguza wizi wa mali za chama chao,halafu wanaionea aibu wenyewe kuitoa hadharani kwa kuwa imejaa uchafu mtupu, wameigeuza kuwakitisho cha kuwatishia wanaccm wenzao wanaowakosoa kama hawataacha kuwakosoa wataitoa hadharani ili wananchi waone jinsi walivyo wezi.
 
MWANDISHI HUNA AKILI, UNAOTA NDOTO MCHANA KWEUPEEEEE.. JPMS 2020 ATASHINDA ZAID YA 80%
 
Walianza kusema ni nguvu ya soda tu wanampa mwaka mmoja atakua ameshalegea sasa mwaka wa nne mwendo ni ule ule,ni yetu macho tu
 
Back
Top Bottom