Uwezo mdogo wa kufikilia na tamaa ndio kikwazo kikubwa cha wajenzi wetu

Uwezo mdogo wa kufikilia na tamaa ndio kikwazo kikubwa cha wajenzi wetu

Mbongo4life

Senior Member
Joined
Nov 1, 2021
Posts
132
Reaction score
270
Mafundi wa Tanzania bado wanasafari ndefu sana ya kujifunza kutoka kwa mafundi wa nje . Mashundi wetu wanapenda sana short cut na kona … ukiwapa mwanya kidogo tu wanakuibia vifaa vya ujenzi , wanajenga kwa kuripua yaani ili mradi tu .

Hawana uhadirifu kabisa sasa mtu atafute pesa ya kuwalipa na bado awepo site muda wote ili kulinda ubora wa kazi na vifaa. Wangekuwa na akili wangejua kwamba ukitaka kufanikia jambo la kwanza ni uhadirifu, ukiwa muhadilifu kila utakayemfanyia kazi ataku-refer kwa wengine so more jobs and more money lakini sasa kama lazima nikuchunge muda wote unazani naweza kumshauri mtu mwingine akutumie?
 
Hii kasumba yetu wote sijui WaTz au Waafrika au ngozi nyeusi!! Kupiga wengine matukio inaonekana kuwa ujanja kumbe ushamba tu na kujiharibia! Ndomana hatuendelei!!
Mimi naishi nje ya nchi mwezi uliopita nilijenga uzio wa kiwanja huko kigamboni nilitumia 22millions kwa kiwanja cha 1000sqm huo uzio nilioonyeshwa yaani natamani hata niubomoe kabisa
 
Mimi naishi nje ya nchi mwezi uliopita nilijenga uzio wa kiwanja huko kigamboni nilitumia 22millions kwa kiwanja cha 1000sqm huo uzio nilioonyeshwa yaani natamani hata niubomoe kabisa
Mkuu inaweza kufika au umeibiwa kidogo sana, saa zingine muonekano ni uwezo wa mjenzi au mbunifu sio lazima iwe wizi.
 
Mkuu inaweza kufika au umeibiwa kidogo sana, saa zingine muonekano ni uwezo wa mjenzi au mbunifu sio lazima iwe wizi.
Kinachoniudhi sio wizi inawezekana kabisa ikawa hivyo maana hiyo ndio ilikuwa bajeti kinachoudhi ni kazi kutokamilika pili ubora wa chini kabisa wa kazi ndio iliyoniudhi zaidi
 
Kinachoniudhi sio wizi inawezekana kabisa ikawa hivyo maana hiyo ndio ilikuwa bajeti kinachoudhi ni kazi kutokamilika pili ubora wa chini kabisa wa kazi ndio iliyoniudhi zaidi
Pole sana. Sometimes kazi ikiwa nzuri hata ukiibiwa haiumi sana. Kinyume chake kazi mbovu,hela umetoa nyingi inauma sana.
 
Mafundi wa Tanzania bado wanasafari ndefu sana ya kujifunza kutoka kwa mafundi wa nje . Mashundi wetu wanapenda sana short cut na kona … ukiwapa mwanya kidogo tu wanakuibia vifaa vya ujenzi , wanajenga kwa kuripua yaani ili mradi tu .

Hawana uhadirifu kabisa sasa mtu atafute pesa ya kuwalipa na bado awepo site muda wote ili kulinda ubora wa kazi na vifaa. Wangekuwa na akili wangejua kwamba ukitaka kufanikia jambo la kwanza ni uhadirifu, ukiwa muhadilifu kila utakayemfanyia kazi ataku-refer kwa wengine so more jobs and more money lakini sasa kama lazima nikuchunge muda wote unazani naweza kumshauri mtu mwingine akutumie?
Mfano hawa mafundi wangekufanyia kazi nzuri kuna wenzio huko wanapata shida kama hii ungewaunganisha nao.
 
Mkuu inaweza kufika au umeibiwa kidogo sana, saa zingine muonekano ni uwezo wa mjenzi au mbunifu sio lazima iwe wizi.
22 ml unataka uzio uwe na muonekano mzuri?
Hili ni tatizo la wabongo kutaka kitu kizuri kwa bei mteremko
 
Mimi naishi nje ya nchi mwezi uliopita nilijenga uzio wa kiwanja huko kigamboni nilitumia 22millions kwa kiwanja cha 1000sqm huo uzio nilioonyeshwa yaani natamani hata niubomoe kabisa
1. Naomba uniambie upana na urefu wa kiwanja chako nione uliibiwa ama la.

2. Hiyo bei including gate na finishing?

3. Ulimpa michoro akashindwa kujenga sawa na michoro?
 
Mimi naishi nje ya nchi mwezi uliopita nilijenga uzio wa kiwanja huko kigamboni nilitumia 22millions kwa kiwanja cha 1000sqm huo uzio nilioonyeshwa yaani natamani hata niubomoe kabisa
1000sqm ni kama million 5 tu
 
22 ml unataka uzio uwe na muonekano mzuri?
Hili ni tatizo la wabongo kutaka kitu kizuri kwa bei mteremko
22 ml unataka uzio uwe na muonekano mzuri?
Hili ni tatizo la wabongo kutaka kitu kizuri kwa bei mteremko
22 millioni kwa kujenga ukuta tu tena mbele ni nusu tu hiyo bila lipu ,rangi or any finishing its just for nguzo na kupanga tofali kwangu mimi its enough plus that was the budget aliyotaka na kama ilikuwa ndogo basi jenga kwa viwango vinavyotakiwa hadi pale itakapo ishia sio unafanya kazi mbovu .
 
Mkuu inaweza kufika au umeibiwa kidogo sana, saa zingine muonekano ni uwezo wa mjenzi au mbunifu sio lazima iwe wizi.
Nina wasiwasi huyu jamaa ametoa tuhuma za wizi bila kujiridhisha.
Kiwanja cha 1,000 sqm= 33×30m.

Hiki kinaweza kujengwa tofali zisizopungua 3,700.
Bado cement
Mchanga
Nondo
Urembo
Plasta
Gate
Gharama za mjenzi.
Hii pesa ni ndogo
 
Kinachoniudhi sio wizi inawezekana kabisa ikawa hivyo maana hiyo ndio ilikuwa bajeti kinachoudhi ni kazi kutokamilika pili ubora wa chini kabisa wa kazi ndio iliyoniudhi zaidi
Una uhakika hujatafuta fundi wa bei chee asiye na ubora?
 
1. Naomba uniambie upana na urefu wa kiwanja chako nione uliibiwa ama la.

2. Hiyo bei including gate na finishing?

3. Ulimpa michoro akashindwa kujenga sawa na michoro?
no hiyo ni ukuta na nguzo tu no any finishing
 
22 millioni kwa kujenga ukuta tu tena mbele ni nusu tu hiyo bila lipu ,rangi or any finishing its just for nguzo na kupanga tofali kwangu mimi its enough plus that was the budget aliyotaka na kama ilikuwa ndogo basi jenga kwa viwango vinavyotakiwa hadi pale itakapo ishia sio unafanya kazi mbovu .
Hapo sawa.
Nilijua ukuta umekamilika hadi urembo
 
Back
Top Bottom