Uwezo mdogo wa kufikilia na tamaa ndio kikwazo kikubwa cha wajenzi wetu

Uwezo mdogo wa kufikilia na tamaa ndio kikwazo kikubwa cha wajenzi wetu

Nina wasiwasi huyu jamaa ametoa tuhuma za wizi bila kujiridhisha.
Kiwanja cha 1,000 sqm= 33×30m.

Hiki kinaweza kujengwa tofali zisizopungua 3,700.
Bado cement
Mchanga
Nondo
Urembo
Plasta
Gate
Gharama za mjenzi.
Hii pesa ni ndogo
Nondo hapo kuna za mkanda wa chini na mkanda wa juu, halafu nguzo.
Kuna kitu kinaitwa plaster kinakula mifuko ya cement balaa

Ndio maana mimi fence najenga msingi tu ukuta namalizia baada ya nyumba kukamilika. Gharama yake inatia uchungu. Imagine tofali 3,700 si zinasimamisha nyumba nzima ya vyumba vitatu kabisa?
 
Nina wasiwasi huyu jamaa ametoa tuhuma za wizi bila kujiridhisha.
Kiwanja cha 1,000 sqm= 33×30m.

Hiki kinaweza kujengwa tofali zisizopungua 3,700.
Bado cement
Mchanga
Nondo
Urembo
Plasta
Gate
Gharama za mjenzi.
Hii pesa ni ndogo
Nimesema hiyo ni ukuta na nguzo tu gate na plaster na mengine hayakuwa kwenye hiyo bajeti
 
Nondo hapo kuna za mkanda wa chini na mkanda wa juu, halafu nguzo.
Kuna kitu kinaitwa plaster kinakula mifuko ya cement balaa

Ndio maana mimi fence najenga msingi tu ukuta namalizia baada ya nyumba kukamilika. Gharama yake inatia uchungu. Imagine tofali 3,700 si zinasimamisha nyumba nzima ya vyumba vitatu kabisa?
Jamaa kumbe walikubaliana bila finishing. Ana haki kulalamika kaibiwa.

Ukweli ni kwamba ukuta huo hadi ukamilike sio chini ya 30ml..ukuta mtamu.
 
Typing error mkuu.
Nilimaanisha ana haki kulalamika.
Ilikuwa kujenga tu bila finishing na anadai ujenzi nao haujakamilika.
Anacholalamikia hapa ni tatizo kubwa sana kwenye jamii yetu. Fundi lazima umsimamie,usipomsimamia unaibiwa au anatoa boko! Hela zako ila unateseka kinoma.
 
Anacholalamikia hapa ni tatizo kubwa sana kwenye jamii yetu. Fundi lazima umsimamie,usipomsimamia unaibiwa au anatoa boko! Hela zako ila unateseka kinoma.
Ni kweli hili tatizo ni kubwa sana lkn wapo waaminifu japo ni wachache.
Mara nyingi ukiona fundi anakubali bei ndogo ujue amepiga hesabu kujilipa kupitia kuiba matirio.
Epuka fundi mteremko.
Fundi anayejitambua na muaminifu anajua kuikataa kazi isiyolipa.
 
No hayo mengine nilitaka kufanya nikiwepo maana likizo nakuja …. jamaa hadi mkanda wa chini hawajaweka
Mkuu.
Epuka kujenga bila vonsultant.
Mnapata hasara kubwa kwa kukwepa gharama ndogo.
 
Mkuu.
Epuka kujenga bila vonsultant.
Mnapata hasara kubwa kwa kukwepa gharama ndogo.
Nilipewa recommendation ya kumtumia huyo fundi sasa nikaona hukuta sio big deal acha nijenge nikiwa huku lakini nyumba nitajenga nikiwa huko nitatumia contractor
 
Nilipewa recommendation ya kumtumia huyo fundi sasa nikaona hukuta sio big deal acha nijenge nikiwa huku lakini nyumba nitajenga nikiwa huko nitatumia contractor
Naam.
Kuna tofauti kubwa ya kutumia contractor na fundi.
Fundi akiharibu hawezi kukulipa lkn contractor atafidia mkuu
 
Mafundi wa Tanzania bado wanasafari ndefu sana ya kujifunza kutoka kwa mafundi wa nje . Mashundi wetu wanapenda sana short cut na kona … ukiwapa mwanya kidogo tu wanakuibia vifaa vya ujenzi , wanajenga kwa kuripua yaani ili mradi tu .

Hawana uhadirifu kabisa sasa mtu atafute pesa ya kuwalipa na bado awepo site muda wote ili kulinda ubora wa kazi na vifaa. Wangekuwa na akili wangejua kwamba ukitaka kufanikia jambo la kwanza ni uhadirifu, ukiwa muhadilifu kila utakayemfanyia kazi ataku-refer kwa wengine so more jobs and more money lakini sasa kama lazima nikuchunge muda wote unazani naweza kumshauri mtu mwingine akutumie?
Ndugu yangu hilo ni jambo la kawaida katika jamii yoyote.

hakuna jinsi ambavyo mafundi watabadirika wenyewe isipokuwa hilo tatizo unalosema ni fursa ya kutengeneza ajira kwa watu wengine.

Yaani tulipofikia inatakiwa wajitokeze watu wawe watu wa kati. anafungua ofisi ya kufanya shughuli za ujenzi. Wewe badala ya kupatana na fundi unapatana na huyu mtu.

nataka unijengee boma langu, yeye anapiga hesabu za kuwalipa mafundi. ni kazi yake sasa kuwasiamamia ili wasiibe maana wewe kazi yako inakuwa ni kukagua kazi iliyoisha.

ukikuta vifaa vimeibiwa mnakata kwenye malipo au unatimua kabisa.

mtu akishajua anawajibika kwa ubora basi atasimamia ili mafundi wasimharibie kazi.

kama ni tiles akipiga box kadhaa, wewe ni kujua biksi ina pisi ngapi?
kabla ya kulipa unahesabu pisi zote zilizowekwa na kuhesabu vipande. vikipungua lazima akuonyeshe vilipo.

lakini wewe usipotaka kuweka mtu wa kusimamia badala yako basi tulia na ndiyo utajua ni gharama kidogo kumlipa msimamiaji kuliko kulipia vifaa vitakavyoibiwa
 
Naam.
Kuna tofauti kubwa ya kutumia contractor na fundi.
Fundi akiharibu hawezi kukulipa lkn contractor atafidia mkuu
Baadae nitaambatanisha na picha za ukuta muone ...its terrible fundi hawezi hata kunyoosha hukuta kazi mbovu sana
 
Nilipewa recommendation ya kumtumia huyo fundi sasa nikaona hukuta sio big deal acha nijenge nikiwa huku lakini nyumba nitajenga nikiwa huko nitatumia contractor
Ukiwa na cash mkononi chukua likizo. Ukija unajenga mpaka hatua fulani kama likizo imeisha unaachia hapo.
Likizo ingine ukija unamalizia na kama kalikizo karefu unaweza kumalizia kabisa.
 
Ukiwa na cash mkononi chukua likizo. Ukija unajenga mpaka hatua fulani kama likizo imeisha unaachia hapo.
Likizo ingine ukija unamalizia na kama kalikizo karefu unaweza kumalizia kabisa.
Ndio nimepanga kufanya nitakuja every 4 months hadi nimalize japo gharama za nauli ni kubwa siku hizi dollars 1500 round tickets
 
Back
Top Bottom