Uwezo wa kujenga hoja wa mashabiki wa Ali Kiba unasikitisha na kuhuzunisha

Uwezo wa kujenga hoja wa mashabiki wa Ali Kiba unasikitisha na kuhuzunisha

Ukiona mtu anakimbilia personally kukuattack kwa matusi umemshinda hoja, hoja hupingwa na hoja na si matusi! Ni IQ ndogo nakuunga mkono🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nashangazwa mtu anakua na heart burn juu yangu wakati sina effects zozote kwenye maisha yake. Pia sitegemei lolote toka kwake!!
It's Weird
 
Penye ukweli sema ukweli sio kwasababu shabiki yako umfichie makucha

Kwenye swala la ubunifu jamaa hamna kitu, na hii karibia tasnia nzima ya bongo fleva huwa hawana creativity

Yani msanii akishakua msanii anataka aplay kila kitengo, yani kuanzia utunzi wa nyimbo hadi director bado anataka awe yeye.

Hapo ndio unawakuta wamekua inspired na kazi za wenzake ambazo zimefanywa vizuri kiasi cha yeye kutamani hicho kitu angekifanya yeye. Hana management ambayo inaweza kufanya kitu bora zaidi ya kile na ndio maana anaishia kuiga idea nzima ya kile alichokipenda kutoka kwa mtu mwingine



It's Scars

Bahati nzuri neno lako si sheria,wewe unaona hamna kitu,lakini wapo watu mamilioni wanamwona ana VITU so humpunguzii kitu,kwani yake yanamwendea.

Kama ana uwezo wa kuplay ktk kazi zaidi ya,moja mwache aplay si kosa kwani hata akina Denzel sonetimes wanaigiza wao na kua director at the same time.

Wewe wasema hana management,lkn unachoongea na impact ya management ktk mafanikio ya Mondi vitu viwili tofauti.Kwa East Africa wasanii wenye management bora ni Diamond na Sauti Sol kwani sababu achievement na impact unaziona.

Alafu kuiga Mondi si wa kwanza na kuiga si Dhambi as long umefuata sheria.Alafu uzuri anaiga anapatia mwisho wa siku yy kama yy anaingiza hela na hamna anayekatazwa kurudia kazi za mtu.Lady Jaydee mpaka sasa kisharudia kazi za watu tatu na still bado she is the best,Burnaboy karibia Carrier yake yote ya mziki kasample kazi kibao za Fella Kuti,ila kwa kuwa kafanya Diamond nongwa.

.
Hamna mtu anayefichiwa makucha kwani hata ww ukipinga number zitaongea kwenye Digital platforms,Shows,Endorsements,ktk Chats kubwa za vituo vikubwa,Events kubwa zenye hadhi.

Alafu ktk maisha kuna state ambayo ukifikia hata kama watu hawatokupongeza au kukukubali basi mawe yatapaza sauti na kukupongeza,we kama humkubali ni wewe umeamua KIMPANGO WAKO.
 
huu sio ushabiki peke yake, hebu sema nini kiko nyuma ya hii sumu ya swila ulotema hapa, it seems kuna maumivu makubwa sana

Mkuu tunaompenda kiba hawezi kusema tuna IQ ndogo

Mkuu, yaani unaempenda wewe na sababu zako, utashi wako, akili yako, maamuzi yako mtu akutukane??

Ebu acha unyumbu kuwa honest
 
kuna watu hawajawahi ku experience upendo/love walivyokua wanakua,hivyo they are malicious and attack anyone for no reason....mtu akikutukana yes una sababu ya kumrudishia bali unakuja huko na kumkejeli mwenzio bila sababu..sio bure hata huko mtaani utakua na kisirani..gubu, Miss Buza we!lol

Selfish sana, wajuaji,wanajiona wamepatia maishaz watu wa kutaka wasikilizwe, wivu na ugomvi kila sik
Tabia za hao jamaa ni 'vyote vyangu"

Wakatili na roho ngumu¡
 
Why waste energy and time kwa 'no body'??

Why waste energy and time kwa wenye IQ ndogo ambao hawatakuelewa na IQ zao ndogo? Umewaongezea IQ ili wakuelewe??

Wewe ni mbinafsi ndio maana unaanza na kusema mimi hivi, mimi vile...who cares?

Hao wenye IQ ndogo chukulia kama sisimizi, siafu , mende au panya wanaokimbilia mzoga ambao ni Ali Kiba....they enjoy na kuwa na maisha yao kwenye ...Empire yao ya Wenye IQ ndogo. Yaani leo ukikuta sisimizi wanagombaniana mzoga unaanza kuwafukuza kwenye mzoga wao? Ukiwafukuza si wanarudi tena? Nani anaonekana ana akili?

Best way wewe muue ali kiba ili hao sisimizi wasimfuate

Haujajua IQ ndogo ya mama yako ilimkubali baba yako ukazaliwa wewe, mama yako angekuwa na IQ kubwa angezaa na bill gate au Mengi... Na kamwe usingekuwa na ID fake humu

Waache watu na maisha yao

Kuna jux, marioo, barnaba, harmonize, dulluz fid q, nandi, ruby, aslay kibao na hawa wote wana wapenzi wao...mpaka amber ruty, gigi money na wewe ukianza leo na sauti yako ya kishoga..utapata mashabiki...hatutawaita wana IQ ndogo when the word 'love' is involved

Umechemka na ukae kimya...ukitaka kuponya nafsi yako
Yaaaaani wewe sijui platinum dudu gani ingelikuwa mimi huu uzi umeshachafuka zamani sana.
Embu mtake radhi hata kama ana madhaifu hayo hatukupaswa kuyajua.
 
bilgert ndio nini...Manyumbu wa Diamond rudini shule...Ali Kiba noma atawapa pumu au corona kumuwazawaza
 
Selfish sana, wajuaji,wanajiona wamepatia maishaz watu wa kutaka wasikilizwe, wivu na ugomvi kila sik
Tabia za hao jamaa ni 'vyote vyangu"

Wakatili na roho ngumu¡

Yaani such anger and hostility it’s just too much, Papa God I pray that you heal these souls that are bleeding.. Amen!
 
Mimi ni mshabiki halisi wa CEO na mwanamuziki Diamond platinumz, nimejitahidi sana kumantain principle hiyo niliyoieleza hapo juu kwa msanii huyu ila nimeshindwa maana anapendwa na watu wengi sana ila tofauti na watu wengine wengi mimi na wengine wachache ninamkubali zaidi mtu huyu kutokana na “haso” zake zaidi na jinsi anavyojitahidi kutoa ajira kwa vijana wenzake either directly or inderictly. Lakini katika hali ya ajabu kuna watu wachache hawaoni yote hayo wao humchukia kwa kila zuri au baya atendalo, inashangaza!

The guy ndio definition ya a successful person kaweza kumhakikishia bilgert ule msemo wake kua ukizaliwa maskini sio kosa lako kosa ni kufa maskini, from zero to hero. Kila kitu kwakwe ni fursa adimu ya kuendelea kubaki juu na kujiingizia kipato, anajua kujibrand na kuendesha biashara ya muziki huku akifanya muziki. Kwa mtu anayejitambua diamond ni darasa tosha sana kwake, huna haja ya kusikiliza motivation speaker D ni darasa kamili ukifuatilia historia yake basi tu vile watanzania roho za ubinafsi na chuki juu ya mafanikio ya wenzetu hatutaki ku-Admit kua D kafanya kweli vile wengi tunatamani kufanya, so ili kujiilizisha roho zetu tunamchukia na kwenda kumshabikia feliaz mwenzetu Alikiba ili tuwe na amani moyoni.

Alikiba kafeli kila kitu kuanzia ndoa, biashara ahdi muziki wake as career. D anamadhaiu yake pia ila muacheni na madhaifu yake tushabikie vile vitu positive kama nifanyavyo mimi, hawezi kua mwanadamu mkamilifu kama hawezi kua na madhaifu. Ili uwe kamili inabidi uwe na madhaifu kadhaa kama hayo aliyonayo D, Tuchukue yale yaliyo positive yenye kuigwa mambo negative tumuachie mwenyewe.

Samahani kwa hili lakini kuna watu wanaoshabikia au kuamini katika vitu Fulani nimekua nikiangalia uwezo wa ujengaji wao wa hoja na uelewa mpana wa mambo bila kufungwa ndani ya box ni mdogo mno. Watu hao ni wanaomuamini nabii mke,watu wanaomuamini Yule mjumbe wa mwisho wa Mungu na mashabiki wa Alikiba watu hawa wanasikitisha mno. Mara nyingi hua nasema kua kuna vitu ili kuvifanya au kuviamini inabidi uwe na kiwango Fulani cha ujinga kichwani basi moja watu hao ndio mashabiki wa alikiba wakiongozwa na alikiba.

Hawa mashabiki karibia asilimia 80% vichwa vyao vipo kama nazi, unajua nazi ili upate yaliyomo ndani yake inabidi uipasue, basi ndivyo ilivyo kwa mashabiki wa alikiba ili aelewe na kufikiria nje ya boksi mpaka umpasue kichwa chake…Hawa watu ni Strong Closed mind haswa hawawezi kufikiri mbali ya kile wanachokiamini kua “alikiba ni msanii mkubwa na anasauti nzuri alishawahi kuimba na R Kelly”. Hua hawaoni zuri lolote la Diamond bali mabaya tu na hua hawaoni baya lolote la Alikiba, ukiwauliza sababu ya kumchukia Mondi utasikia eti anaimba matusi,nyimbo zake anakopi,haimbi za kuelimisha nk nk.

Ukiwaambia huyo asiyekopi wala kuimba matusi mbona hamshindi wanasema eti D ni freemason, anatungiwa nyimbo na freemason wengine huenda mbali zaidi na kusema kua d hua anafanya mapenzi na mama yake ndio maana anaendelea kua maarufu. Ukiwauliza kwani D ndio msanii freemason pekee wanasema yeye anacheo kikubwa kuliko. Inshort kila anayemchukia D huwezi kuta anamshabikia hata mr blue au jux lazima awe anamsabikia Alikiba.

Mashabiki wa Kiba acheni kuwa mashabiki lialia au mashabiki maandazi, kueni positive,fungueni bongo zenu muwe mnawaza nje box usikariri kitu kimoja kama Computer inavyojua 0 na 1 pekee. Mnajiabisha na kumuaibisha mnaemshabikia mnazidi kutuaminisha kua Anashabikiwa na mambumbumbu. Binafsi hainiingii akilini kua kipindi ulipokua mtoto ulikua na kiburi, mama yako unamtukana, gomvi, matusi hayakauki mdomoni hadi mama yako akanyoosha mikono na kuacha dunia ikufunze halafu leo uje usubirie Alikiba aimbe akufundishe tabia kwa kuimba vitu vya adabu, Aisee yaani mama yako kakushinda kukunyoosha tabia halafu leo uje umchukie diamond kua ameshindwa kuimba nyimbo za heshima ili unyoke tabia. Huo ni utahira na upumbavu kabisa. Kama ulishindikana kwa mama yako usitegemee kunyooshwa tabia na Diamond ua Alikiba kwa kisingizio eti wao ni kioo cha jamaii.

Wasanii wote wapo ajili ya kutafuta pesa waendeshe familia zao hata huyo alikiba mnaona anaheshima haimbii kwa ajii ya kutaka pesa ni kwakua kashindwa kuugeuza mziki wake ukampatia pesa anazozihitaji. Alikiba anazihitaji sana pesa kutoka kwenye muziki basi tu anashindwa afanyyeje ili aweze kuzipata maana hajui biashara wala kuhendo mashabiki wake. Siku akijishusha akaenda kwa D kupigwa msasa jinsi ya kupiga pesa kwa muziki, kwa kipaji kile alichonacho atapiga hela sana. Kiburi kinamponza anakufa kwa kinyongo na chuki.

Guys amkeni, achene kua negative.
Kwa haya matapishi tu inaonesha ni namna gani ALI KIBA anawanyima usingizi, na haya uloandika ni maumivu ya kuona why ALI KIBA ana fan base kubwa huku tamaa yako ni kuona watu wote wanamshabikia Diamond huo ni ujinga kuona unachokiona wewe sahihi Basi Kila mtu aone kama uonavyo wewe,ni ujinga na upungufu wa akili na ni zaidi ya utoto,ukiacha Diamond na Ali Kiba kuna MESSI na RONALDO, kuna SIMBA na YANGA, kuna BARCELONA na MADRID kuna MANCHESTER na ARSENAL Kila mtu ana sababu ya kushabikia anachopenda kwa sababu zake anazoziona yeye zinamfaa,
Unashangaza unapozungumzia madhaifu ya Diamond kama siyo issue huku ya Ali Kiba ukiyakndamiza na kuonekana n mtu asiyejielewa.
Kwenye NDOA ambayo kimsingi ni mahusiano ya kimapenzi wote WAMEFELI yule mke wake karudi kwao huyu mwingine kazaa na wanawake watatu na wote wameshindwana kuishi pamoja.
Kuhusu Muziki kama kusema Ali Kiba kafeli kwa sababu ya vijana wake kuondoka hata Diamond alikimbiwa na HARMONIZE na MAVOKO.
Nadhani kingine ambacho kinakuumiza ni namna ambavyo Ali Kiba huwa hazungumzii issue binafsi kama ambavyo jamaa yenu amekuwa akifanyana kifupi wasanii wenye mkwanja wapo wengi sema siyo Kila mtu aweke mambo yake wazi akina AY,JAYDEE,KIBA ,ni wasanii wanamiliki mkwanja wa kutosha tu bro hiyo kaa nayo.
Mwisho huu ni mwaka karibu wa 5 mnalilia na kumfananisha Kiba na Boss wenu huku mkilalamika Kiba hajui kuimba hajui biashara tufunge mjadala MMAKONDE HUYOOOOO KATOKA WCB anajua kuimba na anajua BIASHARA hebu mlinganisheni huyo bwana na boss wenu huyu ALI KIBA asiyejua kuimba wala biashara achaneni nae mnasemaje katika hilo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naungana na wewe mtoa mada. Kwa ufupi mashabiki wengi(sio wote) wanaomshabikia ni wale walioshindwa kuwa mashabiki wa Diamond iwe kwa uzuri au ubaya. Nashangaa mtu anadai Ali Kiba haimbi matusi ila ndio huyo huyo anayemdhalilisha mke wake kwa kuwa na mahusiano na mwanamke mwingine. Mwisho wa siku wote ni wasanii wanaoiwakilisha nchi tuwape support ili soko lipanuke wengine wafanikiwe. Tuwe kama mashabiki wa mpira upinzani unaosisimua.
Thibitisha au ulishika mapaja mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naungana na wewe mtoa mada. Kwa ufupi mashabiki wengi(sio wote) wanaomshabikia ni wale walioshindwa kuwa mashabiki wa Diamond iwe kwa uzuri au ubaya. Nashangaa mtu anadai Ali Kiba haimbi matusi ila ndio huyo huyo anayemdhalilisha mke wake kwa kuwa na mahusiano na mwanamke mwingine. Mwisho wa siku wote ni wasanii wanaoiwakilisha nchi tuwape support ili soko lipanuke wengine wafanikiwe. Tuwe kama mashabiki wa mpira upinzani unaosisimua.
Ila mashabiki wa Diamond wanmshabikia na Kiba pia?..nani alianza kwenye Muziki kati ya Kiba na diamond,watu walianza kumshabikia tangu diamond hajaingia kwenye tasnia shida ipo wapi?..
MWISHO ANAYEWAKILISHA NCHI NI DIAMOND KAKA KIBA NI MSANII LOCAL

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi sio mshabiki wa either of those dudes ila bado sijaamini nyie washabiki wa Diamond mna IQ kubwa kwasababu tu mnamshabikia yeye na washabiki wa Ali Kiba ni inferior to you just for being his fan.

Ila kama ni kweli (uhalisia) then y'all must be something else.
Ni wapuuzi... wanamaumivu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom