Uwezo wa kujenga hoja wa mashabiki wa Ali Kiba unasikitisha na kuhuzunisha

Uwezo wa kujenga hoja wa mashabiki wa Ali Kiba unasikitisha na kuhuzunisha

Yaani alivyoanza sasa[emoji119][emoji119][emoji119]
Haki hizi id fake zinatusaidia sana. Nimekumbuka enzi za shule na msemo wa "msuli tembo, matokeo sisimizi"
😂😂😂😂😂

ila kiukweli nafikiri Da'Vinci mwenyewe aliko huko bila shaka anasikitika kweli kuona jina lake linatumiwa na watu wasiostahili
 
Kwani IQ na ushabiki wa muziki vinahusianaje? Kama wanaomshabikia diamond wana IQ kubwa vipi wale mashabiki wa Michael Jackson IQ zao zitakuaje?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila mashabiki wa Diamond wanmshabikia na Kiba pia?..nani alianza kwenye Muziki kati ya Kiba na diamond,watu walianza kumshabikia tangu diamond hajaingia kwenye tasnia shida ipo wapi?..
MWISHO ANAYEWAKILISHA NCHI NI DIAMOND KAKA KIBA NI MSANII LOCAL

Sent using Jamii Forums mobile app
Umekurupuka kujibu tu rudia tena kusoma nilichoandika "sio wote". Mbona kiswahili chepesi niliandika?
 
Bahati nzuri neno lako si sheria,wewe unaona hamna kitu,lakini wapo watu mamilioni wanamwona ana VITU so humpunguzii kitu,kwani yake yanamwendea.

Kama ana uwezo wa kuplay ktk kazi zaidi ya,moja mwache aplay si kosa kwani hata akina Denzel sonetimes wanaigiza wao na kua director at the same time.

Wewe wasema hana management,lkn unachoongea na impact ya management ktk mafanikio ya Mondi vitu viwili tofauti.Kwa East Africa wasanii wenye management bora ni Diamond na Sauti Sol kwani sababu achievement na impact unaziona.

Alafu kuiga Mondi si wa kwanza na kuiga si Dhambi as long umefuata sheria.Alafu uzuri anaiga anapatia mwisho wa siku yy kama yy anaingiza hela na hamna anayekatazwa kurudia kazi za mtu.Lady Jaydee mpaka sasa kisharudia kazi za watu tatu na still bado she is the best,Burnaboy karibia Carrier yake yote ya mziki kasample kazi kibao za Fella Kuti,ila kwa kuwa kafanya Diamond nongwa.

.
Hamna mtu anayefichiwa makucha kwani hata ww ukipinga number zitaongea kwenye Digital platforms,Shows,Endorsements,ktk Chats kubwa za vituo vikubwa,Events kubwa zenye hadhi.

Alafu ktk maisha kuna state ambayo ukifikia hata kama watu hawatokupongeza au kukukubali basi mawe yatapaza sauti na kukupongeza,we kama humkubali ni wewe umeamua KIMPANGO WAKO.



Kama saut solo na diamond ndio wanaosifika kuwa na management nzuri, kuna haja ya kuchunguza vigezo walivyotumia kuzipa hadhi ya ubora hizo management

Alianza diamond kwenye zilipendwa kuiga video idea ya migos walk it like talk it, saizi naona nao sauti solo wameiga idea ya video hiyo hiyo kwenye wimbo wao mpya

Kipaji ni pamoja na kuwa na ubunifu fanya kitu ambacho kinaweza kuwa inspire watu kama hao unaowaiga walivyoweza kuku-inspire mpaka ukaipenda idea yao
 
Sisi mashabiki wa Sholo Mwamba hatujui hiyo IQ inauzwa wapi wala bei yake. Sisi ni kutimua vumbi tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Timua tu baba, cha msingi unapata burudani.
 
Kama saut solo na diamond ndio wanaosifika kuwa na management nzuri, kuna haja ya kuchunguza vigezo walivyotumia kuzipa hadhi ya ubora hizo management

Alianza diamond kwenye zilipendwa kuiga video idea ya migos walk it like talk it, saizi naona nao sauti solo wameiga idea ya video hiyo hiyo kwenye wimbo wao mpya

Kipaji ni pamoja na kuwa na ubunifu fanya kitu ambacho kinaweza kuwa inspire watu kama hao unaowaiga walivyoweza kuku-inspire mpaka ukaipenda idea yao

Kwa hiyo management zao mbaya kisa wamerudia wamerudia video za watu 😀😀😁😆,tunatofautiana mimi management naipima kwa kuwa na uwezo wa kupush nyimbo za msanii zifike mbali na kufanya vizuri ktk nchi mbalimbali kupitia music platforms na kupata show nyingi na kubwa inchi mbalimbali.

Harmonize mfano wa watu waliokuwa inpired na Mondi,alafu kuhusu video hamna jipya chini ya jua,video kibao idea zake zinarudiwa katizame Avant ft Nicole,TI ft Keri Hilson,Lulu Diva ft Blue zote idea zinafanana.

"Alianza diamond kwenye zilipendwa kuiga video idea ya migos walk it like talk it, saizi naona nao sauti solo wameiga idea ya video hiyo hiyo kwenye wimbo wao mpya"
Screenshot_20200417-101917.png


Screenshot_20200417-101946.png


We jamaa mziki hujui na si mfuatiliaji na unapayuka tu video ya Zilipendwa imetoka 2017 ,video ya Migos imetoka 2018 sasa nani kaiga video ya mwenzie au nani kamwiispire mwenzio?Huoni hapo kama Diamond kawainspire Migos.

Naona umeamua kubisha ila tatizo huna reference.
😂😂😂😂
 
Kama saut solo na diamond ndio wanaosifika kuwa na management nzuri, kuna haja ya kuchunguza vigezo walivyotumia kuzipa hadhi ya ubora hizo management

Alianza diamond kwenye zilipendwa kuiga video idea ya migos walk it like talk it, saizi naona nao sauti solo wameiga idea ya video hiyo hiyo kwenye wimbo wao mpya

Kipaji ni pamoja na kuwa na ubunifu fanya kitu ambacho kinaweza kuwa inspire watu kama hao unaowaiga walivyoweza kuku-inspire mpaka ukaipenda idea yao
Acha kutudanganya mzee zilipendwa imetoka mwaka 2017 nyimbo ya migos imetok 2018 hapo nani amemuiga mwenzie alafu kitu kingin kwenye mzik siku hiz hakun kitu kipya watu wanatumia vitu vya zaman wanavileta kwenye usasa na ndo maana hata burnaboy anasifiwa now lakin nyimbo zake nying anafanya sampling ya nyimbo za fela kuti

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimeshangaa sana hapo alivyosema diamond kaiga video ya migos hatuwez jua labda diamond alitumia time travel akaiba idea alaf akulud 2017 [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Kwa hiyo management zao mbaya kisa wamerudia wamerudia video za watu [emoji3][emoji3][emoji16][emoji38],tunatofautiana mimi management naipima kwa kuwa na uwezo wa kupush nyimbo za msanii zifike mbali na kufanya vizuri ktk nchi mbalimbali kupitia music platforms.

Harmonize mfano wa watu waliokuwa inpired na Mondi,alafu kuhusu video hamna jipya chini ya jua,video kibao idea zake zinarudiwa katizame Avant ft Nicole,TI ft Keri Hilson,Lulu Diva ft Blue zote idea zinafanana.

"Alianza diamond kwenye zilipendwa kuiga video idea ya migos walk it like talk it, saizi naona nao sauti solo wameiga idea ya video hiyo hiyo kwenye wimbo wao mpya"

We jamaa mziki hujui na si mfuatiliaji na unapayuka tu video ya Zilipendwa imetoka 2017 ,video ya Migos imetoka 2018 sasa nani kaiga video ya mwenzie au nani kamwiispire mwenzio?

Naona umeamua kubisha ila tatizo huna reference.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hiyo management zao mbaya kisa wamerudia wamerudia video za watu 😀😀😁😆,tunatofautiana mimi management naipima kwa kuwa na uwezo wa kupush nyimbo za msanii zifike mbali na kufanya vizuri ktk nchi mbalimbali kupitia music platforms.

Harmonize mfano wa watu waliokuwa inpired na Mondi,alafu kuhusu video hamna jipya chini ya jua,video kibao idea zake zinarudiwa katizame Avant ft Nicole,TI ft Keri Hilson,Lulu Diva ft Blue zote idea zinafanana.

"Alianza diamond kwenye zilipendwa kuiga video idea ya migos walk it like talk it, saizi naona nao sauti solo wameiga idea ya video hiyo hiyo kwenye wimbo wao mpya"
View attachment 1421434

View attachment 1421435


We jamaa mziki hujui na si mfuatiliaji na unapayuka tu video ya Zilipendwa imetoka 2017 ,video ya Migos imetoka 2018 sasa nani kaiga video ya mwenzie au nani kamwiispire mwenzio?Huoni hapo kama Diamond kawainspire Migos.

Naona umeamua kubisha ila tatizo huna reference.
😂😂😂😂
Jose nielekeze namna ya kupost YouTube video humu jamiiforum infact situmii app ya jamiiforum.
 
Jose nielekeze namna ya kupost YouTube video humu jamiiforum infact situmii app ya jamiiforum.
Hizo screenshots unapost kama unavyopost picha,ila video youtube ukitaka kuipost,browse kwa kutumia browser (mf Mozilla,Chrome,Opera) ,alafu kwa juu ikopi link yake alafu unapaste tu kawaida.
 
Big up
Kwa haya matapishi tu inaonesha ni namna gani ALI KIBA anawanyima usingizi, na haya uloandika ni maumivu ya kuona why ALI KIBA ana fan base kubwa huku tamaa yako ni kuona watu wote wanamshabikia Diamond huo ni ujinga kuona unachokiona wewe sahihi Basi Kila mtu aone kama uonavyo wewe,ni ujinga na upungufu wa akili na ni zaidi ya utoto,ukiacha Diamond na Ali Kiba kuna MESSI na RONALDO, kuna SIMBA na YANGA, kuna BARCELONA na MADRID kuna MANCHESTER na ARSENAL Kila mtu ana sababu ya kushabikia anachopenda kwa sababu zake anazoziona yeye zinamfaa,
Unashangaza unapozungumzia madhaifu ya Diamond kama siyo issue huku ya Ali Kiba ukiyakndamiza na kuonekana n mtu asiyejielewa.
Kwenye NDOA ambayo kimsingi ni mahusiano ya kimapenzi wote WAMEFELI yule mke wake karudi kwao huyu mwingine kazaa na wanawake watatu na wote wameshindwana kuishi pamoja.
Kuhusu Muziki kama kusema Ali Kiba kafeli kwa sababu ya vijana wake kuondoka hata Diamond alikimbiwa na HARMONIZE na MAVOKO.
Nadhani kingine ambacho kinakuumiza ni namna ambavyo Ali Kiba huwa hazungumzii issue binafsi kama ambavyo jamaa yenu amekuwa akifanyana kifupi wasanii wenye mkwanja wapo wengi sema siyo Kila mtu aweke mambo yake wazi akina AY,JAYDEE,KIBA ,ni wasanii wanamiliki mkwanja wa kutosha tu bro hiyo kaa nayo.
Mwisho huu ni mwaka karibu wa 5 mnalilia na kumfananisha Kiba na Boss wenu huku mkilalamika Kiba hajui kuimba hajui biashara tufunge mjadala MMAKONDE HUYOOOOO KATOKA WCB anajua kuimba na anajua BIASHARA hebu mlinganisheni huyo bwana na boss wenu huyu ALI KIBA asiyejua kuimba wala biashara achaneni nae mnasemaje katika hilo?

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nadhani hata kabla ya Diamond wasanii walikuwa wanalipwa hela ndogo kwenye matangazo wamekuja kujifanya expensive baada ya Diamond kujibrand.

Sidhani Diamond anaweza kutangaza tangazo la nguvu za kiume au waganga wa kienyeji maana hawawezi kumlipa .
Uzuri Domo huwa haongei yeye anajibu kwa kuendelea kuchapa kazi.

Linapokuuja swala la kuchapa kazi namkubali sana huyu jamaa.

♡♤Life belongs to all who struggle for it♤♡♧
 
Hizo screenshots unapost kama unavyopost picha,ila video youtube ukitaka kuipost,browse kwa kutumia browser (mf Mozilla,Chrome,Opera) ,alafu kwa juu ikopi link yake alafu unapaste tu kawaida.
Je ukitaka ku upload YouTube video?
 
Mtoa uzi Corona Imeanza kutafuna ubongo maana kaandika pumba tupu tena kimihemko

Vishabiki vya Diamond vinawivu sana kinachowauma ni Alikiba kutrend kwa wiki nzima sasa hakuna kingine, kiba uwa unawasumbua akikaa kimya Mnateseka akikiwasha mnateseka,. Uzi wako hauna mashiko umeandika kimihemko kimichambo na kiwivu wa upande wa pili,


Ni wakati wa kiba huu kutrend tulizeni mishono ndo maana mnaona hata uko kwa mjomba enu chibu wamekaa kimya wanajua wakikurupuka wataaibika
Da'Vinci mdogo wangu,cheki watu wanavyopangua hoja zako hapa,dooh
 
Why waste energy and time kwa 'no body'??

Why waste energy and time kwa wenye IQ ndogo ambao hawatakuelewa na IQ zao ndogo? Umewaongezea IQ ili wakuelewe??

Wewe ni mbinafsi ndio maana unaanza na kusema mimi hivi, mimi vile...who cares?

Hao wenye IQ ndogo chukulia kama sisimizi, siafu , mende au panya wanaokimbilia mzoga ambao ni Ali Kiba....they enjoy na kuwa na maisha yao kwenye ...Empire yao ya Wenye IQ ndogo. Yaani leo ukikuta sisimizi wanagombaniana mzoga unaanza kuwafukuza kwenye mzoga wao? Ukiwafukuza si wanarudi tena? Nani anaonekana ana akili?

Best way wewe muue ali kiba ili hao sisimizi wasimfuate

Haujajua IQ ndogo ya mama yako ilimkubali baba yako ukazaliwa wewe, mama yako angekuwa na IQ kubwa angezaa na bill gate au Mengi... Na kamwe usingekuwa na ID fake humu

Waache watu na maisha yao

Kuna jux, marioo, barnaba, harmonize, dulluz fid q, nandi, ruby, aslay kibao na hawa wote wana wapenzi wao...mpaka amber ruty, gigi money na wewe ukianza leo na sauti yako ya kishoga..utapata mashabiki...hatutawaita wana IQ ndogo when the word 'love' is involved

Umechemka na ukae kimya...ukitaka kuponya nafsi yako
sometimes kujibu kwa haraka bila utulivu unaweza kumpa mtu credit pasi na sababu,tulia msome jamaa btwn the lines pangua hoja zake pasi na hasira,tumia ukongwe na uzoefu wako jf kupangua hizo paragraph zake,otherwise watu wanaosoma hii mada mtawapa pa kushikilia.
 
Back
Top Bottom