Uwezo wa kuongea na wafu: Elimu Iliyoshindikana duniani

Sasa mshana haya mambo na mungu mbona kama yanapingana?????
 
Hata kama ni noti ya sh kumi ya mwaka 70 but still haiwezi kuwa na thamani la laki moja au hata nusu yake sorry.................laki moja ni sawa na dola 50 sasa je sh 10 ya tz mwaka 70 ilikuwa na thamani ya dola 50?

Thamana ya pesa hupimwa na kias cha vitu amabavyo hueza kununua kama hiyo noti inaweza kununua kiasi fulani cha vitu enzi hizo ambavyo hivyo vitu now huuzwa kwa lak moja bhasi inaweza kuwa kqeli...
 

Kwa hilo swala la roho ( soul) ikitoka imetoka nakupinga mkuu binadamu ni immortal, tofauti kati ya sisi na viumbe vingine ni ilo, viumbe vingine havina spirit kama sisi vina soul peke yake sisi tuna soul and spirit, sasa mwili wako ukifa ( your earthen vessel) your soul stay with the spirit, your soul ndo personality yako, your identity...na hata kwenye vitabu vya dini imeandikwa, unadhani Mungu alivyosema tumuumbe Binadamu kwa mfano wetu alimaanisha nini!? God-like feature immortality...na ilo swala kuongea na soul ambazo hazina mwili its like make deal with devil, everything has a price
 


Sorry kwa ku-pop up the topic.

Kuna sounds huwa naziskia mara kwa mara so i have to go through this upto the end.

Kuna baadhi ya JINNS ambao walisema huwa wanakuja na kuniongelesha lakini wanalalamika kuwa huwa si-pay attention wanaponiongelesha.

Niliwasisitiza sana wakija waongee na mimi kwa sauti au wanipe ISHARA aidha ya UDI AU PERFUMES lakini walifanya hivyo siku moja tu ambayo walikuja na harufu ya maua kama ya JASMINE hivi.

Sasa soon tu nilikuwa naangalia series ya SUPERNATURAL | DEAN & SAM then baada ya hapo nikaangalia series ya Being Human | IMDb nika-relate na maisha yangu ya kila siku, kuna kitu kikubwa sana nimejifunza.

Ila nahitaji kujifunza zaidi na zaidi as we both know kuwa elimu haina mwisho hasa kwa elimu kama hii ya hawa CREATURES nahitaji kuwajua kiundani mno, i hope i can learn something.

Sikuwa na sababu ya kuanzisha THREAD japo nna uwezo wa kufanya hivyo ila itakapofika time ya kufanya hivyo, WILL DO SO. But for now nipo darasani yet. LET ME GO THROUGH.
 

Karibu sana NDUKI
 
Last edited by a moderator:
Naomba pia tafuta kitabu hiki Magic: theory n practice kuna mambo humo ndani ambayo kwa hali ya kawaida ni ngumu kuyaelewa


Thank You a lot. Author ni nani mkuu ni Aleister Crowley...?..

Kama ni huyo naona kipo BOOK IV now, will you mind if i'll get a link ya BOOK I kiongozi...?.

I don't want to jump that fast, i wanna go step by step. Kama nikikosa BOOK I itakayokuwepo ntaanza nayo it's okay mkuu.

Thanks again & again.
 

Huyo huyo Aisee hapana ila nitafanya juhudi Kama Naweza kukipata
 
Huyo huyo Aisee hapana ila nitafanya juhudi Kama Naweza kukipata


Thanks a lot buddy.

Am waiting for that kiongozi, and when am going through this ntakuwa na some questions to ask ili kupata muongozo zaid na zaid.

Sorry if i'll bother you for that. But i have to.
 
Thanks a lot buddy.

Am waiting for that kiongozi, and when am going through this ntakuwa na some questions to ask ili kupata muongozo zaid na zaid.

Sorry if i'll bother you for that. But i have to.

No no never..! It will my pleasure to share with you what I have
 
hermetic.com/93beast.fea.st/files/section1/ABA/Book%204%20Part%20III%20MiTaP.pdf

pakua part III. vngne cjavipata. nafuatilia mjadala kimyakimya. hahahahah
 
hermetic.com/93beast.fea.st/files/section1/ABA/Book%204%20Part%20III%20MiTaP.pdf

pakua part III. vngne cjavipata. nafuatilia mjadala kimyakimya. hahahahah


Thanks a lot mkuu.

Nimeshakipakua hiko tayari na BOOK IV pia. Nataka nimalize kwanza uzi wote each post then ndo niende kwa hizo BUX nizisome.

Education has no boundaries mkuu japo upo kimya kimya we are together aaaaall the way.

You are not alone. And you'll never walk alone mkuu.

Thanks again buddy.
 
REALLY...!!!


Kwhy ikiwa mtu ashazikwa hivyo hakuna namna tena ya kumwambia nilichotaka kumwambia?


Hakuna tena hakuna jinsi


Staki kumwaga mchele kwenye KUKU wengi, ila i hope you know that IMANI ni kitu kikubwa sana.

And as i said before hii ILMU ni kubwa sana na ndio maana nimeamua kwenda SO DEEP, DEEP DOWN.

But one thing i want u to remember is "BELIEVE THAT, YOU ARE MORE THAN YOU THINK YOU ARE, THAT'S IT"

ANYWAY, LET ME GO BACK TO CLASS. I'LL BE BACK.
 
Hebu fafanua hapo uliongea nae vip kimoyo moyo au ulifanyaje na kuna elimu juu ya hilo swala na hiyo elimu ni ipi? Ya kidini ama? Msaada samahani
 


you are more than you think you are.

Ongeza knowledge. Bado nasoma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…