Uwezo wa kuongea na wafu: Elimu Iliyoshindikana duniani

Uwezo wa kuongea na wafu: Elimu Iliyoshindikana duniani

Bado roho yake ilikuwa inailinda na kuifuatilia familia yake na kwakweli walipaswa kuisikiliza sauti yake

Swal n kwa nini aseme wasali kwe kabuli lake maybe there is something behind it au hakuna roho za kipepo wabaya hapo ambao wameingia kw njia hiyo
 
Swal n kwa nini aseme wasali kwe kabuli lake maybe there is something behind it au hakuna roho za kipepo wabaya hapo ambao wameingia kw njia hiyo

Kusema wasali ni Dalili njema kuliko angesema wafanye ushirikina
 
Kwanza lazima tukubaliane kuwa ndoto ni vague memories ya matukio yote ya kila siku yawe ya kuwaza kunena na kutenda lakini inapotokea marehemu kakutokea ndoroni na ujumbe fulani kwako hiyo ni ndoto ya ujumbe yenye uhalisia
Nakubaliana na wewe katika hili, miezi kadhaa baba angu mdogo alifariki, baada ya kumzika ikawa kila siku lazma nimuote, siku za mwanzo nikaona ni kawaida may be nna mawazo ya kifo chake
hali ikaendelea hivo zaidi ya mwezi na kila siku namuota hadi nkashikwa na uoga, afu ndoto nlokua naota ni moja tu
"ananichekea ananipungia mkono afu anaondoka" hata kama nimegeuka upande mwingine nikishamuangalia tu anacheka anapunga mkono kuniaga anaondoka.....siku moja katika ndoto alivoondoka nikamuuliza mwanamke maana ya hiyo ndoto kabla hajanambia nikawa nimeshtuka usingizini.
asbh nika mpigia simu dada angu nkamsimulia akanijibu huenda ni ndoto nzuri marehemu ananishukuru kuna jambo nilimfanyia ila hakupata muda wa kuongea na mie make nlikua mbali, nikampigia tena na mdogo ake (baba angu mwingine) akanijibu hivo hivo kua hiyo ndoto marehemu ananishukuru kwa jambo nililolifanya (na kweli kuna jambo nililifanya kwake alifurahi sana sana yani) hakuweza kuongea na mie
tangu nlivoambiwa hivo sijawahi kumuota tena ba nikaamini kabisa kuwa ile ndo maana yake
 
Mm huwa nasikia kabisa sauti ikinikataza nisiende sehemu fulani km nilipanga kwenda huko, zaman nilikuwa sijali na nikienda huko nilikokatazwa napata kasheshe lolote lile. Pia nikiwa kwenye matatizo mazito sana sana ile sauti naisikia ikinielekeza nn cha kufanya na yanakuwa mepesi kuliko mwanzo.
 
Mm huwa nasikia kabisa sauti ikinikataza nisiende sehemu fulani km nilipanga kwenda huko, zaman nilikuwa sijali na nikienda huko nilikokatazwa napata kasheshe lolote lile. Pia nikiwa kwenye matatizo mazito sana sana ile sauti naisikia ikinielekeza nn cha kufanya na yanakuwa mepesi kuliko mwanzo.

Hii ni ile hisia ya sita na inafanya kazi karibia na uhalisia wake... Kwa kiswahili cha kawaida ni machale
 
Hakuna ufundi mkubwa zaidi ya kumsogelea na kumwambia taratibu kile unachotaka kumwambia
Kumbuka hatakujibu wala kugeuka au kushtuka lakini akikubaliana na ombi lako utagundua tu tofauti
Kwa mfano kama mikono ilikuwa inakakamaa kwenye kumvalisha mikono hiyo hiyo hulainika

mkuu hata kuku wanaokufa kwa kideri shingo hukakamaa ikiwa imepinda. je huyu ndege ili kumnyoosha unafanyaje?
 
Mkuu Mshana, kwa nini binadamu tuna kawaida ya kutowekea maanani hisia ya SITA??

Wengi tunataridhika na vile tulivyo huku material world ikitubeba mazima kwa mfano Leo hapa jukwaani ukiweka post ya kuwauliza watu wangependa wapate nini Katika maisha nina hakika asilimia zaidi ya 90 watakuambia pesa mali utajiri na vitu vinavyoonekana
Tunaishi enzi ya Kali-yuga, enzi mbaya kabisa yenye kila aina ya vurugu za Ulimwengu kila mtu anaangaliwa ana bei gani na anamiliki nini... Heshima yako itatoka hapo
Nani utamsumbua anifunze 'mambo yasiyo na maana'wakati akitaka nguvu za ziada atatumia shortcut za uchawi na makafara?
 
Ni kweli kabisa. Mana hizi mada ni za kiulimwengu mwengine kabisa.

1440977903753.jpg Mimi ni mchamungu nisiye na doa la ulozi moyoni mwangu Ndesalee... Wote tunapambana na shetani lakini kila mtu akitumia silaha tofauti
 
Last edited by a moderator:
Nimemsoma upya...aliandika noti ya tshs 10.

My apology to mangatara

Hata kama ni noti ya sh kumi ya mwaka 70 but still haiwezi kuwa na thamani la laki moja au hata nusu yake sorry.................laki moja ni sawa na dola 50 sasa je sh 10 ya tz mwaka 70 ilikuwa na thamani ya dola 50?
 
Last edited by a moderator:
MMM hizi elimu ngumu jamani. Mengine tumuachie Mungu sisi ni wadogo sana kujua hata yaliyofichika. Biblia imesema yalifichwa ni ya Mungu.
 
Iko hivi sikuwa anakataa live bali wakati wa kumvisha kama ni koti shati au hata suruali kuna kiungo kimoja hukakamaa kwa mfano kama ni mkono haunyanyuki au haukunjiki, kama ni mguu unajipinda au unakuwa mzito kunyanyua
Hivi vitu vinafanyika kwa namna ya ajabu na ya kipekee kabisa

Vilevile kuna kukosea vifungo au zipu kujichanganya! Yani mnaanza kufunga kifungo cha kwanza vizuri kabisa mkifika mwisho aidha vimepishana au mmeruka matundu, tulishawahi kukosea vifungo Mara SABA
Ni mpaka nilipotumia elimu niliyojifunza kuongea na marehemu kwa upole na kwa kumbembeleza ndio mambo yakawa sawa, na pia ndani ya chumba husika kama yupo mtu alikuwa na ugomvi na marehemu hakuna kitakachokwenda sawa hapo mpaka yule mtu atoke

Mshana wewe hasa profeshno yako ni ipi?????
Uliwahi kufanya kazi mochwari?????
 
Hahahaaaaa Zamaulid nimecheka hadi kidogo nipaliwe nakumbuka siku ya kwanza Kupewa maiti niiweke vizuri sikulala na kwakweli sikula nyama karibia wiki 2! Ilikuwa maiti iliyochomwa moto halafu ukazimwa kabla haijateketea yote

Na kuna wakati nikakosa mchumba hivi hivi baada ya kumwambia nafanya kazi gani hakulala aliaga na hakurudi tena

Kazi yako ni ipi mshana????!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom