Uwezo wa kuongea na wafu: Elimu Iliyoshindikana duniani

Uwezo wa kuongea na wafu: Elimu Iliyoshindikana duniani

Hapa kuna ndio na hapana
1. Ndoa ni mkataba wa watu wawili wasio ndugu wa jinsia mbili tofauti na ambao wamevuka miaka 16 kuishi pamoja kama mke na mume baada ya kuendana kwa kweli na kwa dhati....
Kama mapenzi yao yakidumu hadi uzeeni hata mmoja anapotangulia mbele za haki huyu mwingine aliye hai hawezi kuwa na mwingine si kwa masharti wala maagano bali ni mapenzi ya dhati
2. Shida hutokea kwa wale walioingia kwenye maagano ya viapo na yamini ya kutokuwa na mwingine hata baada ya kifo.... hapa kitakachofanya kazi sio ile roho ya marehemu bali ile roho ya maagano mliyojiundia
3. Kuna watu hufa huku wanawapenda na kuwajali wenza wao lakini kumbe hao wenza rohoni wana lao jambo na hawana mapenzi kabisa. kwa sababu zozote zile kuna nguvu ndio itakayoamua kufanya kazi positively au negatively
4. Kuna wale ambao hufanya mipango ili wenza wao wafe na wao warithi mali na wapenzi wao ya hawa huwa hawadumu roho ya kisasi huwaandama
Mwisho roho ya marehemu haina wivu nk kwakuwa ngono ni matendo ya kuridhisha hamu za mwili uozao
shikamoo
 
1465937873378.jpg
 
Roho na nafsi huwa havifi bali hubaki vikizunguka huko na huko na ndio maana kwasababu haijakamilika kuwa binadamu kamili basi huitwa mzimu/mizimu
Mizimu si majini wala vinyamkera bali ni roho za watu waliokuwa na maisha yao kama sisi
Zamani tukienda kutambika tulikuwa tunaimba hivi
Taaambaa tiase nkoba, tiombe Mungu mzimu wa Saita kagone
Yaani... tughani tutupe tunguli,tumuombe Mungu MZIMU wa Saita kalale
Haya ni mambo ya kimila.mizimu ilikuwepo na iliabudiwa
Unaposema mizimu ilikuwepo unamaanisha kwamba sasa hivi haipo?
 
Nipo kaka sema nchi za watu so mida tunapishana halafu busy sana
Aisee huku ni mwendo wa kutumbuana tu...ikifika zamu ya walozi na washirikina sijui itakuwaje
 
Anayedai anaongea na wafu anajidanganya.Hakuna yeyote mbinguni wala ardhini awezaye kuwazungumzisha wafu isipokua ni Mwenyezi Mungu.Sauti wanazosikia ni za mashetani.Hawa wamepewa uwezo wa kujibadilisha umbo lolote na kutumia ya sauti ya kiumbe yeyote hasa mwanadamu ili kutimiza malengo yake.Na kwa mtego huu,wengi wamenasa.Mtu anajua anaongea na baba 'ake aliye kaburini kumbe anaongea na shetani aliyeteka nyara Sauti ya baba 'ake ili kumpoteza.Na hata hiyo inayodaiwa ni mizimu,ni mashetani tu hayo.Shetani na majeshi yake wana mbinu nyingi,wana maarifa na uwezo mkubwa wa kututia kwenye maangamizi.Tujihadhari na hawa viumbe.
 
Roho na nafsi huwa havifi bali hubaki vikizunguka huko na huko na ndio maana kwasababu haijakamilika kuwa binadamu kamili basi huitwa mzimu/mizimu
Mizimu si majini wala vinyamkera bali ni roho za watu waliokuwa na maisha yao kama sisi
Zamani tukienda kutambika tulikuwa tunaimba hivi
Taaambaa tiase nkoba, tiombe Mungu mzimu wa Saita kagone
Yaani... tughani tutupe tunguli,tumuombe Mungu MZIMU wa Saita kalale
Haya ni mambo ya kimila.mizimu ilikuwepo na iliabudiwa
Mzee kuna kipindi nikiwa mdogo, nshawahi cheki muvi moja hv ilikuwa inaeleza kuhusu hayo mambo but skumbuki jina lake unaweza kufaham nyingine yyte ,naikumbuka coz kuna mtu alikuwa anatafsiri
 
Mama yangu alilazwa muhimbili,jioni ya mwisho kwenda kumuona alionekana kama ameshapona na kesho atatoka,lakini asubuhi tulipokwenda alikuwa amewekewa ooxygen,na ndio ikawa mwisho wa siku zake hapa duniani,niliumia sana kwa sababu nilikuwa na maswali mengi sana ya kumuuliza,ambayo hadi leo sina majibu yake.
 
Kuna marehemu babu yaani ni kaka ake na na marehemu babu yangu kizaa mama.....alikuwa akiishi Bariadi alikuwa akinipenda sana alikuwa akinisistiza sana niende kumtembelea bariadi.... Lakini alifariki Mimi sijawahi kwenda kwakwe....lakini siku zilivyokwenda nilikuja kuota ....na ongea nae akinilaumu kwanini sijaenda kwake mpaka amefariki ety hii imekaaje@Mshana lakini toka siku hyo sijawahi kumuota tena ilikuwa miaka ya kabla ya 2008
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] nilikuwa mimi
[emoji15] [emoji15] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji14] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji12]
 
[emoji15] [emoji15] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji14] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji12]
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji123] [emoji125] [emoji123] [emoji123]
 
Dunia imekuwa kama kijiji kutokana na uwezo mkubwa aliounyesha mwanadamu wa kugundua hata ambavyo vilifikirika kwamba haviwezekani

Elimu na ufahamu kuhusu mwili wa mwanadamu kuanzia kuumbwa tumboni kuzaliwa hadi kufa umetafitiwa na kunyumbulishwa kwa mapana yake na wengi wamepata elimu ya juu kabisa PhD kwenye hili eneo, lakini wakashishindwa kitu kimoja tuu!!! Uwezo wa kumuita marehemu na kuongea naye

Zamani kabla ya dini za kigeni hazijaja Africa tulikuwa kwa kiasi fulani tuna uwezo wa kuwaita marehemu kwa njia ya matambiko na kuwaomba hili au lile, lakini ikumbukwe kwamba hawakuja live bali dalili na ishara kadha zilionyesha uwepo wao na kukubali au kukataa ombi husika

Tumekuwa tunaondokewa na wapendwa wetu na watu tunaowahitaji mno katika maisha yetu, tumekuwa na vipindi vigumu kabisa ambapo tunawahamu na kuwahitaji japo wajitokeze kwa dakika chache tu lakini haikuwezekana kabisa

Mfu ni mfu na hatuna uwezo wowote iwe wa kimwili au wa kiroho kuweza kumuita na kuongea naye lolote, hii ni kwakuwa roho inapotengana na mwili hakuna tena huyo MTU bali kunatokea vitu vitatu visivyoweza kuungana tena na kutengeneza kitu kimoja. vitu hivyo ni roho mwili na nafsi, vitatu hivi ndio vinatengeneza MTU nje ya hapo kuna 'mwili wake', 'roho yake' au 'nafsi yake'

Watu wamejaribu kutoa shuhuda nyingi za kutokewa na marehemu, hili linawezekana kwasababu baada ya kifo kuna roho huwa zinawayawaya duniani, zipo tu na hizi ndizo ambazo hugeuka mizimu mizuri au mibaya

Wakati mmoja tu marehemu anaweza kusikia sauti ya mwanadamu na kuitii ni pale tu anapoandaliwa kwa safari yake ya mwisho kaburini, hasa kwenye ishu ya kumsafirisha au kumvalisha nguo

Nikiwa mtu ambaye nilidili na miili ya marehemu kwa miaka mitatu mfululizo nilikutana mara nyingi tu na hizi hali, marehemu hataki dharau ubishi au kufokewa nguo hata iwe inamtosha Siku hiyo itakataa mpaka mumbembeleza

Tuna wajuaji wengi Siku hizi wanaojifanya wametokewa na marehemu fulani na kumpa maagizo Fulani hizi kwa asilimia 90 ni story tu kwakuwa hatujakuwa na uwezo wa kuwaita au wao kututokea tu na uchafu wote huu tulionao
Dunia imekuwa kama kijiji kutokana na uwezo mkubwa aliounyesha mwanadamu wa kugundua hata ambavyo vilifikirika kwamba haviwezekani

Elimu na ufahamu kuhusu mwili wa mwanadamu kuanzia kuumbwa tumboni kuzaliwa hadi kufa umetafitiwa na kunyumbulishwa kwa mapana yake na wengi wamepata elimu ya juu kabisa PhD kwenye hili eneo, lakini wakashishindwa kitu kimoja tuu!!! Uwezo wa kumuita marehemu na kuongea naye

Zamani kabla ya dini za kigeni hazijaja Africa tulikuwa kwa kiasi fulani tuna uwezo wa kuwaita marehemu kwa njia ya matambiko na kuwaomba hili au lile, lakini ikumbukwe kwamba hawakuja live bali dalili na ishara kadha zilionyesha uwepo wao na kukubali au kukataa ombi husika

Tumekuwa tunaondokewa na wapendwa wetu na watu tunaowahitaji mno katika maisha yetu, tumekuwa na vipindi vigumu kabisa ambapo tunawahamu na kuwahitaji japo wajitokeze kwa dakika chache tu lakini haikuwezekana kabisa

Mfu ni mfu na hatuna uwezo wowote iwe wa kimwili au wa kiroho kuweza kumuita na kuongea naye lolote, hii ni kwakuwa roho inapotengana na mwili hakuna tena huyo MTU bali kunatokea vitu vitatu visivyoweza kuungana tena na kutengeneza kitu kimoja. vitu hivyo ni roho mwili na nafsi, vitatu hivi ndio vinatengeneza MTU nje ya hapo kuna 'mwili wake', 'roho yake' au 'nafsi yake'

Watu wamejaribu kutoa shuhuda nyingi za kutokewa na marehemu, hili linawezekana kwasababu baada ya kifo kuna roho huwa zinawayawaya duniani, zipo tu na hizi ndizo ambazo hugeuka mizimu mizuri au mibaya

Wakati mmoja tu marehemu anaweza kusikia sauti ya mwanadamu na kuitii ni pale tu anapoandaliwa kwa safari yake ya mwisho kaburini, hasa kwenye ishu ya kumsafirisha au kumvalisha nguo

Nikiwa mtu ambaye nilidili na miili ya marehemu kwa miaka mitatu mfululizo nilikutana mara nyingi tu na hizi hali, marehemu hataki dharau ubishi au kufokewa nguo hata iwe inamtosha Siku hiyo itakataa mpaka mumbembeleza

Tuna wajuaji wengi Siku hizi wanaojifanya wametokewa na marehemu fulani na kumpa maagizo Fulani hizi kwa asilimia 90 ni story tu kwakuwa hatujakuwa na uwezo wa kuwaita au wao kututokea tu na uchafu wote huu tulionao

Ni kweli kumekuwa na maendeleo mengi ya kisayansi ila tusiyoyajua ni mengi kushinda tunayoyajua.
Mshana tafuta kitabu kinaitwa:
Witnesses from the Grave: The Stories Bones Tell


 
Ni kweli kumekuwa na maendeleo mengi ya kisayansi ila tusiyoyajua ni mengi kushinda tunayoyajua.
Mshana tafuta kitabu kinaitwa:
Witnesses from the Grave: The Stories Bones Tell


Poa na hiki pia ni noma
1472802908101.jpg
 
hizi ni hadithi tu zisizo na ukweli wowote mtu akishakata roho hakuna mawasiliano yoyote yanayobakia ,kwa nini mnaamini amini tu na propaganda
 
Back
Top Bottom