Uwezo wa NIMR unafikirisha kutoa Tiba Lishe ya kufubaza Virus vya UKIMWI, tunaweza kuacha na ARV zenye masharti

Uwezo wa NIMR unafikirisha kutoa Tiba Lishe ya kufubaza Virus vya UKIMWI, tunaweza kuacha na ARV zenye masharti

Utanisamehe, do you believe hizi concoctions za NIMR zinaua virus? seriously? Are these herbs new in our daily lives with our diseases? Zimetumika from time immemorial na magonjwa yakatumaliza mpaka hapo wazungu walipokuja na modern medicine. Kwahiyo unaamini kujifukiza? Kwani kujifukiza hakukuwepo tangu dunia inaumbwa?
Unaamini wazungu lishe yao ni duni ndiyo maana wameshindwa kukabiliana na corona? NIMR wametengeneza lishe bora kuliko lishe ya kila siku ya wazungu? (inawezekana)...
Kumbuka plagiarism is an international crime and a civil wrong!
Washauri waende kwenye modern solutions to evolving and re-emerging diseases, traditional herbs with modern approaches, siyo kuwa encourage kuchemsha miti na kunywa/kujifukiza
Miti shamba inachangia 80% ya tiba.
Waulize China,Indonesia,Vietnam, India walifanyaje ?
Lakini mkuu unasahau hata neno medicine siyo la kizungu,pia umesahau Acient Egyptian walivyokuwa wametangulia sana kwa tiba,wakati huyo mzungu alikuwa yupo kwenye caves
Turning point inakuja.
 
Hujui kitu kuhusu hicho kirusi, Nina vivid examples za watu wangu ninao wafahamu kwa ukaribu sana, hawajawahi tumia ARVs kamwe na niwaathirika wa muda mrefu. You can’t even tell that they have been infected with the virus.

Upungufu wa kinga hasa kabla hazijashuka sana dawa yake ni lishe tu, period, tuwe tunajipima mala kwa mala.
Hao waathirika waliogoma kutuma ARV watakipata tu wanachokitafuta.Utakuja kutoa ushahidi hapa.
 
Utanisamehe, do you believe hizi concoctions za NIMR zinaua virus? seriously? Are these herbs new in our daily lives with our diseases? Zimetumika from time immemorial na magonjwa yakatumaliza mpaka hapo wazungu walipokuja na modern medicine. Kwahiyo unaamini kujifukiza? Kwani kujifukiza hakukuwepo tangu dunia inaumbwa?
Unaamini wazungu lishe yao ni duni ndiyo maana wameshindwa kukabiliana na corona? NIMR wametengeneza lishe bora kuliko lishe ya kila siku ya wazungu? (inawezekana)...
Kumbuka plagiarism is an international crime and a civil wrong!
Washauri waende kwenye modern solutions to evolving and re-emerging diseases, traditional herbs with modern approaches, siyo kuwa encourage kuchemsha miti na kunywa/kujifukiza
Watu wengine bwana utafikiri wamelogwa. Kwa kuwa mzee wa kaya kapigia chapuo "fukizi" wote wanaimba wimbo huohuo. Wajaribu kuacha kutumia ARVs na ku-"Opt" vyakula lishe waone!
 
Dawa ya NIMR ya COVID-19 sio ya traditional wala Modern.Ni kudanganya watu tu.Eti uchukue pili pili kichaa na tangawizi na vitungu swaumu ublend katika mashine kisha unasema ni dawa...hahaha.

ILI ugundue dawa ya kirusi ni lazima ujifunze kuhusu kirusi husika na tabia zake.Ndio njia hii hii ilitumia kugundua ARV.
Tumetumia na tumepona hivyo kuniambia sio dawa mie nakushangaa kwakweli.
 
Tumetumia na tumepona hivyo kuniambia sio dawa mie nakushangaa kwakweli.
Aliyekuambia ukipata COVID-19 ni lazima utumie dawa ndo upone ni nani?

Asilimia 95 ya wagonjwa wa COVID hawahutaji dawa yotote.Elimu Elimu Elimu!!!
 
Miti shamba inachangia 80% ya tiba.
Waulize China,Indonesia,Vietnam, India walifanyaje ?
Lakini mkuu unasahau hata neno medicine siyo la kizungu,pia umesahau Acient Egyptian walivyokuwa wametangulia sana kwa tiba,wakati huyo mzungu alikuwa yupo kwenye caves
Turning point inakuja.
Yani huyu jamaa ndio waabudu wazungu wanaotukwamisha. Jamii ya watu kama hawa ndio wanakula dili na wazungu kuangamiza waafrika wenzao.
 
Ukipata lishe sahihi hata uspotumia ARV unaishi
Nakwambia hivi.Utakipata tu unachokitafuta.

Miaka ya 80 watu wakikufa sana kwa Ukimwi.Wakaja Wakenya na dawa yao famba ya Kemron na watu wakaendelea kufa.Tunashukuru kwa ujio wa ARV.

Sasa wewe endeleo na uji lishe
 
Hayo magonjwa yaliyotumaliza mbona bado tupo na population imekuwa ikiongezeka from day to day,
Nikuulize , una umri gani? This is important maana kama umezaliwa miaka ya 80, si rahisi kujua popl dynamics za Tanganyika! Popln explosion in Africa imekuja baada ya ujio wa wazungu and colonisation na dawa za kutibu magonjwa!
Magonjwa ya zinaa yalizuia sana waaafrika kuzaa mpaka ilipogunduliwa Peniccilin....
.......For those with limited exposure to science, a traditional model of disease may seem plausible, while the notion of infection by invisible microbes may seem fanciful. .........


Press contact:Stephanie Hedt(213) 821-4555
Posted in
  1. EVIDENCE BASE
essential-oils-3456303_1920-1024x594.jpg



The Tension Between Traditional and Western Medicine

Modern medicine: Infectious diseases, timelines, and challenges
 
Ukipata lishe sahihi hata uspotumia ARV unaishi
Utapotosha watu sana wewe! Ukimwi umeanzia Bukoba kutoka Uganda. Hilo unalilisema Wahaya walilifanya sana kwa vijana wao ambao walianza kuumwa Ukimwi. I was there with my eyes witnessing what was going on with Lishe and other traditional Haya medication. ALL FAILED mpaka with the advent of ARVs!
Usiwe mtu wa jabu, au wewe ndiye Jiwe? all in all, hypocrisy is reigning now in Tanzania, even Jiwe is hypoctite!
 
Nakwambia hivi.Utakipata tu unachokitafuta.

Miaka ya 80 watu wakikufa sana kwa Ukimwi.Wakaja Wakenya na dawa yao famba ya Kemron na watu wakaendelea kufa.Tunashukuru kwa ujio wa ARV.

Sasa wewe endeleo na uji lishe
Ignore that man, ni mpotoshaji tu! si ajabu yuko kwenye ARV, anawadanganya watu
 
Nikupinge kwa hoja yako kwamba eti magonjwa yalitumaliza mpaka wazungu walipokuja na dawa zao, inawezekana hufuatilii ya duniani zaidi ya kubase kwetu tu. Unajua ni kwa kiasi gani magonjwa kama kansa yanavyowamaliza wazungu?

Hayo magonjwa yaliyotumaliza mbona bado tupo na population imekuwa ikiongezeka from day to day, na sio kwamba majority wapo under those western meds. Believe in yourself my fellow, we have all due requirements essential for our health’ complications, nature imecompile kila kitu, your food is your medicine.

Unaweza kuwa una jambo zuri sana la kuzungumzia - huenda ni tuimarishe lishe zetu na kuepuka baadhi ya tabia na tunaweza kuondokana na magonjwa.

Nakuona kama disgruntled person. Hufurahii order iliyopo. Hufurahii kufuata njia za kimagharibi za kuishi na kufanya mambo. Hata hiyo population inayokua kila siku unayoizungumzia utagundua ni kwa sababu life expectancy imeogezeka (wakati population growth iko moderate - si watu wengi wanazaa watoto kumi siku hizi).

Magonjwa mengi yanatibika leo kuliko zamani, hasa zile intrusive. Hata operations, imagery diagnosis, laboratory ni mambo yaliyotokea kwa hao wazungu. Haya ni mambo ambayo mababu zetu walishindwa kuyajua na wengi walikufa kwa sababu hayakujulikana.

Mkuu, kwa kifupi huna point!! ARVs ni dawa zinazoharakisha matokeo. Mtu akiamua kutumia lishe tu, kuna uwezekano mkubwa kuwa matokeo yatatokea katika muda mrefu.

Acha kutoa mapendekezo ya kipumbavu kwa jambo kubwa kama HIV/AIDS. Mapendekezo yako yapeleke kwenye matatizo ya macho, kichwa kuuma, baridi yabisi, nk.
 
Hujui kitu kuhusu hicho kirusi, Nina vivid examples za watu wangu ninao wafahamu kwa ukaribu sana, hawajawahi tumia ARVs kamwe na niwaathirika wa muda mrefu. You can’t even tell that they have been infected with the virus.

Upungufu wa kinga hasa kabla hazijashuka sana dawa yake ni lishe tu, period, tuwe tunajipima mala kwa mala.
Unajua immune system inafanyaje kazi? You should not generalize from a single incident like yours!
 
Wapuuzi sana, wajaribu na HIV waone moto wake! Unakuwa na zero white cell, halafu jifukize , utapata majibu mapema asubuhi!
Watu wengine bwana utafikiri wamelogwa. Kwa kuwa mzee wa kaya kapigia chapuo "fukizi" wote wanaimba wimbo huohuo. Wajaribu kuacha kutumia ARVs na ku-"Opt" vyakula lishe waone!
 
Wana Jf.

Tangu uwepo ugonjwa wa corona, mapambano ambayo NIMR imeyafanya , imejiongezea umaarufu na kujikutabinajulikana sana baada ya kutengeneza Tiba lishe mbali mbali kupambana na covid 19. Kabla ya hapo watanzania wengi walikuwa hawajui kama kuna kitu kama NIMR kinafanya utafiti wa Tiba mbalimbali.

Corona imetuamsha kuwa waafrika sasa tunaweza kuachanabna dawa za kiulaya ulaya tukatengeneza zetu ili kukwepa mikono ya mabeberu ambayo kwa kiasi kikubwa wanataka kutuingiza kwenye New World Order.

Kwa ufupi nimeona NIMR inaweza kutengeneza dawa Tiba lishe kukabiliananna kufubaza virus vya ukimwi tukaondokana na kutishwa tishwa na mataifa ya nje. ARV imetolewa muda mrefu, hivyo hawa watafiti hawawezi kishindwa kujua kilichomo kwenye dawa hizi.

Kama China wanacopy kila aina ya technology kwanini nasi watanzania tukafanya hivyo? NIMR ni wakati wa kukopi madawa mbali mbali mengine kuyaongezea uwezo kwani tumeanza kuwa na imani nao. Chini ya Rais wetu Magufuri tunaweza.
Hongera NIMR
 
Hujui kitu.. ?? Unajua HIV anatageti nn mwilin??.


Huyu kirusi alipewa uwezo wa matendo makuu nayaajabu ambayo virusi wengine Hawana. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tatizo lako ww unawaza siasa kila kitu kuna uhusiano mkubwa sana wa lishe bora na kuongeza kinga za mwili na kinga zikiongezeka ndio ushindi wa mwili ss ww kila kitu siasa. Drancuculus medinensisis loaloa ww
 
Back
Top Bottom