Uwezo wa NIMR unafikirisha kutoa Tiba Lishe ya kufubaza Virus vya UKIMWI, tunaweza kuacha na ARV zenye masharti

Uwezo wa NIMR unafikirisha kutoa Tiba Lishe ya kufubaza Virus vya UKIMWI, tunaweza kuacha na ARV zenye masharti

Unaweza kuwa una jambo zuri sana la kuzungumzia - huenda ni tuimarishe lishe zetu na kuepuka baadhi ya tabia na tunaweza kuondokana na magonjwa.

Nakuona kama disgruntled person. Hufurahii order iliyopo. Hufurahii kufuata njia za kimagharibi za kuishi na kufanya mambo. Hata hiyo population inayokua kila siku unayoizungumzia utagundua ni kwa sababu life expectancy imeogezeka (wakati population growth iko moderate - si watu wengi wanazaa watoto kumi siku hizi).

Magonjwa mengi yanatibika leo kuliko zamani, hasa zile intrusive. Hata operations, imagery diagnosis, laboratory ni mambo yaliyotokea kwa hao wazungu. Haya ni mambo ambayo mababu zetu walishindwa kuyajua na wengi walikufa kwa sababu hayakujulikana.

Mkuu, kwa kifupi huna point!! ARVs ni dawa zinazoharakisha matokeo. Mtu akiamua kutumia lishe tu, kuna uwezekano mkubwa kuwa matokeo yatatokea katika muda mrefu.

Acha kutoa mapendekezo ya kipumbavu kwa jambo kubwa kama HIV/AIDS. Mapendekezo yako yapeleke kwenye matatizo ya macho, kichwa kuuma, baridi yabisi, nk.
Mungu katuuwekea miti kwa ajili ya tiba mbali mbali ni sisi tu kujibidisha na tafiti ili tuvuke sio kuendekeza kuwategemea. HIV /Aids ni magonjwa yaliyotengenezwa na mabeberu ndio maana huku kwetu kiyafahamu ilikuwa mgumu. Sote tuweke nguvu zetu kwa watafiti hawa lazima tutapata matokeo chana tuachane na dawa za mabeberu. Kumbuka dawa za kufubaza formula zao zinajulikana nazo ni tiba lishe ARV nayo ni tiba lishe.
 
Hujui kitu.. ?? Unajua HIV anatageti nn mwilin??.


Huyu kirusi alipewa uwezo wa matendo makuu nayaajabu ambayo virusi wengine Hawana. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kujua proteas inhibitors, reverse transcriptase inhibitors, na intergrase inhibitors ndo ulete uswahili hayo ni majina tu ndg sayansi unayojua ni ya kukariri hauielewi ungeelewaa huwezi kuwabishia NIMR
 
Mungu katuuwekea miti kwa ajili ya tiba mbali mbali ni sisi tu kujibidisha na tafiti ili tuvuke sio kuendekeza kuwategemea. HIV /Aids ni magonjwa yaliyotengenezwa na mabeberu ndio maana huku kwetu kiyafahamu ilikuwa mgumu. Sote tuweke nguvu zetu kwa watafiti hawa lazima tutapata matokeo chana tuachane na dawa za mabeberu. Kumbuka dawa za kufubaza formula zao zinajulikana nazo ni tiba lishe ARV nayo ni tiba lishe.
Acha propaganda uchwara wewe. Ulizia waliokuwepo miaka ya 80 na 90 uambiwe Ukimwi ulivyopukutisha watu. Unadhani hizo lishe hazikuwepo?
 
Mungu katuuwekea miti kwa ajili ya tiba mbali mbali ni sisi tu kujibidisha na tafiti ili tuvuke sio kuendekeza kuwategemea. HIV /Aids ni magonjwa yaliyotengenezwa na mabeberu ndio maana huku kwetu kiyafahamu ilikuwa mgumu. Sote tuweke nguvu zetu kwa watafiti hawa lazima tutapata matokeo chana tuachane na dawa za mabeberu. Kumbuka dawa za kufubaza formula zao zinajulikana nazo ni tiba lishe ARV nayo ni tiba lishe.
Kuna
Miti shamba inachangia 80% ya tiba.
Waulize China,Indonesia,Vietnam, India walifanyaje ?
Lakini mkuu unasahau hata neno medicine siyo la kizungu,pia umesahau Acient Egyptian walivyokuwa wametangulia sana kwa tiba,wakati huyo mzungu alikuwa yupo kwenye caves
Turning point inakuja.
Tatizo watu wanayafanya maisha magumu wenyewemtu umezungukwa na mitishamba kibao uugue malaria ukimbilie ALU huu ni ujinga
 
Naskia ukishaanza RV hakuna kutoka tena.ukiacha kama usipokufa,basi hutajaribu kuacha tena
Ni kama kisukari, shinikizo la juu la damu na ata magonjwa ya akili.Haya ni magonjwa sugu na tiba ni ya kudumu.Kwani unataka kuacha ARV?
 
Hahaha nizimie kwamba ni mageni ????

Hilo nmelijua miaka kadhaa nyuma huko .

Nandio sababu nasema ivi, HAMNA LISHE IWEZAYO KUPAMBANA NA HIV.

na mtu asipotumia Dawa, hata ale msosi wa aina gani , Ataondoka mapema inavyowezekana.

Kwa ufupi, ninachosema ninakishuhudia kwa sababu ni watu ninaokutana nao karibu kila siku.


Acheni kupotosha watu.
nikikueleza pathophysiology ya HIV/AIDS unaweza kuzimia
Nikikuele
 
Hatua nzuri ila hawata kutana na mkono wa mabeberu kweli kwa kuua biashara yao ya ARV..??!
Hata hivyo waafrika ngumu kuaminiana na hapa ndipo tunapoanguka!..

Mkuu halafu ni tiba sio Tina na huyo tuna akuache maana muda si mrefu tutashihudia mengi..[emoji28]

NIMRI hawa hawa? Enzi zile zikisambaZwa ARV famba kutoka kile kiwanda cha mada.. walikuwepo? Walishindwa hata kufanya utafiti kuokoa jahazi? Sawa najua wao sio regulatory body ya masuala ya madawa , ila hata kufanya study kuonyesha impact ya madawa yaliyodhaniwa feki walishindwa? Kaazi kweli!
 
Kuna

Tatizo watu wanayafanya maisha magumu wenyewemtu umezungukwa na mitishamba kibao uugue malaria ukimbilie ALU huu ni ujinga
Tena mkuu afadhali kidogo wale wazungu wa kizamani waliiba tiba na utaalamu wa madawa kutoka Afrika, Arabuni Asia,Marekani ya wahindi wekundu wenyeji,kisazi hiki cha wazungu wa kisasa very hopeless ,muda mfupi watapoteza ushawishi wa ugunduzi wa tiba,wanachofanya sasa ni eti wao wapitie ugunduzi wako ndio utambuliwe na wao.
 
Ignore that man, ni mpotoshaji tu! si ajabu yuko kwenye ARV, anawadanganya watu
Situmii hata panadol sembuse ARVs! You’re some kind of joke, unapozidiwa maarifa unakimbilia personal attack kujificha, you must be a retired healthcare professional fed with western mastery.
Hivi unajua side effects za ARVs kwa waliotumia kwa muda mrefu? End of the day, death is inevitable and ARVs won’t help you to skip it.
Kunywa maji mengi, fanya mazoezi, matunda na mboga mboga kwa wingi. Endelea kutumia hayo mavitu maana umeshakuwa tegemezi kwayo.
 
Situmii hata panadol sembuse ARVs! You’re some kind of joke, unapozidiwa maarifa unakimbilia personal attack kujificha, you must be a retired healthcare professional fed with western mastery.
Hivi unajua side effects za ARVs kwa waliotumia kwa muda mrefu? End of the day, death is inevitable and ARVs won’t help you to skip it.
Kunywa maji mengi, fanya mazoezi, matunda na mboga mboga kwa wingi. Endelea kutumia hayo mavitu maana umeshakuwa tegemezi kwayo.
Who knows?
 
Hata wewe jeneza linakungoja tu, hakuna kichaka cha kujifichia linapofika suala la kifo. We last in a second.
Basi acha kuvaa Kondomu.Ata ukivuka barabara hakuna haja ya kuangalia kushoto na kulia.Ùnachomoka tu.Ukikanyagwa na gari poa tu sababu sisi hapa duniani ni wapita njia.
 
Situmii hata panadol sembuse ARVs! You’re some kind of joke, unapozidiwa maarifa unakimbilia personal attack kujificha, you must be a retired healthcare professional fed with western mastery.
Hivi unajua side effects za ARVs kwa waliotumia kwa muda mrefu? End of the day, death is inevitable and ARVs won’t help you to skip it.
Kunywa maji mengi, fanya mazoezi, matunda na mboga mboga kwa wingi. Endelea kutumia hayo mavitu maana umeshakuwa tegemezi kwayo.
Miafrika mpaka inyweshwe mavidonge ndio inaona kuwa in Tina. Kama wakiamua kula tiba lishe ya kuzalisha king a ARV tunaachana nayo
 
Basi acha kuvaa Kondomu.Ata ukivuka barabara hakuna haja ya kuangalia kushoto na kulia.Ùnachomoka tu.Ukikanyagwa na gari poa tu sababu sisi hapa duniani ni wapita njia.
Condom zipo before HIV, kazi yake sio kuzuia ngoma tu, mimba zisizotarajiwa vp?
Ngombe huvuka road bila kuangalia kushoto wala kulia, we mwenzangu umekuwa ngombe? Zebra cross za nn
 
Condom zipo before HIV, kazi yake sio kuzuia ngoma tu, mimba zisizotarajiwa vp?
Ngombe huvuka road bila kuangalia kushoto wala kulia, we mwenzangu umekuwa ngombe? Zebra cross za nn
Huenda una file Mirembe..
 
Back
Top Bottom