Uwezo wa Ronaldinho Gaucho uwanjani ulikuwa ni upi?

Unapima assist kwa wachezaji gani?unaweza sema Ozil amedrop Asernal hana assist za kutosha lakini kimsingi ametoa assist nyingi tatizo hamna wafungaji em fikiria Giroud amemiss assist ngap za Ozil alafu linganisha CR7 amemiss assist ngap za Ozil.
 
Gaucho alifanya soka lionekane mchezo wa furaha.......

Gaucho kote alikopita aliitwa football god....

Barca, ac Milan, PSG, flamengo, fluminense, mineiro etc
 
Unamjua maldini au umesimuliwa?
nimemuona vizuri na nibeki mzuri
ila sio kwa mtu kama mess

hivi wewe mess ni wa kuzuiwa kwa beki ya maldin isiojua faulo wala tackle

messi unaweza mkaba kwa akili kweli akiwa ameshika mpira ?

gaucho kacheza na maldin tu ? ajacheza na granada na levante athletic
 
Unapima assist kwa wachezaji gani?unaweza sema Ozil amedrop Asernal hana assist za kutosha lakini kimsingi ametoa assist nyingi tatizo hamna wafungaji em fikiria Giroud amemiss assist ngap za Ozil alafu linganisha CR7 amemiss assist ngap za Ozil.
gaucho alikua na etoo henry

kumbuka wenzako wanasema kipindi cha gaucho walikua wamesheeni wachezaji wazuri kulinganisha na sasa

sasa usiseme alikua ancheza na kina giroud type
 
Gaucho alifanya soka lionekane mchezo wa furaha.......

Gaucho kote alikopita aliitwa football god....

Barca, ac Milan, PSG, flamengo, fluminense, mineiro etc
vigezo ili uitwe football god ni vipi ?

kama ni danadana na kuweka mpira begani tupo pamoja mkuu

ila kwasifa nyingine za kichezaji hamna kitu
 
Sasa hivi hao wakina messi na ronaldo media zinawapa sana promo.
 
Gaucho sio sawa Messi au Ronaldo, hajawafikia hao. Ila Gaucho akicheza mpira anavutia zaidi kuangaliwa. Kila anapocheza kuna kitu kipya kizuri utakiona, na mpira wake haukua wa stress, hata wafungwe vipi yeye chenga atapiga tu.
safi we umenielewa mkuu

hata mimi namkubali kwa kuweka mipira mgongoni si kingine

nahauwezi kua na timu ukamsjili mpiga danadana ukaacha watu wanaopiga danadana na vitu vingine
 
Hivi ile Barcelona ya around miaka 2006 Hivi unasemaje Gaucho hakuwa mtu wa msaada na timu? mmhh! Wewe ni mshabiki au mpenzi wa mpira?
Au unaona clips zake tuu?

"Kumzuia Ronaldinho ni kitu ambacho hakiwezekani ila tutakachofabya ni kuzuia pasi zinazoenda kwake, ili asilete madhara" - Zidane, World Cup Quarter Final 2006.

Sasa kama Zizou alikuwa anamjua huyu jamaa madhara yake kwa kuchezesha/msaada kwenye timu, afu wewe Mmatumbi unasema uliyosema.....Tanzania ya viwanda tutaisikia
 
twende taratibu
mchezaji kwako aliekamilika anatakiwa awe na vitu gan ?taja hata vinne

kati ya hivo vinne utagundua vyote kazidiwa
Wewe ungesema vitu ambavyo Gaucho hana maana kwangu ni most complete striker I've seen so far
 
Pengine hajamshuhudia Gaucho uwanjani
 
Ila kumzuia mesi inawezekana?
 
wapi nimesema hakua na msaada?

huwezi mzuia gaucho ?umemwangalia kweli wewe?

tuelewane gaucho anauwezo mkubwa sana uwanjani ila hafiki uwezo wa messcr7 uwanjani

madhara ya mpira wa miguu ni magoli assist chance creativity na vyote kazidiwa !

mpaka hapa unamhitji zadane akuambie !
 
Well..
 
Mess Anazuiwa hadi na mtoto wa chekechea,

Sema media Zinawapromote sana na mabeki zao hao wala mayai na kuku wa kisasa
umeangalia mpira mkuu ?

mtu anaezuiliwa na mtoto wa chekechea anakuaje na goal nyingi na assist nying
kuliko ambae hakabiki

izo beki ni zipi mzitaje?
na alikua anakutana na beki hizo tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…