Uwezo wetu wa akili ni mdogo mno, teknolojia yetu inaenda kama konokono, binadamu anachekwa kila kona

Uwezo wetu wa akili ni mdogo mno, teknolojia yetu inaenda kama konokono, binadamu anachekwa kila kona

maishapopote

JF-Expert Member
Joined
May 28, 2009
Posts
3,408
Reaction score
6,094
Binadamu kafeli, tunaenda kwa speed ndogo sana ya maendeleo hasa kwenye suala la technologia, speed yetu ipo limited mno, kuanzia anga, majini hata nchi kavu.

Tunajisifu ujinga tu, tukigundua kitu kidogo tu makelele miaka mitano au sita,akitokea mmoja wetu na wazo la ujinga tu(mf:elon musk) tunamsifia dunia nzima.

Tech ya magari ni ile ile
Electromagnetic inayotukomboa ni ile ile
Electronics ni ile ile
Yaaani sisi ni mbumbumbu bado

Tumejaribu kusend radio waves kwenye sayari za mbali sana ili kama kuna viumbe vitujibu vimekausha kimya miaka na miaka NASA wanahangaika kuestablish mawasiliano no one respond maana bado tupo primitive mno akili ndogo sana they dont bother, wanaanzia wapi kuwasiliana na viumbe wajinga?

Leo nilikua nasoma mada humu JF kuhusu stealth bomber. Tech tunayotumia ni ya zamani mno yaani tunadivert radar waves zisirudi kwenye radar ndo tunajisifu eti ndege haziwi detected, upuuzi wa mwisho

Leo magari yanatumia umeme tunajisifu? Really? Umeme upo miaka kibao hatukua na wazo la kutengeneza umeme kutoka kwenye rotations za tyre mpaka leo? Majinga fc!

Leo marubani wetu wanakutana na vyombo vyenye perfomance ya ajabu kabisa angani wanakua confused. How can that be? wanashangaa, hawajui kuwa sisi ni takataka?

Wanashangaa chombo kinakata 90 degrees corner, kinasimama, kinapanda vertical,kinawapisha horizontal na kinapotea kwa kasi ya speed 5000 hadi 8000 in 4 seconds, wanaona uchawi? Na tulivyo wajinga wakiriport wanaambiwa wakae kimya mazuzu sisi.

Leo tunasema bianadamu ana maendeleo wakati vyuo vyetu vinafundisha ujinga ule ule? Maengineer wamefeli kabisa (nikiri mm ni engineer) wabunifu wa vitu vikubwa hamna, tumebaki mazwazwa!

Leo tunachemsha maji kwa kutumia atomic fussion, yaani mvuke unatoa umeme sa ndo nn? very common? tunaisifia hyperloop nn kigeni pale? Eti driveless car, jamani kwann hatufikirii?

Bado tunatumia radio waves, bluetooth na infrared kwenye mobile phones for years kipya nini?

Bana eeh tusidanganyane sisi bado, kasi yetu ipo very limited na akili yetu ni ndogo mno, mno. Tunajisifu ujinga ndio maana tupo wenyewe tu na msaada wetu lazima tuombe nje ya dunia na unakuja kama muujiza maana ni nje ya akili yetu.

Nakaribisha maswali ya watu wenye Akili tu.

MP...Legend JF...5th july 2021
 
Mimi nachoshangaa ni matangazo ya radio kali ya kisasa pale gari jipya linapotangazwa mfano 2020 Range Rover Velar, labda unakuta wanasema lina radio ya screen ya inchi 10. Sasa huwa nashangaa kama tablet zipo na zinauzwa chini ya Tshs. milioni 1, hivi kweli gari la Tshs. milioni 250 kuwa na redio ya Tshs. Milioni 1 ni kitu cha kusifia?

Au teknolojia ya redio katika gari ni ngumu sana, yaani kuweka radio ni kitu kigumu sana? Unaambiwa kila seat kutakuwa na TV yake, je hivi ndio vinafanya gari lionekane la kisasa kweli karne hii?
 
Mwenyezi Mungu alitupa page moja ya kitabu ndo hii tunaishi nayo mpk leo na ndo una Siri zote za maarifa. Kitabu bado amekaa nacho huku ulimwenguni mtawala shetani anajitahid tu kuwatumia majini wake kufanya maajabu ila wako slow kweli km ulivyosema Kaka.
 
Haaahaaaaaaa! Kuna watu Huwa nawaambia Dunia ni Kama Dome no escape anywhere, hii dunia ni kama jela binadamu Bado tupo kifungoni yaani imagine ikitokea siku magimba makubwa angani yakawa yanakuja ku hit Dunia human civilization ndio itakua mwisho wetu sababu hatuna sehemu mbadala wa kwenda.

Tutakufa wote na ndio Hadith yetu itaishia hapo.

Ulisemalo mkuu ni kweli ukiangalia Kwa jicho la tatu Bado tupo primitive tu!
 
What's new in the world? Nothing.

Upoyoyo tu unatuandama lakn we are extremely primitive kwa kila kitu.

Kuanzia elimu zetu and everything, halafu eti tunajigambaga mambo ya ki jingajinga sana.

Shame all of us!
 
kwanza ni jambo la kushukuru mpk kufika hapa teknolojia ipo mbali sana na inaenda kasi,wew unaelaumu hujagundua kitu chochote kwann uone kama watu hawafanyi kazi!! ni kwasababu ya kasi hii ndo maana mnalaumu msichoweza kugundua vya huko mbeleni

unajuaje je hapa tulipofika may be ilitakiwa tuwe nyuma miaka 500 huko??
 
Haaahaaaaaaa Kuna watu Huwa nawaambia Dunia ni Kama Dome no escape anywhere, hii Dunia Ni Kama jela binadamu Bado tupo kifungoni yaani imagine ikitokea siku magimba makubwa angani yakawa yanakuja ku hit Dunia human civilization ndio.
Technolojia yetu mkuu iko very limited, ndio maana hamna uvumbuzi mpya tokea walivyokufa kina tesla ..tunabaki kumsifiathomas edson wakati alikua mwizi tu ujinga ulianza zamani kweli
 
kwanza ni jambo la kushukuru mpk kufika hapa teknolojia ipo mbali sana na inaenda kasi,wew unaelaumu hujagundua kitu chochote kwann uone kama watu hawafanyi kazi!! ni kwasababu ya kasi hii ndo maana mnalaumu msichoweza kugundua vya huko mbeleni..
wewe unanitafuta ...nimegundua mengi tu...ila nao ni ujinga tu..akili yangu na yako ni sawa tu soma thread zangu utagundua naishi kwa kuuza vitu nilivyogundua lkn bado ni ujinga tu hii dunia ukiwa mbunifu kidogo tu unakua bilionea maana majinga kama wewe ni mengi mno...angalia hata kwenye mziki
 
Huyu bwana anaongelea teknolojia ya Binadamu na ile ya UAP/UFOs 😁
mkuu hiyo tech unaisema inasemwa semwa ila tech yetu bado ipo nyuma mno heb imagine engine ya gari tokea mwaka 1856 mpaka leo inafanyiwa modifications tu hamna aina mpya ya engine ya usafiri mara umeme,mara mvuke,mara gas mara petrol ila ujinga ni ule ule
 
So what you some kind of an allien who knows more advanced tech than all of man kind if it is so why dont do it so
nimeshakwambia na mm ni mjinga mwenzio tu nothing special sisi wote ni binadamu na tumefeli
 
Binadamu kafeli, tunaenda kwa speed ndogo sana ya maendeleo hasa kwenye suala la technologia...speed yetu ipo limited mno, kuanzia anga,majini hata nchi kavu...
[emoji3525]
 
Back
Top Bottom