Uwezo wetu wa akili ni mdogo mno, teknolojia yetu inaenda kama konokono, binadamu anachekwa kila kona

Uwezo wetu wa akili ni mdogo mno, teknolojia yetu inaenda kama konokono, binadamu anachekwa kila kona

Yote hayo yameshajadiliwa huko juu, inabaki kwako tu ikiwa unao uwezo wa kusoma kwa ufahamu na nia ya kujifunza…. hatua zipo ila ndogo ndogo mno ila wengi wajinga wa aina yako hushangilia sana.

JIFUNZENI.
Hakuna kimejadiliwa ambacho ni sensible zaidi ya modest personal opinions au unadhani technologically developments zinafanyika overnight?
Unakimbia nje ya mada na kuleta excuses bila hoja.

3500 to 7000 hiyo ni hatua ndogo?
Ndogo kwa kulinganisha na kipi ambacho ni kikubwa?
Unadefine vipi kwamba hii ni ndogo?

Ndio maana nikakuuliza.

Developments gani unategemea in 100 years?
Constructing artificial wormholes for interstellar departures or the ability to travel at the speed of light?

Mpaka sasa hakuna ulichojibu ambacho kinareflect kilicho ndani ya mada zaidi ya personal opinions.

Mjinga ni yoyote anayepinga bila facts wala proofs.
By definition mjinga ni wewe.
 
Binadamu kafeli, tunaenda kwa speed ndogo sana ya maendeleo hasa kwenye suala la technologia, speed yetu ipo limited mno, kuanzia anga, majini hata nchi kavu.

Tunajisifu ujinga tu, tukigundua kitu kidogo tu makelele miaka mitano au sita,akitokea mmoja wetu na wazo la ujinga tu(mf:elon musk) tunamsifia dunia nzima.

Tech ya magari ni ile ile
Electromagnetic inayotukomboa ni ile ile
Electronics ni ile ile
Yaaani sisi ni mbumbumbu bado

Tumejaribu kusend radio waves kwenye sayari za mbali sana ili kama kuna viumbe vitujibu vimekausha kimya miaka na miaka NASA wanahangaika kuestablish mawasiliano no one respond maana bado tupo primitive mno akili ndogo sana they dont bother, wanaanzia wapi kuwasiliana na viumbe wajinga?

Leo nilikua nasoma mada humu JF kuhusu stealth bomber. Tech tunayotumia ni ya zamani mno yaani tunadivert radar waves zisirudi kwenye radar ndo tunajisifu eti ndege haziwi detected, upuuzi wa mwisho

Leo magari yanatumia umeme tunajisifu? Really? Umeme upo miaka kibao hatukua na wazo la kutengeneza umeme kutoka kwenye rotations za tyre mpaka leo? Majinga fc!

Leo marubani wetu wanakutana na vyombo vyenye perfomance ya ajabu kabisa angani wanakua confused. How can that be? wanashangaa, hawajui kuwa sisi ni takataka?

Wanashangaa chombo kinakata 90 degrees corner, kinasimama, kinapanda vertical,kinawapisha horizontal na kinapotea kwa kasi ya speed 5000 hadi 8000 in 4 seconds, wanaona uchawi? Na tulivyo wajinga wakiriport wanaambiwa wakae kimya mazuzu sisi.

Leo tunasema bianadamu ana maendeleo wakati vyuo vyetu vinafundisha ujinga ule ule? Maengineer wamefeli kabisa (nikiri mm ni engineer) wabunifu wa vitu vikubwa hamna, tumebaki mazwazwa!

Leo tunachemsha maji kwa kutumia atomic fussion, yaani mvuke unatoa umeme sa ndo nn? very common? tunaisifia hyperloop nn kigeni pale? Eti driveless car, jamani kwann hatufikirii?

Bado tunatumia radio waves, bluetooth na infrared kwenye mobile phones for years kipya nini?

Bana eeh tusidanganyane sisi bado, kasi yetu ipo very limited na akili yetu ni ndogo mno, mno. Tunajisifu ujinga ndio maana tupo wenyewe tu na msaada wetu lazima tuombe nje ya dunia na unakuja kama muujiza maana ni nje ya akili yetu.

Nakaribisha maswali ya watu wenye Akili tu.

MP...Legend JF...5th july 2021
...Binadamu anachekwa kila kona.... Anachekwa na akina nani..!? Paka, Ngedere, Simba etc au na akina nani!?
 
Wewe umeelewa nini mkuu?
Jamaa amejitoa ufahamu kwa leo tu ila akijirudi na kutafakari ataona he was terribly wrong somewhere. Na ndio maana nikasema watamuelewa wachache kulingana na state yake ya Excitement to him any person commenting the wrong stuffs is not that intelligent.

Let him be this way I tell you after sometime he 'll wish he never pinned down the words from the very beginning
 
Mada nzuri sana na hatutakiwi kuijadili kwa kutoana akili, ukweli ni kuwa teknoloji tunayotumia leo iko kibiashara zaidi (namaanisha kuna watu wanadhibiti ni kwa kiasi gani tutumie na kipi kitakachofuata).
Teknoloji tunayotumia leo ilishapangwa miaka mingi sana na tayari waliyoishika dunia wanajuwa baada ya miaka mingi mbele kutakuwa na aina gani ya teknoloji.
 
akili ndogo kama yako ndio inafikiria modification...mi naongelea invention brother...kama huku africa ndo kabisa mtu anazaliwa hadi kufa hajagundua chochote hata style ya kula mbususu
maishapopote Hebu twambie umegundua kitu gani? kitu gani unacho katika akili yako .Ni kweli waliogundua mambo mengi duniani hawakusoma lkn walikuwa na akili si za kawaida .Wacha nikupe 1950 India ndio imefungua chuo cha IT leo matunda yake yanaonekana .
 
Niliwaza unasemea Waafrika tu , kumbe ni wote. Je wajua Wayahudi, ndio wenye akili ya juu sana duniani. Maendeleo yote duniani ni Wayahudi.
Wacha zako hizo mayahudi gani .waislamu ndio waliaonza kugundua mambo duniani ,hao mayahudi wameiba elimu kwa waislamu .Mbona mpk leo wameshindwa kuwa na nchi yao kama wana akili sana kwa sababu ya ujinga wao na wewe unakuwa mjinga kama wao .Kuna kitu kinaitwa Zionist hawa ndio wanaofanya ufisadi katika ardhi hii .Mungu kamuumba binadamu vitu vyote ktk dunia vimtumikie binadamu .
 
Sijaona malalamiko yako yanataka nin, wew eng unakuja na malalamiko tena juu y theory za watu unazikosoa bila heshima wala angalizo lolote,

mkuu naomba nikwambie ukweli kwa hili wew ni tatizo!!!

Umesema sisi bado okay huenda ni sawa lakin umeturinganisha na nan?? Kutumia tec ya zaman ni jambo kawaida tuu chuma kiligunduliwa zama za zaman tunatumia mpka leo japo tumeboresha.

Uzi wako ukiusoma juu juu nikama unapoint sana hiv na vitu muhimu unauliza, lakin ukianza tafakari unagundua huu ndio ujinga wetu wasomi wa tz maana haya uliyo yauliza yatabaki hayana majibu milele na milele na hata wew hapo huenda hauna hata mpango wa kufanyia kazi hata moja kati ya haya sasa kwanin nikupongeze.

namaliza kwa kusem wew n eng please njoo na hata soln zozote kuhusu haya achan na maswali ya kusadikika na kufikirika...... mfano umesema Nasa wanatumia radio wave wewe njoo na mbadala wake, bloototh na infrared nazo njoo na mbadala wake tuelewe.
 
mkuu kama technolojia gani ipo advanced? IDF wamegundua drones in the early 90's technolojia kama ya nuclear ni ya kawaida mno...leo nenda kwenye kampuni kama lockheed martin uone wanavyosifia ujinga tu a lot of propaganda...
mkuu heb angalia zile rovers zilizoenda mars kuanzia sojouner 1997 hadi perseverance na zhurong 2021 maendeleo ya kitechnolojia yameenda slow sana na nyingine zimekuwa defunct kabisa yaani hata kazi hazifanyi zimefail...kwenye perseverance wakaweka kiquadcopter sijui kama hata kinafanya kazi bado

sasa uyaone hayo majinga ya nasa yanavyoshangilia chombo chao kikitua ujinga tu...kutua? mi nilidhani by now ingekua kila sayari chombo kimeenda na watu ndani tujue sorroundings zetu? sasa kama sayari ya mars tu imekua ishu kwenda? je jupiter au saturn huko au lini tutatoka nje ya milkway galaxy yetu? kwa akili hii ya NASA labda miaka milion 3

Stupid humanoids....
Ukila na kipofu usimshike mkono
 
Mwanafalsafa wa kale Socrates, alisema binadamu hatujui kitu! Sawa ila kwa walipofikia wenzetu katika technology wapo mbali. Ungesema sisi Waafrika poa! Tunaishia kuchezea Smart phones bila kujua kinachoendelea. Wenzetu walikuja Afrika kutumyonya, ni kwa nini Mwafrika nae asiende Ulaya kuwanyonya? Walituletea dini zao, tungewapelekea za kwetu, ila tulipokea tu bila kuhoji.
 
Tatizo tuna baniwa mno. Ukivumbua tu wana kuua.
Haya yooote yalikuwepo tena hapo Misri tu ni mali zetu.wanachofanya leo ni kucopy na kupaste wao. Na sisi tuna binywa mpaka hatupumui.

Angalia kote Duniani tulipoishi sisi km watumwa ndo penye maendeleo makubwa ya technologia
 
Back
Top Bottom