Uwezo wetu wa akili ni mdogo mno, teknolojia yetu inaenda kama konokono, binadamu anachekwa kila kona

Uwezo wetu wa akili ni mdogo mno, teknolojia yetu inaenda kama konokono, binadamu anachekwa kila kona

kwanza ni jambo la kushukuru mpk kufika hapa teknolojia ipo mbali sana na inaenda kasi,wew unaelaumu hujagundua kitu chochote kwann uone kama watu hawafanyi kazi!! ni kwasababu ya kasi hii ndo maana mnalaumu msichoweza kugundua vya huko mbeleni

unajuaje je hapa tulipofika may be ilitakiwa tuwe nyuma miaka 500 huko??
Huyu. Mwamba anataka tuadvance mana mpaka leo hatujamaliza hata robo ya barua za tesla
 
Umechangia kipi kati vitu vilivyovumbuliwa na binadamu?.
Binadamu kafeli, tunaenda kwa speed ndogo sana ya maendeleo hasa kwenye suala la technologia, speed yetu ipo limited mno, kuanzia anga, majini hata nchi kavu.

Tunajisifu ujinga tu, tukigundua kitu kidogo tu makelele miaka mitano au sita,akitokea mmoja wetu na wazo la ujinga tu(mf:elon musk) tunamsifia dunia nzima.

Tech ya magari ni ile ile
Electromagnetic inayotukomboa ni ile ile
Electronics ni ile ile
Yaaani sisi ni mbumbumbu bado

Tumejaribu kusend radio waves kwenye sayari za mbali sana ili kama kuna viumbe vitujibu vimekausha kimya miaka na miaka NASA wanahangaika kuestablish mawasiliano no one respond maana bado tupo primitive mno akili ndogo sana they dont bother, wanaanzia wapi kuwasiliana na viumbe wajinga?

Leo nilikua nasoma mada humu JF kuhusu stealth bomber. Tech tunayotumia ni ya zamani mno yaani tunadivert radar waves zisirudi kwenye radar ndo tunajisifu eti ndege haziwi detected, upuuzi wa mwisho

Leo magari yanatumia umeme tunajisifu? Really? Umeme upo miaka kibao hatukua na wazo la kutengeneza umeme kutoka kwenye rotations za tyre mpaka leo? Majinga fc!

Leo marubani wetu wanakutana na vyombo vyenye perfomance ya ajabu kabisa angani wanakua confused. How can that be? wanashangaa, hawajui kuwa sisi ni takataka?

Wanashangaa chombo kinakata 90 degrees corner, kinasimama, kinapanda vertical,kinawapisha horizontal na kinapotea kwa kasi ya speed 5000 hadi 8000 in 4 seconds, wanaona uchawi? Na tulivyo wajinga wakiriport wanaambiwa wakae kimya mazuzu sisi.

Leo tunasema bianadamu ana maendeleo wakati vyuo vyetu vinafundisha ujinga ule ule? Maengineer wamefeli kabisa (nikiri mm ni engineer) wabunifu wa vitu vikubwa hamna, tumebaki mazwazwa!

Leo tunachemsha maji kwa kutumia atomic fussion, yaani mvuke unatoa umeme sa ndo nn? very common? tunaisifia hyperloop nn kigeni pale? Eti driveless car, jamani kwann hatufikirii?

Bado tunatumia radio waves, bluetooth na infrared kwenye mobile phones for years kipya nini?

Bana eeh tusidanganyane sisi bado, kasi yetu ipo very limited na akili yetu ni ndogo mno, mno. Tunajisifu ujinga ndio maana tupo wenyewe tu na msaada wetu lazima tuombe nje ya dunia na unakuja kama muujiza maana ni nje ya akili yetu.

Nakaribisha maswali ya watu wenye Akili tu.

MP...Legend JF...5th july 2021
 
Binadamu tukubali intelligence yetu imedumaa kwa kumtumikia ibilisi, kama tuliumbwa kwa mfano wa Mungu ina maana tunao uwezo wa ki Mungu ndani yetu. Kwa akili alizokuwa nazo binadamu alikuwa na uwezo wa kutatua changamoto yoyote ndani ya sekunde na ku predict changamoto za mbele na kuzitatua kabla hata hazijatokea.......leo hii magonjwa kama HIV yanakaa zaidi ya miaka 20 bila suluhu yoyote, kwenye korona ni kubahatisha bahatisha tu.......tumrudie Muumba tusijifanye wajanja.

Kusema kuwa umeumbwa kwa mfano wa Mungu ni nadharia tu ambayo umekaririshwa na binadamu mwenzako.

Kwa lugha rahisi, inaweza kuwa ni ujinga mwingine tu…. hata viumbe wengine kwa jinsi zao usikute wanaamini wameumbwa kwa mfano wa Mungu.

Hapo kwenye HIV kuna mdau kasema hapo juu, kama sio janja ya kibiashara basi tumefeli pakubwa.

Kwenye korona unaona kampuni zinakimbizana, lengo ni kupata fursa tu ili ziaminike zipige hela…. hakuna mwenye uhakika wala nia ya dhati ila maslahi tu.
 
Ndungu yangu kuna MUNGU aliyeumba mbingu na nchi na ndiye anatawala vyote na hata akili zetu anazitawala. Maarifa yote anayo yeye na ni kweli sisi tuko very limited kwa mambo mengi sana. Nikifikiria tu magonjwa kama ukimwi, cancer na mengineo tunashindwa kugundua kweli madawa. Tunarudi palepale kwamba kuna aliyejuu na hatuwezi kumtoroka na siku akisema leo ndiyo mwisho wako huna la kufanya.

Porojo!
 
Kusema kuwa umeumbwa kwa mfano wa Mungu ni nadharia tu ambayo umekaririshwa na binadamu mwenzako.

Kwa lugha rahisi, inaweza kuwa ni ujinga mwingine tu…. hata viumbe wengine kwa jinsi zao usikute wanaamini wameumbwa kwa mfano wa Mungu.

Hapo kwenye HIV kuna mdau kasema hapo juu, kama sio janja ya kibiashara basi tumefeli pakubwa.

Kwenye korona unaona kampuni zinakimbizana, lengo ni kupata fursa tu ili ziaminike zipige hela…. hakuna mwenye uhakika wala nia ya dhati ila maslahi tu.
Halafu ili ujue Binadam ni mjinga kiasi gani ameweka travel Ban mpaka uwe umepigwa chanjo, hii ni kulazimishana biashara na ujinga wa mwisho angalia tunavyoumizana na kukandamizana
 
Tatizo kazi tuliyopewa na Mungu pia hatufanyi, Kushukuru, Kuabudu na Kutukuza ni kazi kubwa tuliyopewa wakati wa uvumbuzi Sasa wengi tunawasifu waliovumbua badala ya Mungu na wakati mwingine tunaomba tu bila Kushukuru tulivyopewa mfano mtu Kesha pata chakula badala ya Kushukuru anaanza kuomba tena hata kwenye tekinolojia hivyo hivyo badala ya kutumia na kushukuru Mungu mtu anaanza kuomba tena alichonacho.

Kwamba unaomba Mungu akupe teknolojia, aisee!![emoji848]
 
Halafu ili ujue Binadam ni mjinga kiasi gani ameweka travel Ban mpaka uwe umepigwa chanjo, hii ni kulazimishana biashara na ujinga wa mwisho angalia tunavyoumizana na kukandamizana
Kama kavumbua chanjo, travel ban ya nini.......ubabaishaji na ujanja ujanja mwingi, lazima tuna shida mahali.
 
Nimesoma uzi wote na kote nimeona upo sahihi ila nimegundua kosa moja tu.

Correction.
Naamini by "uwezo wetu ni mdogo" ulikuwa unajiongelea mwenyewe.
Na kosa lako ni kutumia neno "uwezo Wetu" badala ya "Uwezo Wangu".

1912 watu walitengeneza meli yenye uwezo wa kuchukua watu 3500.
Wewe uliyezaliwa juzi umegundua nini ambacho ni great contribution to the world?

Mkuu if you're just trolling around then it's ok but if you're serious then this is an immense level of bullshit.

Wewe sasa ndo hiyo bullshit yenyewe, or rather just a piece of it.

Unasema 1912 watu walitengeneza meli ya watu 3500 capacity, je leo hii kuna zaidi ya hiyo meli? Kama hakuna, kwanini!

Na hapo ndipo ilipo hoja ya maishapopote kwamba tumekwama hatupigi hatua, au kama hatua zipo ni mdogo mdogo sana.

JIFUNZENI.
 
Niliwaza unasemea Waafrika tu , kumbe ni wote. Je wajua Wayahudi, ndio wenye akili ya juu sana duniani. Maendeleo yote duniani ni Wayahudi.
 
Wewe sasa ndo hiyo bullshit yenyewe, or rather just a piece of it.

Unasema 1912 watu walitengeneza meli ya watu 3500 capacity, je leo hii kuna zaidi ya hiyo meli? Kama hakuna, kwanini!

Na hapo ndipo ilipo hoja ya maishapopote kwamba tumekwama hatupigi hatua, au kama hatua zipo ni mdogo mdogo sana.

JIFUNZENI.
Ungekuwa more polite kwa kuuliza kwanza au KUJIFUNZA kwanza ili kuepusha kujichora badala ya kuja na insensible and yet proved statement.

Well now umeprove you're the main fundamental of bullshitness.

Sasa hivi kuna meli kubwa za kubeba watu mpaka 7000.

Au ni developments gani unaongelea ndani ya 100 years?

Constructing artificial wormholes for interstellar departures or the ability to travel at the speed of light?
 
Ungekuwa more polite kwa kuuliza kwanza au KUJIFUNZA kwanza ili kuepusha kujichora badala ya kuja na insensible and yet proved statement.

Well now umeprove you're the main fundamental of bullshitness.

Sasa hivi kuna meli kubwa za kubeba watu mpaka 7000.

Au ni developments gani unaongelea ndani ya 100 years?

Constructing artificial wormholes for interstellar departures or the ability to travel at the speed of light?

Yote hayo yameshajadiliwa huko juu, inabaki kwako tu ikiwa unao uwezo wa kusoma kwa ufahamu na nia ya kujifunza…. hatua zipo ila ndogo ndogo mno ila wengi wajinga wa aina yako hushangilia sana.

JIFUNZENI.
 
Back
Top Bottom