Uwoya adaiwa ndio chanzo cha Dogo Janja kuwa na muonekano wa kike

Dogo Janja toka ameoa yaan ndio ana kuwa na mambo ya ajabu ajabu zaid.
Sjajua nani alo mroga
mkuu pesa "" biashara ya media kwa sasa bila yakufnya hayo mavituko lazima ufe na njaa hahaa ...so wanajkuta wanalazimika kuwa watumwa wa fikra ili waendelee kubaki midomoni mWa watu
 
Dogo aliimba kuwa "anapewa hadi mambo ya uwani" ktk wimbo wake wa Ngarenaro
 
Shida ya utajiri na umaarufu, mwishowe atakuwa chakula cha watu, ni suala la muda tu.
 
Joti mwenyewe alishasema watu wanamtongoza kwa uhusika anaojivika kuwa mwanamke.
Sasa na huyu dogo ajiandae kukutana na mitongozo
 
Mbona Joti huwa anaigiza kuwa mwanamke pia?

Anyway mimi sikubaliani na hilo suala ila nahisi alikuwa anajaribu kutafuta "attention" ya wimbo wake huo,kwa hilo amefanikiwa coz watu wengi wanakimbizana huko you tube kuutazama.

Usanii ni ubunifu.
 


Kina Caitlyn Jenner walianzaga hivi hivi....mwisho wa siku alikata dushelele na sasa kawa demu eti anashindana na mke aliyemzalia watoto. Kuwa na mahusiano na hawa mademu wa bongo muvi ni hasara tupu kwa sababu hawana vigezo vya kuwa wake kweli wamezoea kulostisha wanaume wasiojitambua. Sasa hivi tutasikia huyu dogo anashikishwa ukuta na Uwoya.
 
Joti,dullavan na wengine vipi nao wakuu au wale wanawake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…