Mmmmh sidhani kama ni kweli uyasemayo.
Nakufananisha na nani?Man kwasababu hunijui ndio maana unanifananisha.
Sawa.I don't know.
Kama anamuonea hurumaKampe wew
Aisee,Nasma we ndo wa kuniambia hivyo?Kama anamuonea huruma
Kufuatilia fuatilia ndoa ya mwanamme mwenzako utaolewa na wewe uwe mke wa pili ukampe unyumba huyo dogo janja mke wake wa kwanza akisusa.Kwa habari za kunyapia nyapia ni kwamba Irene Pancras Uwoya (Sheila Abdul) aanza kumchukia dogo janja kiasi cha kuyumbisha penzi lao na mbaya zaidi amekuwa akimnyima penzi dogo janja na mara nyingi hupenda kumkwepa kwepa janjaro na kiasi fulani anahisi kama janjaro ndo chanzo cha mumewe kipenzi Hamadi Kataut.
Dogo janja mara kwa mara akitafutwa kujibu suala hili la kunyimwa penzi na uwoya amekuwa akibabaika sana na muda mwengine hupenda kujibu nje ya mada ili asiendelee kuulizwa.
Hogo???Hogo limeanza kumshinda....
sawa.Kufuatilia fuatilia ndoa ya mwanamme mwenzako utaolewa na wewe uwe mke wa pili ukampe unyumba huyo dogo janja mke wake wa kwanza akisusa.
Umefuata nini celebrities forum?We jike au dume, kwanini unafuatilia maisha ya watu? Wenzio tunasaka hela ili tuende sawa na huu usawa wa magu, mwenzetu unafuatilia ndoa za watu! Dogo acha hizo kwani hizo zilipendwa!
Sawa.Haya Maisha Unayo Ishi Mleta Mada Siyawez
Hata wewe pia mbeyaMwanaume kuwa mmbeya mmbeya haipendezi mkuu.
Ogopa sana "wakiume" anayejisifu kwamba yeye ni "mtanashati"bro kama wewe ni mwanaume aisee shida ipo
sawa.Ogopa sana "wakiume" anayejisifu kwamba yeye ni "mtanashati"
Kunyapia nyapiaUmejuaje kama ananyimwa unyumba