Pre GE2025 UWT: Tundu Lissu zungumza na Rais kwa staha, vinginevyo...

Pre GE2025 UWT: Tundu Lissu zungumza na Rais kwa staha, vinginevyo...

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Umoja wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi Tanzania (UWT) umesema utapambana na chama chochote ama mtu yeyote atakayeeneza kile ilichokiita dhihaka ama propaganda ovu dhidi ya Rais wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM taifa Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Kuhusu kauli ya Lissu soma > Tutaongea na Rais Samia lugha atakayoielewa

Hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa UWT taifa, Mary Chatanda Jumanne Februari 4,2025 jijini Dodoma wakati wa Kongamano la Wanawake kuelekea maadhimisho ya Miaka 48 ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Amesema UWT ni jeshi kubwa hivyo mtu yeyote atakayetaka kupambana na Rais Samia ajipange, na amekitaka Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kutumia lugha za staha wanapotaka maridhiano kwa jambo lolote na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan.

BAWACHA wajibu mapigo
 
Umoja wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi Tanzania (UWT) umesema utapambana na chama chochote ama mtu yeyote atakayeeneza kile ilichokiita dhihaka ama propaganda ovu dhidi ya Rais wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM taifa Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Kuhusu kauli ya Lissu soma > Tutaongea na Rais Samia lugha atakayoielewa

Hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa UWT taifa, Mary Chatanda Jumanne Februari 4,2025 jijini Dodoma wakati wa Kongamano la Wanawake kuelekea maadhimisho ya Miaka 48 ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Amesema UWT ni jeshi kubwa hivyo mtu yeyote atakayetaka kupambana na Rais Samia ajipange, na amekitaka Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kutumia lugha za staha wanapotaka maridhiano kwa jambo lolote na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Mama wa uwt wakati wa kurudi Ludewa ukalime viazi unakaribia. Mwache Lissu afanye yake!
 
Umoja wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi Tanzania (UWT) umesema utapambana na chama chochote ama mtu yeyote atakayeeneza kile ilichokiita dhihaka ama propaganda ovu dhidi ya Rais wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM taifa Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Kuhusu kauli ya Lissu soma > Tutaongea na Rais Samia lugha atakayoielewa

Hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa UWT taifa, Mary Chatanda Jumanne Februari 4,2025 jijini Dodoma wakati wa Kongamano la Wanawake kuelekea maadhimisho ya Miaka 48 ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Amesema UWT ni jeshi kubwa hivyo mtu yeyote atakayetaka kupambana na Rais Samia ajipange, na amekitaka Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kutumia lugha za staha wanapotaka maridhiano kwa jambo lolote na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Hao wote wa UWT hawana chochote wala lolote lile, hawana hata ndoa KAZI kueneza UTI kwa Vijana tu
 
Wakoroga uji wa CCM nao wameanza kutoa milio, kazi ipo
 
Wa kupuuzwa ni wewe usiye na heshmu
Barmaid ni kazi kama wewe ulivyo naa yako

Usidharau kazi za wengine
Mabarmaid mna solidarity kweli kweli, sikujua kumbe na wewe ni mfungua vizibo.
 
Mabarmaid mna solidarity kweli kweli, sikujua kumbe na wewe ni mfungua vizibo.

Mimi huwezi kunijua kama mfungua vizibo ila nna uhakika huwezi kuwasahau wanaokufumua kizibo kila siku hadi huzibiki tena
 
Back
Top Bottom