UWT yalaani vikali BAWACHA kuchoma vitenge vyenye picha ya Rais Samia, yasema ni upuuzi na utoto mkubwa

\acheni watu waonyeshe hisia zao, msiwapangie!
 
Bandiko refuu inshu ni kuchoma vitenge tu
unalia lia vp kama wangechoma na pichu si ungezimia kabisa!
 
Mabovu ya nini. Kwani hivyo vitenge UWT imechangia sh. ngapi?
 
 

Attachments

  • 5840030-8b6e32e8c5d088c4b2c50a4a8b0414c1.mp4
    14.7 MB
Sasa ilikuwaje Samia akahudhuria kwenye event ya baraza ambalo kazi yake haijulikani na zawadi akawaatia? Umeandika bila kuchuja Unamvua nguo unayemsifia. Unan'gata na kupuliza
 
Sasa ilikuwaje Samia akahudhuria kwenye event ya baraza ambalo kazi yake haijulikani na zawadi akawaatia? Umeandika bila kuchuja Unamvua nguo unayemsifia. Unan'gata na kupuliza
Mbona maswali yako ni ya kitoto sana ndugu yangu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…