Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Mungu asante kwa kuwapigania makamanda.. Mungu ibariki CHADEMAMsafara wa Viongozi uliokuwa ukielekea Kigoma kwaajili ya maandalizi ya uzinduzi wa Oparesheni mpya ya Chama umepata ajali saa nane usiku wa kuamkia leo Aprili 27, 2023.
Ajali hiyo imetokea wilaya ya Uyui Tabora, Kata ya Kigwa, Waliopata ajali Mhe. Yohana Kaunya Kaimu Katibu Mkuu Bavicha, Mhe. Nuru Ndosi Naibu Katibu Mkuu Bawacha - Bara, David Chiduo, Josephat magambo na Daniel Marwa - Dereva.
Hakuna aliyefariki, wote wanapatiwa matibabu katika Zahanati Kigwa B,
Wilaya ya uyui.
View attachment 2601073View attachment 2601074View attachment 2601075
Mungu asante kwa kuwapigania makamanda.. Mungu ibariki CHADEMA
Wastue waninginize mdoli pale kwenye driving mirror, ndani ya mdoli utawaelekeza nini wawekeMungu asante kwa kuwapigania makamanda.. Mungu ibariki CHADEMA
Kwa nchi inayojitambua na raia wenye akili wanaopenda maendeleo hufanya kazi usiku na mchana ,usiku usiku kama wachawi. Kwanini wasitembee mchana ili hata wakihujumiwa wananchi waone.
usiku usiku kama wachawi. Kwanini wasitembee mchana ili hata wakihujumiwa wananchi waone.
Poleni makamanda. Ila usiku haikuwa sawa