Uyui, Tabora: Msafara wa Viongozi wa CHADEMA, wapata ajali wakiwa wanaelekea Kigoma

Uyui, Tabora: Msafara wa Viongozi wa CHADEMA, wapata ajali wakiwa wanaelekea Kigoma

Msafara wa Viongozi uliokuwa ukielekea Kigoma kwaajili ya maandalizi ya uzinduzi wa Oparesheni mpya ya Chama umepata ajali saa nane usiku wa kuamkia leo Aprili 27, 2023.

Ajali hiyo imetokea wilaya ya Uyui Tabora, Kata ya Kigwa, Waliopata ajali Mhe. Yohana Kaunya Kaimu Katibu Mkuu Bavicha, Mhe. Nuru Ndosi Naibu Katibu Mkuu Bawacha - Bara, David Chiduo, Josephat magambo na Daniel Marwa - Dereva.

Hakuna aliyefariki, wote wanapatiwa matibabu katika Zahanati Kigwa B,
Wilaya ya uyui.
View attachment 2601073View attachment 2601074View attachment 2601075
Safari za usiku kama ni mgeni wa barabara ni hatari sana,kama nadanganya muulizeni huyo dereva
 
Hiyo Barabara imebonyea bonyea sana maeneo ya Kigwa.
 
Wastue waninginize mdoli pale kwenye driving mirror, ndani ya mdoli utawaelekeza nini waweke
Hahahahaaaa!
Kumbe mle kwwnye vimdoli kuwa vitu e? Duh, wabongo kwa kuendekeza uchawi na ushirikina ni balaa.

Niliwahi kupanda bus la kampun fulani maarufu sana miaka ya nyuma kidogo kutoka mwanza-tabora, mbele wameweka 'tunguli' na usinga. Gari bovu, linazima muda wowote. Na bado walitushusha nje ya mji ili kukwepa traffic, sitasahau!
 
Msafara wa Viongozi uliokuwa ukielekea Kigoma kwaajili ya maandalizi ya uzinduzi wa Oparesheni mpya ya Chama umepata ajali saa nane usiku wa kuamkia leo Aprili 27, 2023.

Ajali hiyo imetokea wilaya ya Uyui Tabora, Kata ya Kigwa, Waliopata ajali Yohana Kaunya Kaimu Katibu Mkuu Bavicha, Nuru Ndosi Naibu Katibu Mkuu Bawacha - Bara, David Chiduo, Josephat magambo na Daniel Marwa - Dereva.

Hakuna aliyefariki, wote wanapatiwa matibabu katika Zahanati Kigwa B,
Wilaya ya uyui.
View attachment 2601073View attachment 2601074View attachment 2601075
Mmepona kweli!!?
 
Msafara wa Viongozi uliokuwa ukielekea Kigoma kwaajili ya maandalizi ya uzinduzi wa Oparesheni mpya ya Chama umepata ajali saa nane usiku wa kuamkia leo Aprili 27, 2023.

Ajali hiyo imetokea wilaya ya Uyui Tabora, Kata ya Kigwa, Waliopata ajali Yohana Kaunya Kaimu Katibu Mkuu Bavicha, Nuru Ndosi Naibu Katibu Mkuu Bawacha - Bara, David Chiduo, Josephat magambo na Daniel Marwa - Dereva.

Hakuna aliyefariki, wote wanapatiwa matibabu katika Zahanati Kigwa B,
Wilaya ya uyui.
View attachment 2601073View attachment 2601074View attachment 2601075
Pole sana makamanda mwenyezi Mungu awape wepesi mpate kupona mapema.
 

Nawataka CHADEMA kumuomba radhi Makonda, wakikaidi watakutana na hasira ya Mungu
Mungu amewanusuru kwenye kifo,Mungu ni fundi.
 
Msafara wa Viongozi uliokuwa ukielekea Kigoma kwaajili ya maandalizi ya uzinduzi wa Oparesheni mpya ya Chama umepata ajali saa nane usiku wa kuamkia leo Aprili 27, 2023.

Ajali hiyo imetokea wilaya ya Uyui Tabora, Kata ya Kigwa, Waliopata ajali Yohana Kaunya Kaimu Katibu Mkuu Bavicha, Nuru Ndosi Naibu Katibu Mkuu Bawacha - Bara, David Chiduo, Josephat magambo na Daniel Marwa - Dereva.

Hakuna aliyefariki, wote wanapatiwa matibabu katika Zahanati Kigwa B,
Wilaya ya uyui.
View attachment 2601073View attachment 2601074View attachment 2601075
Poleni makamanda Mungu yu pamoja nanyi.
 
Back
Top Bottom