Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Pole sana kwa MakamandaMsafara wa Viongozi uliokuwa ukielekea Kigoma kwaajili ya maandalizi ya uzinduzi wa Oparesheni mpya ya Chama umepata ajali saa nane usiku wa kuamkia leo Aprili 27, 2023.
Ajali hiyo imetokea wilaya ya Uyui Tabora, Kata ya Kigwa, Waliopata ajali Mhe. Yohana Kaunya Kaimu Katibu Mkuu Bavicha, Mhe. Nuru Ndosi Naibu Katibu Mkuu Bawacha - Bara, David Chiduo, Josephat magambo na Daniel Marwa - Dereva.
Hakuna aliyefariki, wote wanapatiwa matibabu katika Zahanati Kigwa B,
Wilaya ya uyui.
View attachment 2601073View attachment 2601074View attachment 2601075
Mwingine, miongoni mwa wale wenye matatizo kichwani, huyu hapa. Haelewi hata kinachoongolewa.Nawataka CHADEMA kumuomba radhi Makonda, wakikaidi watakutana na hasira ya Mungu
Akiwa Mkuu wa Mkoa wa DSM, CHADEMA walimchafua sana Makonda na kumsingizia mambo mengi. Ugaidi,Uuaji, utesaji n.k tena walienda mbali na kumhusisha na dhulma kubwa kubwa,rushwa na upigwaji risasi wa Tundu Lissu. CHADEMA waliuaminisha Umma kuwa Makonda atakuja shitakiwa kwa makosa yake lukuki...www.jamiiforums.com
Nawataka CHADEMA kumuomba radhi Makonda, wakikaidi watakutana na hasira ya Mungu
Tunawatakia wapate afya haraka kwa Uwezo w Mungu waendelee na kazi zao Adhimu.Msafara wa Viongozi uliokuwa ukielekea Kigoma kwaajili ya maandalizi ya uzinduzi wa Oparesheni mpya ya Chama umepata ajali saa nane usiku wa kuamkia leo Aprili 27, 2023.
Ajali hiyo imetokea wilaya ya Uyui Tabora, Kata ya Kigwa, Waliopata ajali Mhe. Yohana Kaunya Kaimu Katibu Mkuu Bavicha, Mhe. Nuru Ndosi Naibu Katibu Mkuu Bawacha - Bara, David Chiduo, Josephat magambo na Daniel Marwa - Dereva.
Hakuna aliyefariki, wote wanapatiwa matibabu katika Zahanati Kigwa B,
Wilaya ya uyui.
View attachment 2601073View attachment 2601074View attachment 2601075
Mungu fundiMwingine, miongoni mwa wale wenye matatizo kichwani, huyu hapa. Haelewi hata kinachoongolewa.
Ambao kichwani hamjakamilika, mngekuwa mnatulia, waacheni wenye akili timamu ndio wachangie hoja zinapoletwa jukwaani.
Ruzuku hizi, usikuu wote WA Nini jamaaniii, nawakati madereva wao siowazoefu na barabara za hukoo?Msafara wa Viongozi uliokuwa ukielekea Kigoma kwaajili ya maandalizi ya uzinduzi wa Oparesheni mpya ya Chama umepata ajali saa nane usiku wa kuamkia leo Aprili 27, 2023.
Ajali hiyo imetokea wilaya ya Uyui Tabora, Kata ya Kigwa, Waliopata ajali Mhe. Yohana Kaunya Kaimu Katibu Mkuu Bavicha, Mhe. Nuru Ndosi Naibu Katibu Mkuu Bawacha - Bara, David Chiduo, Josephat magambo na Daniel Marwa - Dereva.
Hakuna aliyefariki, wote wanapatiwa matibabu katika Zahanati Kigwa B,
Wilaya ya uyui.
View attachment 2601073View attachment 2601074View attachment 2601075
Kwahiyo wangekufa ndooo ungefurahiii si ndioooKwa nchi inayojitambua na raia wenye akili wanaopenda maendeleo hufanya kazi usiku na mchana ,
Ila kwa watu wenye akili za kimaskini kama wewe huona usiku ni muda wa wachawi , usiwe mpumbavu badilika
Kufa hakuchagui muda.hiyo ni ajali kama ajali zingine.Sio watu wote tunatakiwa tulale giza likiingia.Kwahiyo wangekufa ndooo ungefurahiii si ndiooo
Crap from low mind.Labda walikuwa wamelewa, wamechukua ruzuku, hata tairi za gari hazijanunuliwa, na Hela imeisha, ni mwendo wa tairi kubasti
Saa nane usiku,hatari sana.
Usikute walikuwa wanatoka Kwa Mganga wao, wakapewa masharti ya kusafiri usiku,njiani wakakutana na zaidi Yao kujaribu tu mambo yakajibu. Wanasiasa......Wastue waninginize mdoli pale kwenye driving mirror, ndani ya mdoli utawaelekeza nini waweke
Wakati wote, iwe usiku iwe mchana, kuna watu wapo barabarani. Ndivyo ilivyo Duniani kote. Na hata barabara zinatengenezwa kukidhi safari majira na nyakati zote.
Hujuma gani kwenye ist asee msafara wa viongozi una ist kweli kabisa ifike kigoma๐๐๐๐ mambo mengine kujitakiausiku usiku kama wachawi. Kwanini wasitembee mchana ili hata wakihujumiwa wananchi waone.
Kweli kabisa, vijiji vingine hupiti na mzigo (dawa za mazindiko), lazima unase kwenye network ya watu wenye umeme mkali. Rada zao zimejaa Kila mahali.Usikute walikuwa wanatoka Kwa Mganga wao, wakapewa masharti ya kusafiri usiku,njiani wakakutana na zaidi Yao kujaribu tu mambo yakajibu. Wanasiasa......
Tena Mkuu mikoa yenyewe ni Kigoma na Tabora ๐. Wabadili Mganga mapema au Hawakumlipa pesa ya kilinge inavyotakiwa badala ya kuwapa Zindiko akawapa dawa za vidonda ona sasa. Maana Hawa Jamaa wa Chama hiki Kwa sound ni hatari. Wanapenda kupokea kuliko kutoa.Kweli kabisa, vijiji vingine hupiti na mzigo (dawa za mazindiko), lazima unase kwenye network ya watu wenye umeme mkali. Rada zao zimejaa Kila mahali.