NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 9,863
- 20,806
Safari za usiku kama ni mgeni wa barabara ni hatari sana,kama nadanganya muulizeni huyo derevaMsafara wa Viongozi uliokuwa ukielekea Kigoma kwaajili ya maandalizi ya uzinduzi wa Oparesheni mpya ya Chama umepata ajali saa nane usiku wa kuamkia leo Aprili 27, 2023.
Ajali hiyo imetokea wilaya ya Uyui Tabora, Kata ya Kigwa, Waliopata ajali Mhe. Yohana Kaunya Kaimu Katibu Mkuu Bavicha, Mhe. Nuru Ndosi Naibu Katibu Mkuu Bawacha - Bara, David Chiduo, Josephat magambo na Daniel Marwa - Dereva.
Hakuna aliyefariki, wote wanapatiwa matibabu katika Zahanati Kigwa B,
Wilaya ya uyui.
View attachment 2601073View attachment 2601074View attachment 2601075
Ratiba gani kwa CDM? Endeleeni kutembea usiku na hizo Noah mtakwishaHakuna mtu anayependa kusafiri usiku, huwa ni ratiba na mazingira
Hahahahaaaa!Wastue waninginize mdoli pale kwenye driving mirror, ndani ya mdoli utawaelekeza nini waweke
Kwahiyo unalazimisha upate ajariiii?? Au ni vyemaa kuchukua tahadharii. Usiku wote WA ni Nini na Magali yenyewe Sasa mmmmmmhKufa hakuchagui muda.hiyo ni ajali kama ajali zingine.Sio watu wote tunatakiwa tulale giza likiingia.
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Luzuku ya wale 19?Poleni but mbadilishe magari kuongeza kidogo protection,hela za ruzuku mnapeleka wapi ?
Mmepona kweli!!?Msafara wa Viongozi uliokuwa ukielekea Kigoma kwaajili ya maandalizi ya uzinduzi wa Oparesheni mpya ya Chama umepata ajali saa nane usiku wa kuamkia leo Aprili 27, 2023.
Ajali hiyo imetokea wilaya ya Uyui Tabora, Kata ya Kigwa, Waliopata ajali Yohana Kaunya Kaimu Katibu Mkuu Bavicha, Nuru Ndosi Naibu Katibu Mkuu Bawacha - Bara, David Chiduo, Josephat magambo na Daniel Marwa - Dereva.
Hakuna aliyefariki, wote wanapatiwa matibabu katika Zahanati Kigwa B,
Wilaya ya uyui.
View attachment 2601073View attachment 2601074View attachment 2601075
HahaaaaaPoleni Makamanda!
Wakienda kuloga Ili Simba ashindePoleni makamanda. Ila usiku haikuwa sawa
Pole sana makamanda mwenyezi Mungu awape wepesi mpate kupona mapema.Msafara wa Viongozi uliokuwa ukielekea Kigoma kwaajili ya maandalizi ya uzinduzi wa Oparesheni mpya ya Chama umepata ajali saa nane usiku wa kuamkia leo Aprili 27, 2023.
Ajali hiyo imetokea wilaya ya Uyui Tabora, Kata ya Kigwa, Waliopata ajali Yohana Kaunya Kaimu Katibu Mkuu Bavicha, Nuru Ndosi Naibu Katibu Mkuu Bawacha - Bara, David Chiduo, Josephat magambo na Daniel Marwa - Dereva.
Hakuna aliyefariki, wote wanapatiwa matibabu katika Zahanati Kigwa B,
Wilaya ya uyui.
View attachment 2601073View attachment 2601074View attachment 2601075
Mungu amewanusuru kwenye kifo,Mungu ni fundi.Nawataka CHADEMA kumuomba radhi Makonda, wakikaidi watakutana na hasira ya Mungu
Akiwa Mkuu wa Mkoa wa DSM, CHADEMA walimchafua sana Makonda na kumsingizia mambo mengi. Ugaidi,Uuaji, utesaji n.k tena walienda mbali na kumhusisha na dhulma kubwa kubwa,rushwa na upigwaji risasi wa Tundu Lissu. CHADEMA waliuaminisha Umma kuwa Makonda atakuja shitakiwa kwa makosa yake lukuki...www.jamiiforums.com
Nawataka CHADEMA kumuomba radhi Makonda, wakikaidi watakutana na hasira ya Mungu
Amewaponya kutoka kwenye kifo cha kutengenezwa na ccm na sasa wako salama ila gari limeharibika.Mungu fundi
Poleni makamanda Mungu yu pamoja nanyi.Msafara wa Viongozi uliokuwa ukielekea Kigoma kwaajili ya maandalizi ya uzinduzi wa Oparesheni mpya ya Chama umepata ajali saa nane usiku wa kuamkia leo Aprili 27, 2023.
Ajali hiyo imetokea wilaya ya Uyui Tabora, Kata ya Kigwa, Waliopata ajali Yohana Kaunya Kaimu Katibu Mkuu Bavicha, Nuru Ndosi Naibu Katibu Mkuu Bawacha - Bara, David Chiduo, Josephat magambo na Daniel Marwa - Dereva.
Hakuna aliyefariki, wote wanapatiwa matibabu katika Zahanati Kigwa B,
Wilaya ya uyui.
View attachment 2601073View attachment 2601074View attachment 2601075