Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Video hii hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uzalendo ni kauli mbiu ya awamu ya 5,so jombo lolote analofanya kiongozi camera lazima ziwepo ndio maana wananchi sasa hivi wanaulizia Jiwe yupo wapi maana hawajazoea kupita siku3 bila kumuona kwenye Kideo akionyesha Uzalendo wa aina mbalimbali.Sasa cha ajabu hapo ni nini mpaka ukaanzisha uzi?
Upuuzi tu.
Hahhahahha mitano tenaOne of the dumbest stunts I’ve ever seen!!
Sidhani this time...Hahhahahha mitano tena
Its a new turn? Haya mambo hatukuyaona kabla!
Muheshimiwa Naibu tatizo la watz ni kitendo Cha tabaka fulani kutesa watz kupitia magereza na kutunga sheria kandamizi sio kula Dona huku kina mdude na kina Azory hawajulikani hatma yao