Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Kwanini asivae na nguo za magereza sasa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaiga kwa mteuzi wakeHuyu jamaa anaoenda kutafuta kiki za kijinga ila naona hatofika mbali atakanyaga waya
Angelala selo kabisa ndo tungeona huo uzalendoHuyu jamaa anaoenda kutafuta kiki za kijinga ila naona hatofika mbali atakanyaga waya
Mjinga ni yeye aliyeingia na camera gerezani.So what? Ebu tuacheni ujinga, kwani halagi chakula? Wtf? 😠
Waziri ametaka iwehivyo, ndio maana ameingia na camera gerezani.Sasa cha ajabu hapo ni nini mpaka ukaanzisha uzi?
Ukila chakula siku hizi Ni kuonesha mfano?
Siku zote niliamini camera ni marufuku gerezani , kumbe nilipotokaMjinga ni yeye aliyeingia na camera gerezani.
Ohooooo !!Chakula cha gerezani kinatolewa kwa ratio,yeye kala cha nani,isijekuwa kamlaz njaa mfungwa mmoja mnyonge
Wanazielekeza kamera huko magereza ili kupoteza maboya ili kule kwenye Death bed angalao wapumueSiku zote niliamini camera ni marufuku gerezani , kumbe nilipotoka
Duh !Wanazielekeza kamera huko magereza ili kupoteza maboya ili kule kwenye Death bed angalao wapumue