Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #21
kabisa yaani !Hahahahaha, imekaa vzr hii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kabisa yaani !Hahahahaha, imekaa vzr hii
Cheki hii Ticha ya Primary [emoji16][emoji16]Nyie watu wagumu sana wa kuelewa na wepesi wa kusahau,hela binafsi wakati ni ruzuku za chama zinateketea,vipi ile michango ya Hanang mliyochangisha wafuasi wenu baadae mkadanganya umma kuwa serikali imezuia msiende huko!? Jemlliirudisha kwa wahusika!?
Yeah kwa mgombea urais ni vizuri ku appear social kwa makundi yote kwa jamii that's politics. JPM mastered it and so did lowassa and Mbowe, ila Lissu pekee hakua social kiasi hiki.Hahahaaa
Kutokea kwenye msiba, kabirini, event na uwanjani unakua statesman
Basi gerson Msigwa is a statesman
Haji kwenye maandamano?
Haa haa haa,umeshiwa hoja,badala ya kujibu hoja wewe unakimbilia ku- attack kazi yangu mkuuCheki hii Ticha ya Primary [emoji16][emoji16]
My friend Lisu, hapo unachangamsha uwaja hakuna uhalisia. Forget about Kombe!Huu ndio uzalendo tunaoutaka, Ukitaka kujua mtu ni Mkereketwa wa Timu ya Taifa basi Mwangalie huyu Jamaa.
Yaani katumia hela zake binafsi kwenda kuishangilia Timu ya Taifa lake, Uzalendo mtupu.
View attachment 2871483
Hujatoa mchango wa fomu ya Samia, ukifukuzwa kazi usije kukialia humu.Mwalimu ni kila kitu nchi hii,mwalimu nyerere, mwalimu magufuli ,mwalimu majaliwa nk,sioni sababu ya kumtweza mwalimu ili hali uhuru tulionao umeletwa na mwalimu
Siwezi fukuzwa mimi,Hujatoa mchango wa fomu ya Samia, ukifukuzwa kazi usije kukialia humu.
Kumbe mgombea siyo mbowe?Yeah kwa mgombea urais ni vizuri ku appear social kwa makundi yote kwa jamii that's politics. JPM mastered it and so did lowassa and Mbowe, ila Lissu pekee hakua social kiasi hiki.
Kingine Lissu hajawahi kuwa muoga wa maandamano wala bunduki mind you ilikua kipindi cha yule ibilisi ndio sembuse kipindi hiki cha huyu mama rojorojo.
Umetoa wapi hayo ?Kumbe mgombea siyo mbowe?
Kwenda kushangilia taifa star ndy uzalendo?Huu ndio uzalendo tunaoutaka, Ukitaka kujua mtu ni Mkereketwa wa Timu ya Taifa basi Mwangalie huyu Jamaa.
Yaani katumia hela zake binafsi kwenda kuishangilia Timu ya Taifa lake, Uzalendo mtupu.
View attachment 2871483
Dah ile kiki ya maandamano sa itakuajeUmetoa wapi hayo ?
Tunajua we tahira Ila jitahidi kuficha ujinga wakoNyie watu wagumu sana wa kuelewa na wepesi wa kusahau,hela binafsi wakati ni ruzuku za chama zinateketea,vipi ile michango ya Hanang mliyochangisha wafuasi wenu baadae mkadanganya umma kuwa serikali imezuia msiende huko!? Jemlliirudisha kwa wahusika!?
Hao wenzako walikua na akili sio wewe chawa.Mwalimu ni kila kitu nchi hii,mwalimu nyerere, mwalimu magufuli ,mwalimu majaliwa nk,sioni sababu ya kumtweza mwalimu ili hali uhuru tulionao umeletwa na mwalimu