Uzalendo umeshuka na kutoweka kwa Watanzania bada ya Rais Samia kurithi Urais. Watanzania hawamuaamini kwa kila kila jambo

Nyankurungu2020

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2020
Posts
4,170
Reaction score
6,757
Mitaani anaonekana ni rais anaendesha nchi kama picha tu huku wanaomua nchi iende vipi wapo kando .

Ameonekana ni rais ambaye hana maamuzi ya msingi. Wanaoiba mali za umma kwa ufisadi mkubwa yuko nao.

Watumishi wa hali ya chini wakiiba hata mil 5 anag'aka.

Anaendesha nchi kwa kwa kudhibitiwa na genge la wahuni.

Ni rais ambaye yupo yupo tu.
 
Kwa kadiri ninavyoijua CCM na wana CCM wanaye tu SSH na ni chaguo lao mpaka ifikapo 2030. Hata akijitokeza kada mzalendo na mwenye uchungu wa kutaka kuleta mabadiliko kama JPM,, bado kikwazo kitakuwa ni utamaduni wao mbaya wa kutotaka kumshindanisha, na pia kutoa fomu moja tu kwa ajili yake yeye tu.

Ni lazima uchaguzi wa 2025 utatawaliwa na wizi mkubwa wa kura katika nafasi ya urais ili kulazimisha ushindi wake uonekane kuwa ni wa kimbunga. Kwa jinsi ambavyo vyombo vya ulinzi na usalama vilivyo, na hulka ya Watanzania ilivyo, jipu limekaa pabaya sana, ila hakuna dawa yoyote iliyopo kwa sasa ya kulitibu, ni kulisubiria tu mpaka liive lenyewe, litumbuke na kisha lipone lenyewe.
 
Wananchi WAZALENDO VIONGOZI si WAZALENDO
 
Ni hasara kubwa kwa nchi kuwa na Rais wa namna hii. Yaani ni hasara ni hasara kubwa Sana.
 
Huyu Mama Abdul siku akitolewa kwenye kiti cha taifa, atakuwa kama Mwalimu Mstaafu wa Namanyere,Nkasi uko au kama Mama Ntilie Mstaafu wa Mabibo sokoni.
Ata Swaiba wake Tulia naye atakuwa kama Mama muuza ndizi Mstaafu wa sokoni,Mwanjelwa!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 

Wapumbavu ndio wasiomuamini
 
Hivi Bavicha malezi yenu mlipatia wapi?
 
BAVICHA munatumia nguvu kubwa sana kuonyesha udhaifu wa mama ila natija ya nguvu yenu haionekani aisee maana ajenda zenu ni za kufuata upepo, limekuja la katiba munalo, mukaliacha hewan mukahamia bandari, mukapotosha mukaona hakuna la maan sasa mumekuja na umeme na dollar 😁😁tushawazoea tunasubr la kesho ila kuhusu kupata urais, mtasubiri nkiyama.
 
madhara ya dabokiki za alfajiri halafu unaendesha bodaboda.

ni kupiga honi tu kuwe na kosa au hamna ni honi tu,
kuwe na hatari ya ajali au zebra crossing ni honi twiiitwiiit twiiitwiiit twiiitwiiit ukigongwa ni twiiitwiiit twiiitwiiit
 
Stay tuned mwakani na 2025 Utajua wanamuami au hawamuani 😂😂
 
anataka kupooza mambo kwa kutumia chawa ambao hawana impact yoyote kwa wananchi walio wengi na mbaya zaidi anajaribu kutumia walimu aonekane anakubalika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…