PureView zeiss
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 10,786
- 35,916
Wananchi ni wazalendo Sana kama wameona umuhimu wa kusafisha barabara Kwa style hii nawapa pongezi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hakuna kitu kama hicho, mkuu.Mkuu wasameheni tu,wapewe elimu tu maana maisha yamekuwa magumu sana awamu hii.
Hapo kama wakifanikiwa wanapigapo hela hata ya kuishi na familia zao,sio mbaya kufa huku unatafuta mkuu,wabongo wako tayari kwa lolote.
Maandamano tu ndo tunaogopa Mkuu,maana serikali haikawii kuleta jeshi na vifaru.
Wait a minute. Rekebisha sentensi yako. Unamaanisha na wewe ni mpumbavu. Sema tu kuna baadhi ya watu katika jamii yetu ni wapumbavu. Lakini kabla ujasema hivyo, tafakari kwa kina kwa nini wanafanya hivyo. Maisha magumu ndiyo yanawapelekea kufanya wanachofanya.Kuna watanzania ni pumbavu sana maana hawajifunzi.
Hakika !Wananchi ni wazalendo Sana kama wameona umuhimu wa kusafisha barabara Kwa style hii nawapa pongezi
UZALENDO?????
NdioUZALENDO?????
😆😆😆Mchomoa betri naona alikua hajapata taarifa bado...
Hatari sana...