Uzalendo: Video ikionesha wananchi wakisafisha barabara baada ya lori kumwaga mafuta huko Singida

hakuna kitu kama hicho, mkuu.
 
Kuna watanzania ni pumbavu sana maana hawajifunzi.
Wait a minute. Rekebisha sentensi yako. Unamaanisha na wewe ni mpumbavu. Sema tu kuna baadhi ya watu katika jamii yetu ni wapumbavu. Lakini kabla ujasema hivyo, tafakari kwa kina kwa nini wanafanya hivyo. Maisha magumu ndiyo yanawapelekea kufanya wanachofanya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…