Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 21,237
- 31,811
Serikali ikiacha kazi ya kutatua matatizo ya wananchi na kuanza kupambana na wananchi walioiweka madarakani inapoteza uhalali wa kuwaongoza wananchi hao na inapaswa iondolewe madarakani hata kwa makofi.Hoja za huu uzalendo wa ajabu wa baadhi ya Watanzania wenzetu, bado unaendelea, sasa uzalendo huu umehamia Twitter, watu wanafurahia hadi kushangilia wakati siri za ndani kwenu, nyumbani na chumbani kwa baba na mama, zinaanikwa hadharani!.
Baadhi ya siri hizi za taifa letu zinazomwagwa Twitter ni classified information, nyingine ni secrets, na hali hii ikiachwa iendelee hivi hivi inavyoendelea, kuna siku folder la top secrets za za ile Idara yetu, zitashuka!, kiti ambacho ni threat to our national security.
Kitendo cha kupublish taarifa classified information kuhusu nchi yako, hivyo kuzifanya zionekane nje ya nchi, ni uhaini, ila uhaini huu sio wa kusambaza tuu, bali hata wale wanafurahia taarifa hizo, ni kuufurahia uhaini, hivyo huu uhaini wa kufurahia uhaini kwa nchi yako, japo haina any criminal liability lakini it has something to do with uzalendo wako.
Huu ni uzalendo wa aina gani?.
P
Kama wewe unafurahi kuwa chini ya utawala wa kinyama basi nawewe ni sehemu na mnufaika wa huo unyama.