Uzalendo wa ajabu wa Watanzania: Nchi inatukanwa, Rais anatukanwa, tumenyamaza. Huu ni Uzalendo gani?

Uzalendo wa ajabu wa Watanzania: Nchi inatukanwa, Rais anatukanwa, tumenyamaza. Huu ni Uzalendo gani?

Hoja za huu uzalendo wa ajabu wa baadhi ya Watanzania wenzetu, bado unaendelea, sasa uzalendo huu umehamia Twitter, watu wanafurahia hadi kushangilia wakati siri za ndani kwenu, nyumbani na chumbani kwa baba na mama, zinaanikwa hadharani!.

Baadhi ya siri hizi za taifa letu zinazomwagwa Twitter ni classified information, nyingine ni secrets, na hali hii ikiachwa iendelee hivi hivi inavyoendelea, kuna siku folder la top secrets za za ile Idara yetu, zitashuka!, kiti ambacho ni threat to our national security.

Kitendo cha kupublish taarifa classified information kuhusu nchi yako, hivyo kuzifanya zionekane nje ya nchi, ni uhaini, ila uhaini huu sio wa kusambaza tuu, bali hata wale wanafurahia taarifa hizo, ni kuufurahia uhaini, hivyo huu uhaini wa kufurahia uhaini kwa nchi yako, japo haina any criminal liability lakini it has something to do with uzalendo wako.

Huu ni uzalendo wa aina gani?.
P
Serikali ikiacha kazi ya kutatua matatizo ya wananchi na kuanza kupambana na wananchi walioiweka madarakani inapoteza uhalali wa kuwaongoza wananchi hao na inapaswa iondolewe madarakani hata kwa makofi.

Kama wewe unafurahi kuwa chini ya utawala wa kinyama basi nawewe ni sehemu na mnufaika wa huo unyama.
 
Hoja za huu uzalendo wa ajabu wa baadhi ya Watanzania wenzetu, bado unaendelea, sasa uzalendo huu umehamia Twitter, watu wanafurahia hadi kushangilia wakati siri za ndani kwenu, nyumbani na chumbani kwa baba na mama, zinaanikwa hadharani!.

Baadhi ya siri hizi za taifa letu zinazomwagwa Twitter ni classified information, nyingine ni secrets, na hali hii ikiachwa iendelee hivi hivi inavyoendelea, kuna siku folder la top secrets za za ile Idara yetu, zitashuka!, kiti ambacho ni threat to our national security.

Kitendo cha kupublish taarifa classified information kuhusu nchi yako, hivyo kuzifanya zionekane nje ya nchi, ni uhaini, ila uhaini huu sio wa kusambaza tuu, bali hata wale wanafurahia taarifa hizo, ni kuufurahia uhaini, hivyo huu uhaini wa kufurahia uhaini kwa nchi yako, japo haina any criminal liability lakini it has something to do with uzalendo wako.

Huu ni uzalendo wa aina gani?.
P

Tuainishe aina matusi tujue sio porojo za kukimbia hoja kwa kusema mnatukanwa
 
Hoja za huu uzalendo wa ajabu wa baadhi ya Watanzania wenzetu, bado unaendelea, sasa uzalendo huu umehamia Twitter, watu wanafurahia hadi kushangilia wakati siri za ndani kwenu, nyumbani na chumbani kwa baba na mama, zinaanikwa hadharani!.

Baadhi ya siri hizi za taifa letu zinazomwagwa Twitter ni classified information, nyingine ni secrets, na hali hii ikiachwa iendelee hivi hivi inavyoendelea, kuna siku folder la top secrets za za ile Idara yetu, zitashuka!, kiti ambacho ni threat to our national security.

Kitendo cha kupublish taarifa classified information kuhusu nchi yako, hivyo kuzifanya zionekane nje ya nchi, ni uhaini, ila uhaini huu sio wa kusambaza tuu, bali hata wale wanafurahia taarifa hizo, ni kuufurahia uhaini, hivyo huu uhaini wa kufurahia uhaini kwa nchi yako, japo haina any criminal liability lakini it has something to do with uzalendo wako.

Huu ni uzalendo wa aina gani?.
P
Uzalendo wa aina gani?


Mzalendo pia ujiulize
Kwa nn haya yanatokea sasa kuliko awali?
Kwa zitoke classified?
Kwa nn zinatoka huko ndani?
Je, zina manufaa na hasara gani kwa taifa na watu wake?
Kwa nn baadhi ya umma unafurahi?
Kama serikali au taifa wapi wanakosea?

2015 hayakutukia?

Kwa nn umma unafeel being oppressed and exploited?
Do we have another choice to fight for justice and right of being well of as sisters and brothers of this country?
Tukimlinda naye atatulinda na kututetea kwa maovu ya wasaidizi wake?
Nchi nzuri inakuwa hivi?

Wazalendo tukipata majibu basi tutetee serikali!
 
Mwizi ni mwizi tu hata kama ni mtoto wako wa kuzaa, huwezi kusema kwasababu aliyenivamia na kunikata mapanga na kupora simu yangu, ni mtoto wangu, basi nisimshitaki polisi, jizi ni jizi tu,
Hata kipindi cha Cold war, wapo, diplomat kibao, wa soviet waliamua kutoa siri za nchi yao na kuamia West, usa na uk, huwezi kusema idara hii hii ambayo imekuwa kama State terrorist Group ambayo inaumiza wananchi kila kukicha, ikivuliwa nguo huko mitandsoni, sie tukasirike kwa lipi jema ililotundea tangu awamu hii imeingia,
Ilisalitiwa KGB, sembuse TISS,
Tunataka TISS ya Kambarage iliyoikomboa Africa irudi sio hii, iliyojaa mabishoo vilaza, wanaotutishia bastola mtaani ili wachukue mademu zetu,
Motherfuckers
Golden age ended 1995 kwa msemo wao lkn haikuwa bora kwa taifa la mrengo wa kati kushoto Bali kushoto kwa kuwa ilikuwa falsafa yetu
1995 tumesema sana na yerick kabla ya 2015sheria yao ibadilishwe lkn wapi mpaka Leo

Sawa


Tatizo ni falsafa ya ccm
 
Mkuu Pascal. Yakupasa kufahamu kuwa uzalendo wetu uko compromised na utandawazi. Utandawazi umepelekea importation ya "demokrasia ya kimagharibi" ambayo kwao ni genuine ila kwetu huku ni fake na haitufai. Rejea usemi wa hayati Mwl. Nyerere kuwa tunaweza ku-import bidhaa kama pikipiki ila demokrasia sharti tuizalishe wenyewe.

Imported democracy ndiyo chanzo cha ulimbukeni unaouona twitter ambayo ndiyo social media inayoakisi kiwango cha "usomi" wa watanzania. Ndiyo, twitter ndiko utapata "wasomi" wengi kuliko facebook au youtube.

Kwa kifupi daraja la kati liko compromised kupita kiasi kana kwamba kuitukana serikali au viongozi ndiyo harakati mpya kama ilivyo ughaibuni.
Wengi wanataka uliberali lkn nchi na ccm wanang'ang'ania ujamaa uliopitiliza
Uliberali hats trump hautaki ndiyo maana anahaha lkn Democratic wanafurahi na kutia mafuta kwenye moto

Watz nawe ukiwemo hujui falsafa hizi zinavyofanya kazi ndiyo maana ni rahisi kulaumu

Iliberali ni umungu ( Mungu katika ubinadamu) hivyo haulengi kuumiza wala matokeo Bali chanzo (mfumo ulioleta changamoto iliyopo na sio kumaliza changamoto ktk mifumo ile ile kwani isiloshughulikiwa litarudi kama majani ya shamba yanayowasumbuliwa wakulima> ndago, kidila, lusaragasi nk majina ya kilugha


Wewe na paschall mnataka matokeo ya kuisha tatizo na ndiyo kazi ya wahafidhina na mafashisti

Hata chadema na act si waliberali

Kiufupi tz tunasafari ndefu but paschal atatusaidia na wewe tukiwa mrengo wa kati
 
Wanabodi,

Makala za Kwa Maslahi ya Taifa na Pascal Mayalla.
Naendelea na Makala zangu ziitwazo Kwa Maslahi ya Taifa, ambazo huchapishwa kwenye gazeti la Raia Mwema toleo la kila siku za Jumatatu. Hizi Makala zitafuatiwa na Kipindi cha TV chenye jina hilo hilo ambacho kitaanza kutoka kwenye vituo kadhaa vya TV hivi karibuni baada ya taratibu za udhamini kukamilika, vikiangazia hoja mbalimbali muhimu kwa maslahi ya taifa letu la Tanzania.

Hoja ya Udikiteta Tanzania.
Kwa wiki kadhaa sasa nimekuwa nikijadili hoja ya Udikiteta Tanzania. mada ya leo ni kuhusu uzalendo wa ajabu wa Watanzania kuunyamazia uongo unaoenezwa kimataifa kuhusu huu udikiteta Tanzania. Jee Sisi Watanzania, Tuna Uzalendo Gani Kunyamazia Huu Uongo Unaonezwa Kimataifa Kuwa Rais wa Tanzania ni Dikiteta na Tunatawaliwa Kidikiteta?. Au Kwa Kunyamaza Huku Ndio Kukubali Kwenyewe Kuwa ni Kweli Taifa Letu Tanzania Tuko Kwenye Udikiteta?.

Kama ni Kweli Tanzania Tuna Udikiteta na Sisi Wenyewe Tumeukubali, Kwa Nini Watuingilie?.
Kama ni kweli rais wetu Magufuli anatenda kinyume cha katiba na sheria, na taratibu za kumshughulikia zipo lakini sisi Watanzania wenyewe tumeridhika naye na utendaji wake huo huo, hivyo hivyo anavyotenda iwe kwa kuvunja katiba au kinyume cha sheria, Watanzania wenyewe tumeridhika na kukubali, who the hell is jirani yasiyomhusu, anayekuja kutusemea kwenye media yao kuwa rais wetu amekosea?. Kama wenyewe tumekubali na tumeridhika, huyu jirani anamsemea nani?!. Kwa nini Watanzania tunanyamasia uongo huu?.

Wiki ijayo, nitakuja na set ya maswali kuhusu hoja za udikiteta ambayo nitayaelekeza kwa Waziri wa Sheria na Katiba. Prof. Palamagamba Kabudi.

Jumamosi Njema.

Paskali
Update
Nitauapdate uzi huu kwa michango michache objective.
Taarifa zitolewazo na watu ndani na nje ya nchi nyingi ni za kukosoa na siyo matusi. Mimi ninaona tofauti kati ya kukosoa na kutusi. Ni afya kukosoa ila kutusi ni mbaya. Tutenganishe na kupambanua kati ya kukosoa na kutusi. Ila wenye tabia ya kutokubali kukosolewa huwa wanaona kila hoja ni tusi.
 
Watanzania kama watanzania inafaa kutukanana wenyewe kwa wenyewe,ila linapokuja suala la kutukanwa na watu wengine hatuna budi kuhamka.
Ifike siku moja tuwe kama Marekani,matatizo yao wanadeal nayo wenyewe,ukijichomeka katikati yao wanakugeukia kwanza wewe kukupa shughuli pevu baada ta hapo wanarudi kumaliza tatizo lao.
USA USA USA USA......
 
Hoja za huu uzalendo wa ajabu wa baadhi ya Watanzania wenzetu, bado unaendelea, sasa uzalendo huu umehamia Twitter, watu wanafurahia hadi kushangilia wakati siri za ndani kwenu, nyumbani na chumbani kwa baba na mama, zinaanikwa hadharani!.

Baadhi ya siri hizi za taifa letu zinazomwagwa Twitter ni classified information, nyingine ni secrets, na hali hii ikiachwa iendelee hivi hivi inavyoendelea, kuna siku folder la top secrets za ile Idara yetu, zitakujashuka kwenye public domain!, kiti ambacho ni threat to our national security, mfano itokee yule jamaa akute kumbe wale 'jamaa', waliofanya kile kitendo cha lile shambulio, pale 'mahali' ni inside job!, kutakuwa na usalama, amani na utulivu?.

Kitendo cha kupublish taarifa classified information kuhusu nchi yako, hivyo kuzifanya zionekane nje ya nchi, ni uhaini, ila uhaini huu sio wa kusambaza tuu, bali hata wale wanafurahia taarifa hizo, ni kuufurahia uhaini, hivyo huu uhaini wa kufurahia uhaini kwa nchi yako, japo haina any criminal liability lakini it has something to do with uzalendo wako.

Huu ni uzalendo wa aina gani?.
P
Uzalendo huwepo panapokuwa na usawa na haki kutendeka.

Kila mtu anatenda na kutendewa sawia kadiri ya matendo yake ama uvumilivu unakuwepo.

Viongozi watende yafaayo,na waingie madarakani kwa matakwa ya wanaowachagua.

Upendo,amani,uvumilivu na utiifu wa sheria ndivyo huleta uzalendo.
 
I'm a born soldier if you ask me about patriotism, the test is be able to protest the state at a cost of one's life.
What is a state?
What is a country?
What is a nation?
What is a government?
 
Uzalendo ni kuipenda nchi yako kwanza! Uzalendo wa kuipenda serikali unategemea utendaji wa serikali hiyo Kama inaingiza kwa kufuata katiba ya nchi na kutimiza, kuheshimu na kutenda haki kwa usawa bila ubaguzi! Ikiwa inatenda kinyume, basi uzalendo utakuwa kwa wanufaika wa serikali hiyo!
 
Kwa. Sasa. Tunawaachia. Wanaojiita. Wazalendo. Waonekane.
Nimesoma michango ya wa wadau humu
Kuhusu huzi huu ,da watu wananyongo
aisee na yote kwa yote nimekuja wazo
moja tu
WAZEE WOTE WA NCHI HII KAENI
NA KIONGOZI WA NCHI,
Na mshaurini kwa sasa taifa linataka
maridhiano hali si nzuri kupitia hapa JF
unaweza ukafanya utafiti na ukaona,
Maridhiano kwa sasa ya kitaifa hayaepukiki tena kabla ya uchaguzi.
Asanteni JF tunapata mengi pitia kwenu
 
Hoja za huu uzalendo wa ajabu wa baadhi ya Watanzania wenzetu, bado unaendelea, sasa uzalendo huu umehamia Twitter, watu wanafurahia hadi kushangilia wakati siri za ndani kwenu, nyumbani na chumbani kwa baba na mama, zinaanikwa hadharani!.

Baadhi ya siri hizi za taifa letu zinazomwagwa Twitter ni classified information, nyingine ni secrets, na hali hii ikiachwa iendelee hivi hivi inavyoendelea, kuna siku folder la top secrets za ile Idara yetu, zitakujashuka kwenye public domain!, kiti ambacho ni threat to our national security, mfano itokee yule jamaa akute kumbe wale 'jamaa', waliofanya kile kitendo cha lile shambulio, pale 'mahali' ni inside job!, kutakuwa na usalama, amani na utulivu?.

Kitendo cha kupublish taarifa classified information kuhusu nchi yako, hivyo kuzifanya zionekane nje ya nchi, ni uhaini, ila uhaini huu sio wa kusambaza tuu, bali hata wale wanafurahia taarifa hizo, ni kuufurahia uhaini, hivyo huu uhaini wa kufurahia uhaini kwa nchi yako, japo haina any criminal liability lakini it has something to do with uzalendo wako.

Huu ni uzalendo wa aina gani?.
P
Bora hizo document ziwekwe hadharani watz wajue madudu ya serikali yao, sio kila document ni siri, zipo za vigogo kuitafuna nchi nazo unataka zifichwe!

Huo sio uzalendo, ni kutetea wizi kwa kujificha kwenye kivuli cha uzalendo.
 
Tatizo kaka pascal wewe unaangalia sana ulipoangukia lakini umesahau kukagua ulipo jikwaa.

Unayoyaona ni matokeo ubabe,k
Ujuaji na kutofuta sheria kwa viongozi wetu tuliowachagua ,viongozi ambao wamejimilikisha kila kitu kwenye hii nchi na kufanya chochote bila kuhojiwa na kiumbe yeyote. Laiti kama wangekua wanafuata sheria na wanatuongoza na si kututawala katika misingi huru,kweli na haki wala tusingefika huko na usidhani kila mtu anafurahi zile taarifa za siri bali tunaumia sana kuona mambo ya hovyo yanafanywa kwa siri kiasi cha kwamba nchi inaingia kwenye hatari.
Hoja za huu uzalendo wa ajabu wa baadhi ya Watanzania wenzetu, bado unaendelea, sasa uzalendo huu umehamia Twitter, watu wanafurahia hadi kushangilia wakati siri za ndani kwenu, nyumbani na chumbani kwa baba na mama, zinaanikwa hadharani!.

Baadhi ya siri hizi za taifa letu zinazomwagwa Twitter ni classified information, nyingine ni secrets, na hali hii ikiachwa iendelee hivi hivi inavyoendelea, kuna siku folder la top secrets za ile Idara yetu, zitakujashuka kwenye public domain!, kiti ambacho ni threat to our national security, mfano itokee yule jamaa akute kumbe wale 'jamaa', waliofanya kile kitendo cha lile shambulio, pale 'mahali' ni inside job!, kutakuwa na usalama, amani na utulivu?.

Kitendo cha kupublish taarifa classified information kuhusu nchi yako, hivyo kuzifanya zionekane nje ya nchi, ni uhaini, ila uhaini huu sio wa kusambaza tuu, bali hata wale wanafurahia taarifa hizo, ni kuufurahia uhaini, hivyo huu uhaini wa kufurahia uhaini kwa nchi yako, japo haina any criminal liability lakini it has something to do with uzalendo wako.

Huu ni uzalendo wa aina gani?.
P
 
Ndio ujuwe kuwa tumefika kubaya inamaana kwa upeo rahisi wakiusalama yani watanzania wapo tayari kuuza nchi yao ili rais wao auwawe. Kiukweli kabisa tuna hali mbaya sana kama taif nakama tusipo kitokomeza kizazi hiki cha wasio wazalendo usalama wetu upo ktk hatari. Mtu amekuwa na nafasi kubwa ya kitaifa anavujisha siri za taifa kwa kisingizio cha upinzani bado yupo mjini anavuta hewa nakupata kahawa hapana we need to act now. Inatisha ndugu zangu
Upuuzi mtupu
 
Uliberali ni nini?
Wengi wanataka uliberali lkn nchi na ccm wanang'ang'ania ujamaa uliopitiliza
Uliberali hats trump hautaki ndiyo maana anahaha lkn Democratic wanafurahi na kutia mafuta kwenye moto

Watz nawe ukiwemo hujui falsafa hizi zinavyofanya kazi ndiyo maana ni rahisi kulaumu

Iliberali ni umungu ( Mungu katika ubinadamu) hivyo haulengi kuumiza wala matokeo Bali chanzo (mfumo ulioleta changamoto iliyopo na sio kumaliza changamoto ktk mifumo ile ile kwani isiloshughulikiwa litarudi kama majani ya shamba yanayowasumbuliwa wakulima> ndago, kidila, lusaragasi nk majina ya kilugha


Wewe na paschall mnataka matokeo ya kuisha tatizo na ndiyo kazi ya wahafidhina na mafashisti

Hata chadema na act si waliberali

Kiufupi tz tunasafari ndefu but paschal atatusaidia na wewe tukiwa mrengo wa kati
 
Wanabodi,

Makala za Kwa Maslahi ya Taifa na Pascal Mayalla.
Naendelea na Makala zangu ziitwazo Kwa Maslahi ya Taifa, ambazo huchapishwa kwenye gazeti la Raia Mwema toleo la kila siku za Jumatatu. Hizi Makala zitafuatiwa na Kipindi cha TV chenye jina hilo hilo ambacho kitaanza kutoka kwenye vituo kadhaa vya TV hivi karibuni baada ya taratibu za udhamini kukamilika, vikiangazia hoja mbalimbali muhimu kwa maslahi ya taifa letu la Tanzania.

Hoja ya Udikiteta Tanzania.
Kwa wiki kadhaa sasa nimekuwa nikijadili hoja ya Udikiteta Tanzania. mada ya leo ni kuhusu uzalendo wa ajabu wa Watanzania kuunyamazia uongo unaoenezwa kimataifa kuhusu huu udikiteta Tanzania. Jee Sisi Watanzania, Tuna Uzalendo Gani Kunyamazia Huu Uongo Unaonezwa Kimataifa Kuwa Rais wa Tanzania ni Dikiteta na Tunatawaliwa Kidikiteta?. Au Kwa Kunyamaza Huku Ndio Kukubali Kwenyewe Kuwa ni Kweli Taifa Letu Tanzania Tuko Kwenye Udikiteta?.

Kama ni Kweli Tanzania Tuna Udikiteta na Sisi Wenyewe Tumeukubali, Kwa Nini Watuingilie?.
Kama ni kweli rais wetu Magufuli anatenda kinyume cha katiba na sheria, na taratibu za kumshughulikia zipo lakini sisi Watanzania wenyewe tumeridhika naye na utendaji wake huo huo, hivyo hivyo anavyotenda iwe kwa kuvunja katiba au kinyume cha sheria, Watanzania wenyewe tumeridhika na kukubali, who the hell is jirani yasiyomhusu, anayekuja kutusemea kwenye media yao kuwa rais wetu amekosea?. Kama wenyewe tumekubali na tumeridhika, huyu jirani anamsemea nani?!. Kwa nini Watanzania tunanyamasia uongo huu?.

Wiki ijayo, nitakuja na set ya maswali kuhusu hoja za udikiteta ambayo nitayaelekeza kwa Waziri wa Sheria na Katiba. Prof. Palamagamba Kabudi.

Jumamosi Njema.

Paskali
Update
Nitauapdate uzi huu kwa michango michache objective.
Unaju ni hivi..ukweli kabisa kuna tabia za waTanzania wenyewe ambazo ni mbaya sana,mala kadhaa utamsikia mTanzania akisifia vya nje na kuponda vya ndani ya nchi yake,nadhani hua ni kama ujinga tu wa wengi,unaweza sikia mtu akimsifia mtu ilihali yupo huko nje ya mipaka awezavyo tu na hata huyo mtu hamjui wala hajawahi kumsogelea, hapa nchini watu wako tayali kuchafua uongozi ilihali huko huko nje wanakua wanajua wazi Tanzania ina uongozi imara..ni ka tabia tu fulani hivi ka kishenzi,maana ukweli ni kwamba ukitazama viongozi wa hapa Africa ni nani utamlinganisha na JPM? Yamkini wale wa zamani kama kina Nkwame Nkuruma,Patrik Lumumba na mtu kama Ghadafi,na waTanzania hawa hawa wanaona wazi lakini wakikaa tu na watu wa huko nje waponda nchi yao utadhani kuna kitu watalipwa au watabadilika kua watu wa nje, ukiiponda nchi yako nje ya mipaka ni sawa na unajitukana tu wewe mwenyewe, tukiachana na hayo bado ziko tabia nyingi tu..unaweza kua kijiweni unakunywa hata kahawa likapita gari tu kwa mfano zuri zuri hivi na watu wawe wanalijua hilo gari ni la tajiri fulani utaona maneno yanavyosemwa..wataanza kumsema huyo mtu utadhani wanalala nae chumbani kua wanamjua sana,anaweza akapita msichana ukasikia wati wanasema huyo dada kaungua na HIV kitambo,hawajawahi kumpima wala hawamjui,juzi hapa swala la Covid-19 mtu ana idadi ya vifo kwenye kijiwe cha kahawa ilihali hajafiwa na ndugu jamaa wala jirani,ukimbana na maswali anakua mkali anakwambia weww ni CCM. Yani Tanzania MUNGU aiponye tu lakini watu hawa ni tatizo kubwa sana sana. Sielewi tafisiri ya kiswahili vzr kua watu wa hivyo ndiyo wapumbavu,wajinga au wanatakiwa kuitwaje sijui kwa kweli.
 
Wanabodi,

Makala za Kwa Maslahi ya Taifa na Pascal Mayalla.
Naendelea na Makala zangu ziitwazo Kwa Maslahi ya Taifa, ambazo huchapishwa kwenye gazeti la Raia Mwema toleo la kila siku za Jumatatu. Hizi Makala zitafuatiwa na Kipindi cha TV chenye jina hilo hilo ambacho kitaanza kutoka kwenye vituo kadhaa vya TV hivi karibuni baada ya taratibu za udhamini kukamilika, vikiangazia hoja mbalimbali muhimu kwa maslahi ya taifa letu la Tanzania.

Hoja ya Udikiteta Tanzania.
Kwa wiki kadhaa sasa nimekuwa nikijadili hoja ya Udikiteta Tanzania. mada ya leo ni kuhusu uzalendo wa ajabu wa Watanzania kuunyamazia uongo unaoenezwa kimataifa kuhusu huu udikiteta Tanzania. Jee Sisi Watanzania, Tuna Uzalendo Gani Kunyamazia Huu Uongo Unaonezwa Kimataifa Kuwa Rais wa Tanzania ni Dikiteta na Tunatawaliwa Kidikiteta?. Au Kwa Kunyamaza Huku Ndio Kukubali Kwenyewe Kuwa ni Kweli Taifa Letu Tanzania Tuko Kwenye Udikiteta?.

Kama ni Kweli Tanzania Tuna Udikiteta na Sisi Wenyewe Tumeukubali, Kwa Nini Watuingilie?.
Kama ni kweli rais wetu Magufuli anatenda kinyume cha katiba na sheria, na taratibu za kumshughulikia zipo lakini sisi Watanzania wenyewe tumeridhika naye na utendaji wake huo huo, hivyo hivyo anavyotenda iwe kwa kuvunja katiba au kinyume cha sheria, Watanzania wenyewe tumeridhika na kukubali, who the hell is jirani yasiyomhusu, anayekuja kutusemea kwenye media yao kuwa rais wetu amekosea?. Kama wenyewe tumekubali na tumeridhika, huyu jirani anamsemea nani?!. Kwa nini Watanzania tunanyamasia uongo huu?.

Wiki ijayo, nitakuja na set ya maswali kuhusu hoja za udikiteta ambayo nitayaelekeza kwa Waziri wa Sheria na Katiba. Prof. Palamagamba Kabudi.

Jumamosi Njema.

Paskali
Update
Nitauapdate uzi huu kwa michango michache objective.
Mkuu wangu mayalla, nikushauri kitu.
Nenda wafuate hao wanaotukana nchi na Rais ukawakanye.
Kwanini unapita njia ndefu wakati njia fupi ipo!!!
TUWAKILISHE MKUU TUTAKUONA WA MAANA SANA.

Haya unayofanya humu unajidharilisha tu mkuu.
Usiwalazimishe watu kuwa wazalendo, uzalendo huletwa na haki

Nakushauri kajiunge na musiba
 
Back
Top Bottom