Uzalendo wa Rais Samia kwa Taifa

Uzalendo wa Rais Samia kwa Taifa

Wakati Rais Samia anakwepa gharama ya mafuta ya TZS 270M kwa kupanda usafiri wa Umma | Rais Joao wa Angola ametumia TZS 9.5B kwenye Safari hiyo hiyo ya UN Gen Assembly, Wonders shall never end in Africa hongera sana Rais wangu Samia,​

" Hakuna kama Samia "​


Tunapoambiwa Tanzania imempata Rais Mzalendo wa Vitendo Mhe Samia Suluhu Hassan kuna watu bado wanasitasita kuelewa hata sasa kwani wanadhani Uzalendo ni kufokafoka wakati wote no!! Sasa tukio hili liwafunze maana halisi ya Uzalendo,

Tarehe 25|09|2021 pale JKNIA sote tumeshuhudia Rais wetu Mama Samia Suluhu Hassan akishuka kwenye ndege ya abiria pamoja na Tanzania kuwa na zaidi ya ndege 11 mpya zinazoweza kuruka moja kwa moja toka Dar -New York bila kutua popote lakini Rais alifanya vile ili kupunguza gharama za Safari yake ili chenji ya safari iende kuhudumia watoto wa masikini na hii ndio maana halisi ya Uzalendo wa vitendo.

Rais wa Angola H. E. Joao Lourenço katika kuhudhuria mkutano mkuu wa 76 wa UN Gen Assembly ( UNGA) jijini New York Marekani alijiidhinishia kiasi cha 2.5bl Angolan Kwanza ambayo ni sawa na $4.12M au sawa na shilingi milioni elfu tisa na miatano yaani 9.5bl,Lakini umbali kutoka Angola hadi New York ni kilometa 10,967 wakati umbali kutoka Tanzania hadi New York ni kilometa 12,050,Rais Joao amekuwa akisafiri kwa ndege binafsi wakati wote tofauti kabisa na Rais wetu.

Uzalendo ni imani lakini unasukumwa zaidi na hofu ya Mungu iliyoko ndani ya kiongozi husika,Rais mmoja anatumia Tshs 9.5bl kwa mkutano mmoja, kwa msiofahamu thamani halisi ya Tshs 9.5bl ni kwamba pesa hii inaweza kujenga hospitai kubwa tano za rufaa mnazozijua.

Rais Samia anakwepa kutumia 270M za Watanzania || Joao anatumia Tshs 9.5bl za wanaangola kwa mkutano mmoja, Viva Samia Viva huyu Mungu unayemuheshimu akuheshimishe zaidi na zaidi.

.........Kazi iendelee .........




Alarm over Angola President’s Sh9.5 billion UN travel budget
SUNDAY SEPTEMBER 26 2021
===================================
Angola President
Angola's President Joao Lourenco (C) reviews the guard of honour as he arrives at the Angola Nation Assembly on October 16, 2017.

Summary

On September 8, President Lourenço approved, in a presidential decree, the sum of US$4,119,036.75 (TSh9.5 billion) for operating expenses in preparations for the 76th session of the General Assembly of the United Nations, which closed Friday.

Civil society members and political party representatives in Angola are criticising President João Loureço’s budget for UN travel.

On September 8, President Lourenço approved, in a presidential decree, the sum of US$4,119,036.75 (2,500,000,000 Angolan Kwanza or TSh9.5 billion) for operating expenses in preparations for the 76th session of the General Assembly of the United Nations, which closed Friday.

President João Lourenço took over in September 2017, at the end of José Eduardo dos Santos's 38-year reign, and pledged to fight corruption.

Mihaela Webba, an MP in the main opposition party, Unita, asked what Angola would do with such a budget, describing the $4 million of additional credit for almost one week in the US as “not fair”.

“It is too much abuse of our money,” she said.

Tchizé dos Santos, a former MP of the ruling MPLA party, asked: “Were the State coffers not as empty as the President said he found them when he took over?”

Santos added: “$4 million on a trip and the President travels almost every month [sic]. Whenever he goes by plane he leaves in private jets.”

Mr João Pinto, a ruling MPLA MP, however, said whoever damages his image should be held responsible.

“It is outrageous to damage a poster or the image of the President and leader of the MPLA, that in December organises its ordinary congress. Being a democrat requires respect for others, even if you don't agree with them, so those involved in acts of outrage, injury or damage must be held responsible," he wrote on his Facebook page.

The controversies are arising as Angola plans to hold a general election in 2022, with President Lourenço and his ruling MPLA party seeking retain power.

VIVA TANZANIA || VIVA SAMIA

View attachment 1969119

View attachment 1969120
Mambo ya Angola yanatuhusu nini sisi Watanganyika tunaoibiwa pesa zetu kwa nyia mbalimbali zikiwemo TOZO na kuhamisha pesa kupeleka Zanzibar? Ni watoto wa masikini wepi ambao Samia ana uchungu nao na anawahudumia?
 
"Kama Katiba ingeruhusu Mhe Samia Suluhu Hassan hakupashwa kuwa Rais wa mihula miwuli pekee,

Huyu Mama walau kwa Uchache angestahili miaka walau 15 "
 
Tanzania kama speed ni hii basi mpaka 2030 huenda Tanzania ndio ikawa nchi yenye Uchumi mkubwa Africa,Tumwombe sana Mungu wetu katika hili
 
Team JF,


MERRY CHRISTMAS AND HAPPY NEW YEAR 2022.

#TUENDELEE KUMUUNGA MKONO RAIS WETU,
 
Happy Boxing Day kwa hisani ya Mhe Samia Suluhu Hassan
 
Miradi yote iliyoachwa na Hayati Dkt John John Joseph Pombe Magufuli Rais Samia Suluhu Hassan anaitekeleza kwa 100%

Sihiyo tu tayari mingine mipya inaendelea na Ujenzi,

Tunawajibu wa kumwombea Mama huyu,
 
#2025Fever itawapotezea muda wenu bure,hakuna wakumuangusha Rais Samia Suluhu Hassan kwa kazi hizi kubwa na nzuri anazozifanya,

#KAZIIENDELEE NA MAMA
 
Hakika kama mambo yataendelea kuwa hivi Rais Samia Suluhu Hassan atashinda Uchaguzi Huru na Haki wa 2025 kwa zaidi ya 76%
 
Kama mambo ndio haya basi Tanzania kama kuna wakati tumepata Rais bora na wa kweli nadhani ni sasa,Tufanye kazi kwa bidii sana,

Hakika huyu Mama ni Mpango wa Mungu,

#WATANZANIA TUFANYE KAZI KWA BIDII
 
Kama mambo ndio haya basi Tanzania kama kuna wakati tumepata Rais bora na wa kweli nadhani ni sasa,Tufanye kazi kwa bidii sana,

Hakika huyu Mama ni Mpango wa Mungu,

#WATANZANIA TUFANYE KAZI KWA BIDII
 
" Kwa mwendo huu Tanzania tutafika tunakotaka kwenda tena kwa kuwahi sana, Hongera Mama Samia, Watanzania tuko nyuma yako We chapa kazi achana na Wasio na jema "
 

Wakati Rais Samia anakwepa gharama ya mafuta ya TZS 270M kwa kupanda usafiri wa Umma | Rais Joao wa Angola ametumia TZS 9.5B kwenye Safari hiyo hiyo ya UN Gen Assembly, Wonders shall never end in Africa hongera sana Rais wangu Samia,​

" Hakuna kama Samia "​


Tunapoambiwa Tanzania imempata Rais Mzalendo wa Vitendo Mhe Samia Suluhu Hassan kuna watu bado wanasitasita kuelewa hata sasa kwani wanadhani Uzalendo ni kufokafoka wakati wote no!! Sasa tukio hili liwafunze maana halisi ya Uzalendo,

Tarehe 25|09|2021 pale JKNIA sote tumeshuhudia Rais wetu Mama Samia Suluhu Hassan akishuka kwenye ndege ya abiria pamoja na Tanzania kuwa na zaidi ya ndege 11 mpya zinazoweza kuruka moja kwa moja toka Dar -New York bila kutua popote lakini Rais alifanya vile ili kupunguza gharama za Safari yake ili chenji ya safari iende kuhudumia watoto wa masikini na hii ndio maana halisi ya Uzalendo wa vitendo.

Rais wa Angola H. E. Joao Lourenço katika kuhudhuria mkutano mkuu wa 76 wa UN Gen Assembly ( UNGA) jijini New York Marekani alijiidhinishia kiasi cha 2.5bl Angolan Kwanza ambayo ni sawa na $4.12M au sawa na shilingi milioni elfu tisa na miatano yaani 9.5bl,Lakini umbali kutoka Angola hadi New York ni kilometa 10,967 wakati umbali kutoka Tanzania hadi New York ni kilometa 12,050,Rais Joao amekuwa akisafiri kwa ndege binafsi wakati wote tofauti kabisa na Rais wetu.

Uzalendo ni imani lakini unasukumwa zaidi na hofu ya Mungu iliyoko ndani ya kiongozi husika,Rais mmoja anatumia Tshs 9.5bl kwa mkutano mmoja, kwa msiofahamu thamani halisi ya Tshs 9.5bl ni kwamba pesa hii inaweza kujenga hospitai kubwa tano za rufaa mnazozijua.

Rais Samia anakwepa kutumia 270M za Watanzania || Joao anatumia Tshs 9.5bl za wanaangola kwa mkutano mmoja, Viva Samia Viva huyu Mungu unayemuheshimu akuheshimishe zaidi na zaidi.

.........Kazi iendelee .........



Alarm over Angola President’s Sh9.5 billion UN travel budget
SUNDAY SEPTEMBER 26 2021
===================================
Angola President
Angola's President Joao Lourenco (C) reviews the guard of honour as he arrives at the Angola Nation Assembly on October 16, 2017.

Summary

On September 8, President Lourenço approved, in a presidential decree, the sum of US$4,119,036.75 (TSh9.5 billion) for operating expenses in preparations for the 76th session of the General Assembly of the United Nations, which closed Friday.

Civil society members and political party representatives in Angola are criticising President João Loureço’s budget for UN travel.

On September 8, President Lourenço approved, in a presidential decree, the sum of US$4,119,036.75 (2,500,000,000 Angolan Kwanza or TSh9.5 billion) for operating expenses in preparations for the 76th session of the General Assembly of the United Nations, which closed Friday.

President João Lourenço took over in September 2017, at the end of José Eduardo dos Santos's 38-year reign, and pledged to fight corruption.

Mihaela Webba, an MP in the main opposition party, Unita, asked what Angola would do with such a budget, describing the $4 million of additional credit for almost one week in the US as “not fair”.

“It is too much abuse of our money,” she said.

Tchizé dos Santos, a former MP of the ruling MPLA party, asked: “Were the State coffers not as empty as the President said he found them when he took over?”

Santos added: “$4 million on a trip and the President travels almost every month [sic]. Whenever he goes by plane he leaves in private jets.”

Mr João Pinto, a ruling MPLA MP, however, said whoever damages his image should be held responsible.

“It is outrageous to damage a poster or the image of the President and leader of the MPLA, that in December organises its ordinary congress. Being a democrat requires respect for others, even if you don't agree with them, so those involved in acts of outrage, injury or damage must be held responsible," he wrote on his Facebook page.

The controversies are arising as Angola plans to hold a general election in 2022, with President Lourenço and his ruling MPLA party seeking retain power.

VIVA TANZANIA || VIVA SAMIA

View attachment 1969119
View attachment 1969120
Kazi indelee
 

Wakati Rais Samia anakwepa gharama ya mafuta ya TZS 270M kwa kupanda usafiri wa Umma | Rais Joao wa Angola ametumia TZS 9.5B kwenye Safari hiyo hiyo ya UN Gen Assembly, Wonders shall never end in Africa hongera sana Rais wangu Samia,​

" Hakuna kama Samia "​


Tunapoambiwa Tanzania imempata Rais Mzalendo wa Vitendo Mhe Samia Suluhu Hassan kuna watu bado wanasitasita kuelewa hata sasa kwani wanadhani Uzalendo ni kufokafoka wakati wote no!! Sasa tukio hili liwafunze maana halisi ya Uzalendo,

Tarehe 25|09|2021 pale JKNIA sote tumeshuhudia Rais wetu Mama Samia Suluhu Hassan akishuka kwenye ndege ya abiria pamoja na Tanzania kuwa na zaidi ya ndege 11 mpya zinazoweza kuruka moja kwa moja toka Dar -New York bila kutua popote lakini Rais alifanya vile ili kupunguza gharama za Safari yake ili chenji ya safari iende kuhudumia watoto wa masikini na hii ndio maana halisi ya Uzalendo wa vitendo.

Rais wa Angola H. E. Joao Lourenço katika kuhudhuria mkutano mkuu wa 76 wa UN Gen Assembly ( UNGA) jijini New York Marekani alijiidhinishia kiasi cha 2.5bl Angolan Kwanza ambayo ni sawa na $4.12M au sawa na shilingi milioni elfu tisa na miatano yaani 9.5bl,Lakini umbali kutoka Angola hadi New York ni kilometa 10,967 wakati umbali kutoka Tanzania hadi New York ni kilometa 12,050,Rais Joao amekuwa akisafiri kwa ndege binafsi wakati wote tofauti kabisa na Rais wetu.

Uzalendo ni imani lakini unasukumwa zaidi na hofu ya Mungu iliyoko ndani ya kiongozi husika,Rais mmoja anatumia Tshs 9.5bl kwa mkutano mmoja, kwa msiofahamu thamani halisi ya Tshs 9.5bl ni kwamba pesa hii inaweza kujenga hospitai kubwa tano za rufaa mnazozijua.

Rais Samia anakwepa kutumia 270M za Watanzania || Joao anatumia Tshs 9.5bl za wanaangola kwa mkutano mmoja, Viva Samia Viva huyu Mungu unayemuheshimu akuheshimishe zaidi na zaidi.

.........Kazi iendelee .........



Alarm over Angola President’s Sh9.5 billion UN travel budget
SUNDAY SEPTEMBER 26 2021
===================================
Angola President
Angola's President Joao Lourenco (C) reviews the guard of honour as he arrives at the Angola Nation Assembly on October 16, 2017.

Summary

On September 8, President Lourenço approved, in a presidential decree, the sum of US$4,119,036.75 (TSh9.5 billion) for operating expenses in preparations for the 76th session of the General Assembly of the United Nations, which closed Friday.

Civil society members and political party representatives in Angola are criticising President João Loureço’s budget for UN travel.

On September 8, President Lourenço approved, in a presidential decree, the sum of US$4,119,036.75 (2,500,000,000 Angolan Kwanza or TSh9.5 billion) for operating expenses in preparations for the 76th session of the General Assembly of the United Nations, which closed Friday.

President João Lourenço took over in September 2017, at the end of José Eduardo dos Santos's 38-year reign, and pledged to fight corruption.

Mihaela Webba, an MP in the main opposition party, Unita, asked what Angola would do with such a budget, describing the $4 million of additional credit for almost one week in the US as “not fair”.

“It is too much abuse of our money,” she said.

Tchizé dos Santos, a former MP of the ruling MPLA party, asked: “Were the State coffers not as empty as the President said he found them when he took over?”

Santos added: “$4 million on a trip and the President travels almost every month [sic]. Whenever he goes by plane he leaves in private jets.”

Mr João Pinto, a ruling MPLA MP, however, said whoever damages his image should be held responsible.

“It is outrageous to damage a poster or the image of the President and leader of the MPLA, that in December organises its ordinary congress. Being a democrat requires respect for others, even if you don't agree with them, so those involved in acts of outrage, injury or damage must be held responsible," he wrote on his Facebook page.

The controversies are arising as Angola plans to hold a general election in 2022, with President Lourenço and his ruling MPLA party seeking retain power.

VIVA TANZANIA || VIVA SAMIA

View attachment 1969119
View attachment 1969120
Uzalendo ndio huu,
 
Back
Top Bottom