Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
- Thread starter
-
- #501
Na angejifanya mbishi mbishi anaweza kula mboko.Tatizo la mama za kiafrica
Hata hakutaka kumsikiliza mwanae utetezi wake,yeye analaumu tu imebidi Ayamda akubali tu lawama
Nimekuja mkuu,,, Malindi amewakonesha hawa matapeli wawiliMaskini mxo dogo kapotea sababu ya upuuzi wake kumsikiliza mastermind. Mwenzie master huko jela ataishi tu sababu ni mtemi sasa mxo dogo mayai mayai sana.. Anaenda kuwa mwali..
Mwanaharamu nombuso amekipata kilichomtoa kanga manyoya [emoji3][emoji3]
Ayanda ameanza kujilaumu wakati mwanajela ndio kahusika hapo.. Afu linombuso limetoa mimacho tu ayanda wa watu analaumiwa..
Nyie ma malindi ni Mafia tapeli phindile na Richard wanadakwa, phindile alikuwa mdogo kama pilton jitu mtumba mabuza lilipofika..
Safi mama ngcobo [emoji3][emoji3][emoji3][emoji1487][emoji1487][emoji123][emoji123]
Jagiya ,Vera ginger ,Mtoto wa Baba
Ila si waliambiwa walipe fain au lifungo cha miaka 5 mkuu? Sidhani kama wataenda kutumikia kifungo waache kulipa fainiMaskini mxo dogo kapotea sababu ya upuuzi wake kumsikiliza mastermind. Mwenzie master huko jela ataishi tu sababu ni mtemi sasa mxo dogo mayai mayai sana.. Anaenda kuwa mwali..
Mwanaharamu nombuso amekipata kilichomtoa kanga manyoya [emoji3][emoji3]
Ayanda ameanza kujilaumu wakati mwanajela ndio kahusika hapo.. Afu linombuso limetoa mimacho tu ayanda wa watu analaumiwa..
Nyie ma malindi ni Mafia tapeli phindile na Richard wanadakwa, phindile alikuwa mdogo kama pilton jitu mtumba mabuza lilipofika..
Safi mama ngcobo [emoji3][emoji3][emoji3][emoji1487][emoji1487][emoji123][emoji123]
Jagiya ,Vera ginger ,Mtoto wa Baba
Waliambiwa Walipe faini ya rand 100000 ama waende jela for five years, na wakaambiwa hawaruhusiwi kuwa na silaha ama kusababisha vurugu vinginevyo jela itakuwa pale palelakini jaji alisema hukumu miaka mitano sambamba na faini pia akasema hukumu inaanza kuanzia sasa mtakaa jela..
Imekaaje hiyo?
Mapenzi ndivyo yalivyoRichard karuka mkojo kakanyaga mavi.
Huyu nombuso saizi scene zake sitaki hata kuziona ananipa hasira.
Ayanda anaenda zake kusoma theology awe mchungaji.. Jamaa ana akili ila kwa nombuso kawa mshamba huyu demu hamfai malaya mchafu
Kweli mapenzi ni upofu aseeh ayanda kaamua kuachana na sterehe za kifala anasoma.Mapenzi ndivyo yalivyo
Yanaweza kukudhalilisha sana mpk watu wakashangaa
Hlf siku ukifanikiwa kujinasua unajiuliza hivi ni mimi nilikuwa nashoboka kwa kinyago hichi[emoji23]
Sasa umalaya wa nombuso uko wapi? Na kajikuta yupo kati ya watu wawili, haf Ayanda anakimbiza mambo mbiombioRichard karuka mkojo kakanyaga mavi.
Huyu nombuso saizi scene zake sitaki hata kuziona ananipa hasira.
Ayanda anaenda zake kusoma theology awe mchungaji.. Jamaa ana akili ila kwa nombuso kawa mshamba huyu demu hamfai malaya mchafu
Kwanini asiwe mkweli na kuchagua mmoja anayempenda? Mkuu mbona kama unaendeshwa na hisia kuliko uhalisia?Sasa umalaya wa nombuso uko wapi? Na kajikuta yupo kati ya watu wawili, haf Ayanda anakimbiza mambo mbiombio
😢dah aseh so mk alikua anasingiziwa tu poor him, mabuza sio kabisa aseh.... Nnachotamani kwa nombuso sai ni afe tu hana chamaana anachofanya😡 namchukia..... uyo mxo nae hana akili acha mtoto wa mjini amtoe hao funza kichwaniMabuza sio polisi ni jambazi kabisa
Mashaka yetu yametimia.. Jamaa ndio alimshoot xulu kumbe kule alikomuweka anamtesa kinoma..
Kanombuso kameanza kumpanda ayanda na ukute mimba sio ya jamaa..
Mxo kazama kwenye mtego wa sbu anazidi kupotea..
Eeh mk amegeuzwa mbuzi wa kafara, ndio maana mabuza akawa anaskazia mk ahojiwe fasta.. Huyu mabuza ana roho nyeusi hatari.😢dah aseh so mk alikua anasingiziwa tu poor him, mabuza sio kabisa aseh.... Nnachotamani kwa nombuso sai ni afe tu hana chamaana anachofanya😡 namchukia..... uyo mxo nae hana akili acha mtoto wa mjini amtoe hao funza kichwani
dah inatia huzuni na hasira kwakweli...Eeh mk amegeuzwa mbuzi wa kafara, ndio maana mabuza akawa anaskazia mk ahojiwe fasta.. Huyu mabuza ana roho nyeusi hatari.
Xulu kachoka sana kitandan mabuza alimletea msosi halafu akatupa chini sahan ikavunjika,
Xulu anamlilia mabuza hata kuamka hawezi anamtoe hapo. Mabuza anasema " muda wako bado".
Jamaa anataka kuwafilisi kina mxo toto lenyewe jinga..
Nombuso hii dhambi yake ipo siku itammaliza anampelekesha mno mtoto wa mwanamke mwenzie.. Ayanda ana stress muda wote anatetemeshwa analazimishwa kukubali mimba kuwa yake.. Halafu nombu katekwa na watu hawajulikani hata.
Hivi itakuwa nani kamtwka NombusoEeh mk amegeuzwa mbuzi wa kafara, ndio maana mabuza akawa anaskazia mk ahojiwe fasta.. Huyu mabuza ana roho nyeusi hatari.
Xulu kachoka sana kitandan mabuza alimletea msosi halafu akatupa chini sahan ikavunjika,
Xulu anamlilia mabuza hata kuamka hawezi anamtoe hapo. Mabuza anasema " muda wako bado".
Jamaa anataka kuwafilisi kina mxo toto lenyewe jinga..
Nombuso hii dhambi yake ipo siku itammaliza anampelekesha mno mtoto wa mwanamke mwenzie.. Ayanda ana stress muda wote anatetemeshwa analazimishwa kukubali mimba kuwa yake.. Halafu nombu katekwa na watu hawajulikani hata.
Sijajua ni nani labda mxo au mtu mwengine kabisa tusiyemjua.Hivi itakuwa nani kamtwka Nombuso
Au Mxo amemteka?
Ayanda na Mxolisi wamezishapa church 😀😀😀.Sijajua ni nani labda mxo au mtu mwengine kabisa tusiyemjua.
Inawezekana akawa Mxolisi tu.Hivi itakuwa nani kamtwka Nombuso
Au Mxo amemteka?