Nombuso atamuendesha sana Ayanda na imeshaanza kujionesha.😢dah aseh so mk alikua anasingiziwa tu poor him, mabuza sio kabisa aseh.... Nnachotamani kwa nombuso sai ni afe tu hana chamaana anachofanya😡 namchukia..... uyo mxo nae hana akili acha mtoto wa mjini amtoe hao funza kichwani
kabisa... kisa kashajua anapendwa na hawezi kuachika ndio maaanaNombuso atamuendesha sana Ayanda na imeshaanza kujionesha.
Dah, kutokuwa na msimamo aseh utachakazwaa... nombuso kamuaibisha ayanda mnoo, sio kwa kudhalilishwa kule na mxo... uyu mwanamke hamnazo sanaLeooo dah 😀
Kwanzaa bibi harusi aligegedwa usiku kucha na bwana jela yule.. Then kesho kaenda kuolewa.
Siku ya harusi bwana jela wetu kaja kuvuruga matokeo yake bwana harusi akashindwa kuvumilia akaamua kumpa kipondo cha haja mwana yule wa xulu.. 😀😀💪💪
Na uzuri bwana harusi kashasanuka maana yule mwana yule asiye na adabu kafunguka yote kuwa yeye ndio alifungua njia kwa bibi harusi, kwa maneno mengine yeye ndio alikata utepe..bwana harusi akaona imetosha sasa akshusha kibano.. Na honneymon kakataa kuila kabisa.. 💪💪🙌🏾🙌🏾
Leo ni code tu.
Jagiya ,Vera ginger , Kool the gang , Mtoto wa Baba
Ila kanombuso bwana kanakera kweli, hakaeleweki yaan kanabehave kama standard three pupilDah, kutokuwa na msimamo aseh utachakazwaa... nombuso kamuaibisha ayanda mnoo, sio kwa kudhalilishwa kule na mxo... uyu mwanamke hamnazo sana
kabisa yani tushamkinai kwakweliIla kanombuso bwana kanakera kweli, hakaeleweki yaan kanabehave kana standard three pupil
Mimi nataka tu hii scene ya Nombuso iishe ananiudhi
[emoji2955]
Kajidhalilisha nae pia huyu demu ayanda alisukumizwa na mxo mara ya kwanza hakumind.Dah, kutokuwa na msimamo aseh utachakazwaa... nombuso kamuaibisha ayanda mnoo, sio kwa kudhalilishwa kule na mxo... uyu mwanamke hamnazo sana
kabisaa isingeweza vumilika tenaKajidhalilisha nae pia huyu demu ayanda alisukumizwa na mxo mara ya kwanza hakumind.
Lakini kwa dharau zile mbele za umati akaona inatosha sasa..
Hakuna cha honeymoon hapo[emoji16][emoji16]Da ayanda naona mambo ni moto. Kwenye honeymoon kimenuka. Mambo ni [emoji91] [emoji91]
Kweli kabisa. Niliangalia season two, Nikaona pasta baba yake ayanda atafanya Ile biashara ya Mr Zulu .pia nae mafia Kama Zulu. Na anataka kumuuwa Msster mind. Anamtuma mxolisi kufanikisha Ilo ila jamaa anamtaalifu master mind aondoke kwa mashu but nae mbishi hataki kuondoka. Hii Kitu Mbele ni 🔥 🔥Hakuna cha honeymoon hapo[emoji16][emoji16]
umeiangalizia wapi mkuu niicheki yote maana kusubilia inaboa sana.Kweli kabisa. Niliangalia season two, Nikaona pasta baba yake ayanda atafanya Ile biashara ya Mr Zulu .pia nae mafia Kama Zulu. Na anataka kumuuwa Msster mind. Anamtuma mxolisi kufanikisha Ilo ila jamaa anamtaalifu master mind aondoke kwa mashu but nae mbishi hataki kuondoka. Hii Kitu Mbele ni 🔥 🔥
Search uzaro season 2.utaona episode japo Sio zoteYoutubeumeiangalizia wapi mkuu niicheki yote maana kusubilia inaboa sana.
Daaah hatari sanaLeooo dah [emoji3]
Kwanzaa bibi harusi aligegedwa usiku kucha na bwana jela yule.. Then kesho kaenda kuolewa.
Siku ya harusi bwana jela wetu kaja kuvuruga matokeo yake bwana harusi akashindwa kuvumilia akaamua kumpa kipondo cha haja mwana yule wa xulu.. [emoji3][emoji3][emoji123][emoji123]
Na uzuri bwana harusi kashasanuka maana yule mwana yule asiye na adabu kafunguka yote kuwa yeye ndio alifungua njia kwa bibi harusi, kwa maneno mengine yeye ndio alikata utepe..bwana harusi akaona imetosha sasa akshusha kibano.. Na honneymon kakataa kuila kabisa.. [emoji123][emoji123][emoji1487][emoji1487]
Leo ni code tu.
Jagiya ,Vera ginger , Kool the gang , Mtoto wa Baba
Isiiishe mpk Nombuso kimpate cha kumpata mwanaharamu yule mfyuuuIla kanombuso bwana kanakera kweli, hakaeleweki yaan kanabehave kama standard three pupil
Mimi nataka tu hii scene ya Nombuso iishe ananiudhi
[emoji2955]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Isiiishe mpk Nombuso kimpate cha kumpata mwanaharamu yule mfyuuu
Master handsome,sema mafia na hamuamini hata kdg sbuSafi sana ayanda kwa kumkazia huyu demu malaya kaanza kujirudi.. Lakini kuna hatari ya huyu nombu kurudi kwa mxo. Watch it ayanda..
Mxo soon anakwenda jela hana akili huyu dogo kamuamini sbu kirahisi sana atakiona cha mtema kuni..
Huyu amandla anaboa sana anawajibu wakubwa wake kina zweli shit na upuuzi.. Chapa viboko kabisa.
Zweli kashanasa kwa nosipho yaani hata thobile akimpigia simu anamkatia, master nae soon ataharibu bara na pwani..
Nilikuwepo...
Jamani muwe mnatusifia na sisi mahendisamu huoni avatar yangu hapo zweli namuacha mbali.. (joke)Master handsome,sema mafia na hamuamini hata kdg sbu