Leooo dah [emoji3]
Kwanzaa bibi harusi aligegedwa usiku kucha na bwana jela yule.. Then kesho kaenda kuolewa.
Siku ya harusi bwana jela wetu kaja kuvuruga matokeo yake bwana harusi akashindwa kuvumilia akaamua kumpa kipondo cha haja mwana yule wa xulu.. [emoji3][emoji3][emoji123][emoji123]
Na uzuri bwana harusi kashasanuka maana yule mwana yule asiye na adabu kafunguka yote kuwa yeye ndio alifungua njia kwa bibi harusi, kwa maneno mengine yeye ndio alikata utepe..bwana harusi akaona imetosha sasa akshusha kibano.. Na honneymon kakataa kuila kabisa.. [emoji123][emoji123][emoji1487][emoji1487]
Leo ni code tu.
Jagiya ,
Vera ginger ,
Kool the gang ,
Mtoto wa Baba