Naona Mk kaamua kuifilisi familia ya akina MxoMkontho ni mtoto wa mjini.
Hii yote ni ujinga wa Mxolisi kabisa.
Zweli smart kwa umafia anaujua zaid kuliko mxoMk kabakiza punje tu ya kula wali wa xulu family na mali zote.
Mxo aliskiliza ujinga wa zweli, ona kilichowakuta sasa..
Na tabu wataiona mbona
kweli lakini shida ya zweli nae ni mkurupukaji. SometimeZweli smart kwa umafia anaujua zaid kuliko mxo
Tatizo mxo anajiona yeye boss hasikiliza mawazo ya kidampa,sasa inamcost
DAH ITV WAMEKATISHAA UZALO MARUDIODah mk muhun sana kaingia mpaka Store ya unga na sbu ndo kamleta halafu akapigwa roba mpaka kazima 😀😀
Dhlomo yuko karibu lazima mk au Kina zweli wadakwe.
Nkosinathi kaanza kuwa teja.
Ayanda na nosi bado hali tete,
Ni xulu, hukusia pale nosipho alipomwambia mama yake kuwa "Dad was here" na mama yake akamwambia kuwa " you were dreaming"Wakuu, yule aliyeenda hospital kumuona nosipho akiwa amefunika uso mbona me nilimuona kama mk? Au nimewachanganya?
Anataka ama wakose wote au Ayanda amuache Nombuso thn warudianeleo ITV wamezingua imeanza saa 1 na 40min .
Mk amejuta sana kumshoot nosi,
Xulu karudi mjini nyiee,alienda kumuona nosi na kibaya zaidi aliwapita mkewe kimya.
Nkosi kashakuwa teja, Halafu kwanini mxo hapendi kuona ayanda katulia zake.? Bora hata mk amtandike risasi kama ilivyoonyeshwa kawapoint wote na zweli.
Vera ginger mumeo karudi mjini
Sasa hpo Ayanda akimgegeda si atakuwa amemla dadake wa damu kabisa.Ila yule Nosipho naona kama anamzengea Ayanda, maana anajichekesha na kuchangamka naye sana. Labda ameona hawezi figisu za yule girlfriend wa Zweli na anajaribu kudivert attention ya Ayanda kwa Nombuso.
Nilisikia but sura niliona kam ya mk hata ile midevu Xulu hakuwa na midevu mingi vileNi xulu, hukusia pale nosipho alipomwambia mama yake kuwa "Dad was here" na mama yake akamwambia kuwa " you were dreaming"
Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
Hawajaujua uhusiano wao bado. Lakini naona karibu Xulu atarudi kwenye show.Sasa hpo Ayanda akimgegeda si atakuwa amemla dadake wa damu kabisa.
Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
kwani anajua sasa.Sasa hpo Ayanda akimgegeda si atakuwa amemla dadake wa damu kabisa.
Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
Ndio yule xulu amefuga ndevu alipolazwa tulimuona.Nilisikia but sura niliona kam ya mk hata ile midevu Xulu hakuwa na midevu mingi vile
Nikajua Nosipho amemfananisha labda
Wasenge wameleta mikutano yao ya kidwanzi halafu wamekatisha pazuri pale mk alipkuwa na sbuDAH ITV WAMEKATISHAA UZALO MARUDIO