Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
- Thread starter
- #641
Kumbe ni mahaba yako eeh mna undugu.? Huyo mdogo wako si alijifanya kunikataa nilimpomtokea?Jmn Nambuso wangu[emoji24][emoji24]
Cha moto anakiona 😀😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe ni mahaba yako eeh mna undugu.? Huyo mdogo wako si alijifanya kunikataa nilimpomtokea?Jmn Nambuso wangu[emoji24][emoji24]
Eeeh Umeona wapi wewe?
Niachie nambuso wangu, sasa kwann kila anae Jua siri anakufa..wanaextend sasa na wenyeweKumbe ni mahaba yako eeh mna undugu.? Huyo mdogo wako si alijifanya kunikataa nilimpomtokea?
Cha moto anakiona [emoji3][emoji3]
Nahisi kuna ukweli fulani ameshaujua hyu Bibie atapona tuuJmn Nambuso wangu[emoji24][emoji24]
Xulu huwa haonei warembo hovyo.Itakuwa khabashe[emoji1]
Kwan ujaona ya leoEeeh Umeona wapi wewe?
Amekufa? Mbona ITV hawakuonesha? Alipigwa risasj wapi?Niachie nambuso wangu, sasa kwann kila anae Jua siri anakufa..wanaextend sasa na wenyewe
Ulikuwa unaangalia ITV ya wapi wewAmekufa? Mbona ITV hawakuonesha? Alipigwa risasj wapi?
Leo sijacheki nipeni daya zote hapa mwanzo mwishoKwan ujaona ya leo
Jmn saiz umeangalia?Amekufa? Mbona ITV hawakuonesha? Alipigwa risasj wapi?
Niachie nambuso wangu, sasa kwann kila anae Jua siri anakufa..wanaextend sasa na wenyewe
Unaona kabisa nauliza hapa means nimeikosa?
Ayanda amemgegeda dada yke wa dam (Nosipho)Leo sijacheki nipeni daya zote hapa mwanzo mwisho
Mkuu @kiboronge nakutafuta hapa
Ndo Kafa ivo kama yule dada akeNa hakika atapona tuu ni swala la muda tuu
Hapa nilipo hata sijafika nyumbani mkuu.Jmn saiz umeangalia?
Niwie radhi, nadhani umecheki.Unaona kabisa nauliza hapa means nimeikosa?
Sijapenda hili swali kama kebehi!
Hilo tulilijua litatokea tu mkuu
Mkuu hebu nifungukie ilikuwajeNa hakika atapona tuu ni swala la muda tuu
Duuh huruma sana asee alikuwa ananivutia sana huyu mtoto,😥Ndo Kafa ivo kama yule dada ake