Uzalo Special Thread

Uzalo Special Thread

Sielewi zile nyaraka za hospital kuhusu uhalisia wa wazazi wa Ayanda na Mxo Nombuso alizipata wapi, maana ndo alizomaliza kusoma tu ile anataka kuanika ukweli akatandikwa risasi.

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
Zile zilikuwa kwa mama yake kijijini ambako sindi Dada wa nombuso alikuwa nazo before hajauwawa ndio kwenye mazishi zikaenda Bush ila hazikusomwa.
 
Yasni mkuu kila wanapoonesha jioni kesho yake asubuhi wanarudia saa 3 hivi episode ya jana yake.
Achana na marudio ya week nzima jmosi usiku na jpili asubuhi
Vizia hata kesho utaona
haaa bhas acha nivizie maana me huwa nasubirigi marudio ya ijumaa siku ya j3
 
hahaahah mwache huyoo dhlomo bahiliii sanaa nipo apo kwa SBU๐Ÿ˜…๐Ÿ˜
Si niliskia anahonga sana?
Utaweza kupambana na babymama wa sbu? Au ndo mshindi atatangazwa msikitini?๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
 
Si niliskia anahonga sana?
Utaweza kupambana na babymama wa sbu? Au ndo mshindi atatangazwa msikitini?๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
hahaha anahonga wapi yule mtchew!!!
uyo babymama wake kama ataweza shindana na hii pisi bhas tusubiri tujue siku ya matangazo palee church.. ๐Ÿ˜Š
 
hahaha anahonga wapi yule mtchew!!!
uyo babymama wake kama ataweza shindana na hii pisi bhas tusubiri tujue siku ya matangazo palee church.. ๐Ÿ˜Š
๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€nimebaki mie pisi zote zimekimbia limebaki li gc tu sasa si dume lile?๐Ÿ™Œ๐Ÿพ๐Ÿ™Œ๐Ÿพ
 
[emoji3][emoji3][emoji3]nimebaki mie pisi zote zimekimbia limebaki li gc tu sasa si dume lile?[emoji1487][emoji1487]
Mchukue Nosipho
Demu mwenyewe anajibebisha hovyo,sasa kajikuta kajubebisha kwa bro wake na kugegedwa
 
Mchukue Nosipho
Demu mwenyewe anajibebisha hovyo,sasa kajikuta kajubebisha kwa bro wake na kugegedwa
Si alinikataaga huyu akaenda kwa master? Tena na kunisuta na kunichamba juu? Kuwa amechoka kuwa na mimi muuza samaki?.

Sasa ameanza kukitembeza kwa brother wake wa damu!..
๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
Kama vipi ma mlahmbo si yuko singo?
 
jamani poleee... ka nakuonaaa vlee
Namsalaundia mamlambo katibu wa kanisa na mchawi mganga mkubwa yule ili aniroge nimpende na anipe limbwata.
Ila usimuache dhlomo plz mzee wa watu mnapendana ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
 
Hivi ungekuwa hata wewe ungekubali kulea mtoto sio wako?
Siku ya ndoa mtu katoka kunyanduliwa usiku kucha kaja na janaba kanisani utaoa?

Nadhani labda hukufuatilia vizuri nombuso anampenda ayanda?๐Ÿ™„๐Ÿ™„
Wakristo wana kitu kinaitwa janaba mzee?
 
Back
Top Bottom