Jagiya
JF-Expert Member
- Sep 23, 2018
- 1,206
- 1,828
hahaahah mwache huyoo dhlomo bahiliii sanaa nipo apo kwa SBU๐ ๐Anyway vipi mumeo dhlomo yupo??๐๐
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahaahah mwache huyoo dhlomo bahiliii sanaa nipo apo kwa SBU๐ ๐Anyway vipi mumeo dhlomo yupo??๐๐
Zile zilikuwa kwa mama yake kijijini ambako sindi Dada wa nombuso alikuwa nazo before hajauwawa ndio kwenye mazishi zikaenda Bush ila hazikusomwa.Sielewi zile nyaraka za hospital kuhusu uhalisia wa wazazi wa Ayanda na Mxo Nombuso alizipata wapi, maana ndo alizomaliza kusoma tu ile anataka kuanika ukweli akatandikwa risasi.
Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
haaa bhas acha nivizie maana me huwa nasubirigi marudio ya ijumaa siku ya j3Yasni mkuu kila wanapoonesha jioni kesho yake asubuhi wanarudia saa 3 hivi episode ya jana yake.
Achana na marudio ya week nzima jmosi usiku na jpili asubuhi
Vizia hata kesho utaona
Si niliskia anahonga sana?hahaahah mwache huyoo dhlomo bahiliii sanaa nipo apo kwa SBU๐ ๐
hahaha anahonga wapi yule mtchew!!!Si niliskia anahonga sana?
Utaweza kupambana na babymama wa sbu? Au ndo mshindi atatangazwa msikitini?๐๐
Mbona kama Nombuso alikuwa bado town,Zile zilikuwa kwa mama yake kijijini ambako sindi Dada wa nombuso alikuwa nazo before hajauwawa ndio kwenye mazishi zikaenda Bush ila hazikusomwa.
demu hana msimamo, ndo marehemu tenaAnampenda ayanda, and yuko taarifa ku build ndoa yao sema ayanda ndo anamawenge
๐๐๐nimebaki mie pisi zote zimekimbia limebaki li gc tu sasa si dume lile?๐๐พ๐๐พhahaha anahonga wapi yule mtchew!!!
uyo babymama wake kama ataweza shindana na hii pisi bhas tusubiri tujue siku ya matangazo palee church.. ๐
Tutajua mkuu lakini nakumbuka paper ziliachwa Bush kwa mama yao na mwisho alikuwa nazo mkononi akilia
Kwenye mkoba aliotoka nao villageSielewi zile nyaraka za hospital kuhusu uhalisia wa wazazi wa Ayanda na Mxo Nombuso alizipata wapi, maana ndo alizomaliza kusoma tu ile anataka kuanika ukweli akatandikwa risasi.
Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
Mchukue Nosipho[emoji3][emoji3][emoji3]nimebaki mie pisi zote zimekimbia limebaki li gc tu sasa si dume lile?[emoji1487][emoji1487]
Yawezekana, maana ndo alikuwa anapangua mizigo yke kwenye begi ndo akakumbana nazo.Kwenye mkoba aliotoka nao village
Na kama ni Mk basi target yake ilikuwa ni Mxo, rejea siku Nosipho anatandikwa risasi.Nahisi aliywmpiga risasi sio mk kweli
Si alinikataaga huyu akaenda kwa master? Tena na kunisuta na kunichamba juu? Kuwa amechoka kuwa na mimi muuza samaki?.Mchukue Nosipho
Demu mwenyewe anajibebisha hovyo,sasa kajikuta kajubebisha kwa bro wake na kugegedwa
jamani poleee... ka nakuonaaa vlee๐๐๐nimebaki mie pisi zote zimekimbia limebaki li gc tu sasa si dume lile?๐๐พ๐๐พ
Namsalaundia mamlambo katibu wa kanisa na mchawi mganga mkubwa yule ili aniroge nimpende na anipe limbwata.jamani poleee... ka nakuonaaa vlee
Wakristo wana kitu kinaitwa janaba mzee?Hivi ungekuwa hata wewe ungekubali kulea mtoto sio wako?
Siku ya ndoa mtu katoka kunyanduliwa usiku kucha kaja na janaba kanisani utaoa?
Nadhani labda hukufuatilia vizuri nombuso anampenda ayanda?๐๐
Mimi nadhani ni wale waliomkopesha Mxo fedha. Amempa MK eti akazilipe wakati yeye alishawakatalia kuwalipa walipokuja kuchukua kipindi cha nyuma. Halafu walimtahadharisha lakini bado ameendelea kufanya kosa lile la kumuamini MK.
Kha! ulikuwa wapi leo hukuona No alipopigwa risasi?Amekufa? Mbona ITV hawakuonesha? Alipigwa risasj wapi?