bitimkongwe
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 7,794
- 7,551
Nadhani ilianza jana lakini ITV wameikata. Hii ya leo ni mara ya pili.
Niliona ile statement aliyosema Ayanda kabla kwamba they were not supposed to do what they did before nikawa na wasiwasi. Ila leo naona imethibitika.