Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
- Thread starter
- #661
Sawa sawa haya niambie sasa ilikuwaje na nombuso alipigwa shaba akiwa wapi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa sawa haya niambie sasa ilikuwaje na nombuso alipigwa shaba akiwa wapi
Nambuso kashajua ukweli kuhusu wazazi wa wakina ayanda, so akat anaenda kumwambia Xulu sijui Jina lake ndo kapigwa risasi. Pia ayanda na dada ake wamegegedana kanisaniSawa sawa haya niambie sasa ilikuwaje na nombuso alipigwa shaba akiwa wapi
Akiwa kwenye eneo la biashra ya akina mxo akisimlia kuhusu mimba kutoka. Na alimwambia mxo kuwa mimba ilikuwa yake. Mxo alijaa upepo sana akafikia kumtimua pale. Nombuso alitska kumwambia ukweli kuhusu yeye (Mxo) na Ayanda ndo akapigwa risasi.Sawa sawa haya niambie sasa ilikuwaje na nombuso alipigwa shaba akiwa wapi
Hadi mimiDuuh huruma sana asee alikuwa ananivutia sana huyu mtoto,[emoji26]
Naskia mambo ni noma mkuu wangu leo nimeambiwa hapa eti yule kigagula nombuso katandikwa risasi..!hayaa wadau naona huku panazidi kunoga au sio? Its Pancho
Mhhh aseeh mkuu mbona inatia mashaka sana sasa nani ndio nani kashoot? Tuseme ni ayanda sababu ya wivu?Akiwa kwenye eneo la biashra ya akina mxo akisimlia kuhusu mimba kutoka. Na alimwambia mxo kuwa mimba ilikuwa yake. Mxo alijaa upepo sana akafikia kumtimua pale. Nombuso alitska kumwambia ukweli kuhusu yeye (Mxo) na Ayanda ndo akapigwa risasi.
Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
huyo ata aniumiz kichwa.... leo nimetoka kapa masaa yanavyokimbia nakuja kushtuka saa 2 hiyo apo..Naskia mambo ni noma mkuu wangu leo nimeambiwa hapa eti yule kigagula nombuso katandikwa risasi..!
Ubaya leo nimeikosa sasa natafuta mtu wa kunipa update hapa vipi wewe leo?
kabisaaaa laana zimeanza fanya kazi afee tu hatuna msaada nae huyoMhhh aseeh mkuu mbona inatia mashaka sana sasa nani ndio nani kashoot? Tuseme ni ayanda sababu ya wivu?
Hili linombuso halinaga akili kabisa sasa lilienda kwa mxo ili iweje ikiwa lilimwambia mxo A stay away nae?
Afe tu mbwa huyu kama vipi. Jagiya
Here we go kesho nitaivizia asubuhi na hivi ni weekendYawezekana aliyeshoot Nombuso ni Sbu kwa kutumiwa na xulu, kwa sababu walikuwa wanawafuatilia wakiwa kwenye gari na walimpita Ayanda.
Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
Kumbe Ayanda alikuwa sahihi. Mimba ilikuwa ya Mxo. Kuhusu Ayanda kumtandika risasi siyo kabisa. Kumbuka wakati anatandikwa risasi Ayanda na Nos ndo walikuwa wanamaliza kvunja amri ya 7Mhhh aseeh mkuu mbona inatia mashaka sana sasa nani ndio nani kashoot? Tuseme ni ayanda sababu ya wivu?
Hili linombuso halinaga akili kabisa sasa lilienda kwa mxo ili iweje ikiwa lilimwambia mxo A stay away nae?
Afe tu mbwa huyu kama vipi. Jagiya
Zaidi tunagongesha chars 🍻 🍻kabisaaaa laana zimeanza fanya kazi afee tu hatuna msaada nae huyo
weweee asubuhi ya jumamosi au ya jpiliHere we go kesho nitaivizia asubuhi na hivi ni weekend
👌👌👌🥂Zaidi tunagongesha chars 🍻 🍻
Kajua kuhusu wazazi wa ukweli wa ayanda? Alijuaje?Nambuso kashajua ukweli kuhusu wazazi wa wakina ayanda, so akat anaenda kumwambia Xulu sijui Jina lake ndo kapigwa risasi. Pia ayanda na dada ake wamegegedana kanisani
Anyway vipi mumeo dhlomo yupo??😀😀👌👌👌🥂
Yasni mkuu kila wanapoonesha jioni kesho yake asubuhi wanarudia saa 3 hivi episode ya jana yake.weweee asubuhi ya jumamosi au ya jpili