Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
- Thread starter
-
- #1,421
Hawajalipia episodes za mwendelezo gharama ni kubwa hali si hali na matangazo wafanyabiashara na taasisi hawatangaziJmn kwann wanatufanyia ivi itv
Hawajalipia episodes za mwendelezo gharama ni kubwa hali si hali na matangazo wafanyabiashara na taasisi hawatangazi
nipooo.. na bado ni marudio jumanne nilijaribu kucheki ndio kwaanaza ipo pale kina zweli na mxo wakipanga kufanya party.... inaboaa😒Mlioangalia Week hii yote bado wamerudia tena?
Nakumbuka Week iliyopita walirudia tena ya Week mbili zilizopita pale zweli alipoibiwa na yule Dada slay queen..!
Jagiya uko wapi
umekua mpotevu sana pande hiziiheeeeee kumbeeee
si kidogo wanaboa mnoo na marudio yenyewe hayaonyeshi hata dalili za mwendelezo... ndio kwanza inarudiwa vipengele kumi nyumaaWapuuzi Hawa kurudia tamthilia wamenikera mno
Wangetuambia mapema tu kama kero zenyewe ndo hizi.nipooo.. na bado ni marudio jumanne nilijaribu kucheki ndio kwaanaza ipo pale kina zweli na mxo wakipanga kufanya party.... inaboaa😒
sjajua kwakweli kama wanamadeni.... ila nimapema sanaa kuanzaa huu uduanzi wanaotufanyia saiviWangetuambia mapema tu kama kero zenyewe ndo hizi.
Au wanadaiwa nini hawa,?
Si kuna mdau hapo kasema wameshindwa lipia episode?sjajua kwakweli kama wanamadeni.... ila nimapema sanaa kuanzaa huu uduanzi wanaotufanyia saivi
Ni kweli wametuzidi sio episode tu Bali ni season yani South inaendelea na inaoneshwa kila siku wapo season 7 sisi ndo kwanza tupo season 1Si kuna mdau hapo kasema wameshindwa lipia episode?
Au ukute vipande vimepotea maana tunaambiwa sisi wametuzidi episodes kibao huko
Lazima kuna vipande vitakuwa vimepotea.Ni kweli wametuzidi sio episode tu Bali ni season yani South inaendelea na inaoneshwa kila siku wapo season 7 sisi ndo kwanza tupo season 1
Sent using Jamii Forums mobile app
Sidhani kama kama wamepoteza maana information zinahifadhiwa kwa umakini na wana storage kubwa tu nadhani wameamua tu kutonesha marudio mataccor hawaLazima kuna vipande vitakuwa vimepotea.
labdaaa.... hela hazisomi na kwa tamthilia hii kweli wamefika mbaliSi kuna mdau hapo kasema wameshindwa lipia episode?
Au ukute vipande vimepotea maana tunaambiwa sisi wametuzidi episodes kibao huko
Ila kana attitude.Haka katoto Ka police Mzee kapo vizuri,naona Ayanda anachelewa kuomba mechi
hii imewahi kutokea hata kwa Isidingo ilirudiwa almost wiki 3Mlioangalia Week hii yote bado wamerudia tena?
Nakumbuka Week iliyopita walirudia tena ya Week mbili zilizopita pale zweli alipoibiwa na yule Dada slay queen..!
Jagiya uko wapi
Wanatutesa sanaahii imewahi kutokea hata kwa Isidingo ilirudiwa almost wiki 3
Wanarudia tuJmn hivi bado hawajaonyesha?