Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mambo si mambo nasubiri icho kivumbi kati ya terror, zweli na mxoTabia ya GC imebadilika baada ya kutoka Jela,amekuwa mwizi na tapeli.Alimuibia Zweli,mastermind wallet na kuenda kuweka heshima bar.Alinywesha watu bia na kufanya vibe la kufa mtu na kuwamwagia watu pesa.Alifumwa bar na DK na habari kufikishwa kwa Master mind,alifukuzwa usiku ,utetezi wa Smangele haukufua dafu.
Thobile ndiye mmiliki mpya wa Saloon iliyokuwa ya GC.Baada ya kufukuzwa nyumbani kwa kina Zweli/Sma, GC alikwenda kujihifadhi maeneo ya Kanisa.Asubuhi wakati anajisafisha washroom walikutana na Mamlambo.GC alidanganya yupo maeneo ya choo cha kanisa akifanya maombi.Mamlambo alimwambia amalizane na maombi yake, yeye,Mamlambo yupo nje anamsubiri ana maongezi naye.Mamlambo alitaka kujua kilichompeleka lockup ni kisa gani, GC akaishia kumdanganya.Mwisho wa siku Mamlambo aliishia kutapeliwa na GC.
Terror yupo mjini akijitaja kama ni binamu wa Mumsy(mtoto wa mchungaji)toka Swaziland ,huku akimtafuta.Anakutana na Smangele na anaelekezwa nyumbani kwa mchungaji, sehemu ambayo anaishi Mumsy.Anafika mahali hapo na kumkuta Manzunza(mke wa mchungaji),Baada ya kuulizia kama hapo anaishi binamu yake,Terror anakaribishwa na Manzunza.Mumsy bila kujua anatoka chumbani na kumkuta Terror sitting room,anajikuta ana dondosha chombo alichoshika na kuvunjika.Terror anamchangamkia Mumsy akimwita binamu,Manzunza bila kujua mchezo unaoendelea, anakwenda kuchukua vifaa vya usafi kuondoa chombo kilichovunjika.Huku nyuma Terror anamchimba biti Mumsy kwamba amekuja kuchukua roho yake kumpeleka kuzimu,huku anamwambia ataua familia moja baada ya mwingine mbele yake.Anaulizi wapi pesa zake zilipo.Mummsy anajaribu kuBuy time akimwambia aje kesho,atakuta mzigo.Terror anagoma akidai anataka kumchoma kwa polisi.Manzunza anaporudi anakuwa haelewi chochote kinachoendelea kati ya wawili Hao.Baadae mchungaji anajumuika nao akitoka kwenye mizunguko yake bila na yeye kuelewa kinachojiri.Nyumbani kwa Zweli,Sma anamwambia Zweli amekutana na binamu wa Mumsy, Zweli anashtuka kwamba Mumsy yupo hatarini.
Mangcoba akiwa katika kilele cha furaha ya kuchumbiwa na Nkuzi,anatumiwa ujumbe wa ajabu ambayo haueleweki.Hamjui mtumaji,hii inapelekea kupoteza furaha kabisa,Nkuzi anajaribu kumuuliza lakini anamficha.Baadae anamwita Mxo ajaribu kumshauri kuhusu hilo jambo lakini anakuwa hajapata jibu na kumjua mtumaji wa hizo jumbe.
Iyo ni uhakika maana zweli alichofanya ali keep distance tu kwaajili ya hofu ya terror ila upendo wake kwa mumzy upo palepaleNahisi muda wa Mastermind kumrudia Mumsy unakaribia.... fingers crossed!
nopeHivi Sibiya wa Isidingo yupo humu?
Mkuu ni kama umenileta kwamashuTerror mpenzi wa Mumsy toka Swaziland ameingia rasmi kwenye familia ya mchungaji,Mdletshe,akijitanabaisha kama ni binamu wa Mumsy.Hili linamtia shaka Mxolisi kaka yake na Mumsy,sababu Mumsy alishamweleza kuhusu huyo mpenzi wake.Smangele alipokutana na Terror kwa mara ya kwanza na kumuelekeza anapoishi Mumsy alikwenda kumueleza hiyo habari kaka yake,Zweli(Mastermind).Hii habari ilimshtua ,Zweli,sababu Mumsy alishamueleza kuhusu huyo mpenzi wake hatari ajulikanaye kwa jina la Terror.Zweli anamuonyesha Sma picha iliyotangazwa kwenye magazeti inayohusu huyo Terror,Sma anakubali kwamba hiyo picha ni ya TerrorZweli baada ya kupata wasiwasi anaanza kupiga kwa Mumsy,na kuambiwa simu haipatikani,anampigia ,Mxo,anapotaka kupokea,baba yake Mdletshe,asipokee simu wakati wa kula .Wakiwa wanapata dinner nyumbani kwa mchungaji familia nzima,Terror anakunjua makucha yake na kutoa bastola kumuonyeshea Mumsy ,akimwambia anahitaji pesa zake ,Mumsy alizomuibia huko Swaziland.Familia yote ya mchungaji inapata mshtuko na kutokea sitofahamu.Mxo anamuuliza Mumsy aonyeshe pesa zilipo ili wampatie Terror,Mumsy anasema pesa zipo mbali.Mxo anamwambia Terror atampatia pesa ili awaache huru na kuingia ndani kufuata pesa.Terror anamchukua mama mchungaji Manzuza/Zandile na kutishia kama Mxo hatatoka na hela basi atampiga risasi mama yake(Manzuza/Zandile).Mxo anatoka na bag(haijulikani kama ndani kuna pesa) na kumrushia Terror ,hapohapo na yeye anachomoa bastola na kumuelekezea Terror.Kwa hiyo wananyoosheana bastola.Upande wa pili:Zweli baada ya kuona simuhazipokelewi anachukua bastola na kumuaga Sma na kumwambia asipige simu polisi,wakati yeye anenda kuangalia kuna tatizo gani nyumbani kwa mchungaji Mdletshe.Anapofika anakuta Terror amewaweka chini ya ulinzi na yeye(Zweli) anampiga Terror kichwani na kitako cha bastola.Mchezo umeisha Terror anatiwa korokoroni na Mumsy anaenda kuwaonyesha polisi alipoficha pesa,kule kanisani.Moto unawaka kati ya Mchungaji,Mdletshe, na mke wake,Manzuza,kuhusu kisanga alicholeta Mumsy kwenye familia yao.Manzuza anamuambia ,Mdletshe damu yake ina laana ,kwanza mauzauza yalianza na Mxolisi(Uwizi na ujambazi) na sasa imetokea kwa binti yake Mumsy.Hii inapelekea Mdletshe kumwambia Mumsy aondoke,Mumsy anajitetea ,hana pa kwenda.Kule Swazilanda alipotoka kwa mama yake hakuna maadili.Mabuzi wa mama yake wanamtomgoza hata yeye na mama yake hafanyi chochote.Hilo jambo linamkosesha amani ,Mdletshe ,na kumuambua Mumsy hapo ni nyumbani kwao,haendi popote .Hilo jambo halimfurahishi ,Manzuza,na kupelekea bifu kati yake na Mumsy.Mumsy anamwambia Manzuza pale ni kwao na haendi popote.
GC Getshwayo amekuwa Tapeli na Kibaka mzoefu.Anamtapeli na kumuibia Hlengiwe Mamlambo,akijifanya ana kampuni yake ya investment,ukiwekeza pesa unapata pesa zaidi.Mamlambo anamkaribisha GC kuishi nyumbani kwake ,na GC anaanza udokozi.Microwave inapotea nyumbani kwake,apokwenda polisi,GC anaposhukiwa ,Mamlambo anamtetea na kuondoka polisi kwa hasira.Vitu vinaendelea kuibiwa na GC nyumbani kwa Mamlambo,mwisho wa siku GC anafumwa na Mamlambo akiiba na kumkimbia.Mamlambo anaanza kumsaka GC ,kwa rafiki zake kule saloon(kwa kina Thobile,Smangele).Anawaambia kwamba GC ni mwizi,yeye Mamlambo anajisifu kwamba, amejifunza karate ,akikutana na GC ni"amazake amazangu",kwa kipondo atakachompa GC.GC anakwenda nyumbani kwa Mamlambo na sura ya kutia huruma,na kusema,'' anasikia njaa sana''.Mamlambo anamuonea huruma,wakati anaangalia namna ya kumsaidia,GC anatumia hiyo nafasi ,kumuibia tena.GC muda wote yeye na kula bata sehemu za starehe akishafanya tukio.GC anamuibia Mamlambo funguo za kanisa na kuenda kuiba sadaka kanisani.Wakati wa uchunguzi wa polisi,Mamlambo ,anamtaja GC kwamba ni mshukiwa namba moja.GC anatoeka maeneo ya kanisa ambapo uchunguzi unafanyika.Anapooulizwa kilichompeleka,anampatia Mamlambo,pesa ,kama gawiwo ya pesa alizowekeza ili kumrudishia imani kwake(bila shaka pesa hiyo imetokana na sadaka alizoiba ).Mamlambo anasahau ubaya wote wa GC na kumkumbatia,huku akimrudishia nusu ya pesa ya gawiwo ili kuwekeza zaidi.Ikiwa usiku mnene ,GC,anakwenda kuiba tena kanisani,anawekewa mtego.Anapofika anapigwa na kitu kizito kichwani mpaka anazimia.Wanapomgeuza kumuangalia ni nani wanakuta ni GC.
Maisha ya MaNgcobo ni kuweweseka na ya wazimu wakati wote akimtaja Innoncetia.Akilala anaweweseka wakati wote.Kuna kipindi anakabwa kwenye ndoto na kujikuta amemkaba mumewe,Nkunze.Kuna wakati anapokuwa njiani anafananisha watu na Innoncetia na kuwafanyia vurugu na makelele.Nkunze anapata wakati mgumu sana kujaribu kumtuliza.Mamlambo anakwenda kufanya matambiko yake lakini wapi,hali inaendelea kuwa mbaya kwa MaNgcobo.Zekhethelo(Binti wa Innoncetia na Nkunze) na Nasipho Xulu(Binti wa MaNgcobo),wanagombana na kutaka kupigana baada ya Nasipho kumtuhumu Innoncetia,kumlogana mama yake,MaNgcoba.Inafikia mahali anataka kwenda kwa mchungaji Mdletshe,kukiri maovu yake.Apofika anakutana na Mxolisi na kuambiwa ,mambo yatakuwa mabaya zaidi akikiri hayo maovu yake,manake kila kitu kitakuwa wazi,uovu wote waliofanya siku za nyuma.Wakiwa katika mabishano anatokea mchungaji,Mdletshe.....
Yupo hai... HakufaInnocentia hakufa?
umetisha mwanangu,blessedInnocentia hakufa... na kamfata mangcobo hospitali na kuanza kumtisha..
Mumsy ni bata bata na yeye, siku moja kaandaa party kwa mamfundisi wakiwa wametoka na mumewe ni kuparty tu mama kurud anakuta nyumba yake imegeuka disko.... mama akaanza timua kila mmoja wakatoka
Mumsy kaona uboya akasepa home ye akawa n mtu wa kuparty tu zweli anamtafta kila day lakini Mumsy akomi akaona isiwe tabu siku akaenda mtafta na kuchukua kumrudisha kwao... akamwambia we ni mzuri nje lakini matendo yako ni ovyo me na ww leo bhas nakurudisha kwenu.....
Kwa mama pastor hapatan kabisa na mumsy kwaajili amebadilika na kurudia tabia yake ya mwanzo, siku yupo nyumban baba yake anamuuliza naona umerudia tabia yako ya mwanzo na mumsy kaanza kuja juu na kufoka oooh "unajifanya saiv unanijali mbna nilivyokua mdogo hukua na mda na mm sai ndio kujifanya" na mamb mengine ka hayo then akawafyonza na kusepa chumban kwake.... saiyo manzunza hakutia neno kaacha mzazi na mwanae wamalize majibizano yao.
Gc alichomwa kisu sikuona ilikuaje hapo ila alikutwa kwenye jumba bovu na damu zikiwa zimemvuja nyingi na kupelekwa hospitali... shosti zake wakaenda kumwona na jojo pia.. ila wakaona hali imekua tete wakamtafta mama yake ndipo alipokuja kumwona hospitali...
Mangcobo sasa akiwa mental health kule baada ya inno kurud mjengoni anamfuata mangcobo na kumtambia ila mangcobo anamwomba jambo moja tu kuwa asimfukuze mwanae pale.... inno anajibu kwa majigambo ntafikiria...
Nosi anakuja kujua siri na ambayo ni udhahifu pia wa inno kua anatembea na shemej yake (mpenzi wa nosi kwa sasa) jina silifaham. Mangcobo baada ya kupata taarifa hiyo anaona kwake n chance nzuri kwake kuitumia kutoka hapo hospitali... anampigia inno na kumtisha kwa siri hiyo na kumwambia kupona kwako kaniletee hela iliyopo kwnye safe... (kutaka huko ela inakuja baada ya hapo nyuma kumwita zweli amletee pesa ili ahonge atoke hapo ila plan inagonga mwamba baada ya dokta kumgeuka na kujidai kutoa taarifa kwa maaskari kua anapewa rushwa.. ela zikapotea kiivo baadae dokta anamfata anamwambia izo pesa azitoshi kwa jambo unalolitaka na kumtaka mangcobo aongeze pesa) kisa ndo hicho....
kurudi kwa inno akawa anawaza namna ya kuchukua hizo pesa wakiwa wanakula mezan mawazo yanakua n mengi na kumfanya ashindwe kula anaulizwa vipi na kudanganya n kichwa kinamuuma na kutaka kwenda kijipumzisha mumewe anamuambia twende nikupeleke anakataa na kusema anaweza kwenda kisha anasepa........
anafika chumbani na kufungua safe lakini ghafla anaskia mumewe anamwita anafunga chap na kujifanya alikua amesimama na kusema kichwa kinamuuma sana
siku ya pili pia anajaribu tena mara hii akafumwa live na hela akiwa kashazitoa. Hakuwa na namna tena ikabidi kusema yoote hadi kucheat kwake na shemeji mtu... na ndio maana mangcobo alikua anatumia udhahifu huo....
Mishe inafeli kwa mangcobo. Ino anabaki na mumewe nkunzi na nkunzi akiwa na nosi... nosi anamsisitiza akamtoe mangcobo kule hospitali ila nkunzi anaghairi baada ya kumshirikisha inno kuhusu kutaka kumtoa mangcobo na kuja kuishi pamoja kama familia ila inakua ngumu kwa inno na kumwambia nkunzi kua mangcobo alitaka kumuua kwa kumtupia korongoni....
Nkunzi anashangaa kwa taarifa hizo na kumfata mangcobo na kuumuambia kwanini ajawahi mwambia kuhusu tukio ilo na mangcobo anaeleza kua inno pia alitaka kumuua hivyo alifanaya vile kwa kujitetea nkunzi anakasirika na kusema hataki kusikia lolote kuhusu yeye kisha akaondoka.
Inno kwavalishwa pete na nkunzi kwamadai wanarenew ndoa yao... inno kwa kiherehere zaidi kaenda
mringishia mangcobo.. mangcobo roho ikamuuma kweli na kuivua pete aliyovalishwa na nkunzi...
Ukirudi kwa mangcobo alikua anae best yake huko hospital na walikua wakielezana mamb yao na hata la mangcobo kutaka kumuua tena inno walishirikishana bhas siku ya siku uyo besti akaruhusiwa na kutoka...... akamwambia ufanye nawe haraka utoke bhas wakaagana...... usiku wake besti yake ghafla anaingia chumba cha Mangcobo na kumwambia tusepe ili amtoroshe mangcobo anabaki na butwaa haamini.... kisha wakasepa..... Nkunzi na inno sjui watajisikiaje kusikia mangcobo katoroka..?
J3 msiikose wadau nimejaribu kueleza yote nnayokumbuka niliyosahau watajazia wengine
Kibunango Its Pancho Jackal
pamoja sanaumetisha mwanangu,blessed
Oya mywangu umetishaaaaInnocentia hakufa... na kamfata mangcobo hospitali na kuanza kumtisha..
Mumsy ni bata bata na yeye, siku moja kaandaa party kwa mamfundisi wakiwa wametoka na mumewe ni kuparty tu mama kurud anakuta nyumba yake imegeuka disko.... mama akaanza timua kila mmoja wakatoka
Mumsy kaona uboya akasepa home ye akawa n mtu wa kuparty tu zweli anamtafta kila day lakini Mumsy akomi akaona isiwe tabu siku akaenda mtafta na kuchukua kumrudisha kwao... akamwambia we ni mzuri nje lakini matendo yako ni ovyo me na ww leo bhas nakurudisha kwenu.....
Kwa mama pastor hapatan kabisa na mumsy kwaajili amebadilika na kurudia tabia yake ya mwanzo, siku yupo nyumban baba yake anamuuliza naona umerudia tabia yako ya mwanzo na mumsy kaanza kuja juu na kufoka oooh "unajifanya saiv unanijali mbna nilivyokua mdogo hukua na mda na mm sai ndio kujifanya" na mamb mengine ka hayo then akawafyonza na kusepa chumban kwake.... saiyo manzunza hakutia neno kaacha mzazi na mwanae wamalize majibizano yao.
Gc alichomwa kisu sikuona ilikuaje hapo ila alikutwa kwenye jumba bovu na damu zikiwa zimemvuja nyingi na kupelekwa hospitali... shosti zake wakaenda kumwona na jojo pia.. ila wakaona hali imekua tete wakamtafta mama yake ndipo alipokuja kumwona hospitali...
Mangcobo sasa akiwa mental health kule baada ya inno kurud mjengoni anamfuata mangcobo na kumtambia ila mangcobo anamwomba jambo moja tu kuwa asimfukuze mwanae pale.... inno anajibu kwa majigambo ntafikiria...
Nosi anakuja kujua siri na ambayo ni udhahifu pia wa inno kua anatembea na shemej yake (mpenzi wa nosi kwa sasa) jina silifaham. Mangcobo baada ya kupata taarifa hiyo anaona kwake n chance nzuri kwake kuitumia kutoka hapo hospitali... anampigia inno na kumtisha kwa siri hiyo na kumwambia kupona kwako kaniletee hela iliyopo kwnye safe... (kutaka huko ela inakuja baada ya hapo nyuma kumwita zweli amletee pesa ili ahonge atoke hapo ila plan inagonga mwamba baada ya dokta kumgeuka na kujidai kutoa taarifa kwa maaskari kua anapewa rushwa.. ela zikapotea kiivo baadae dokta anamfata anamwambia izo pesa azitoshi kwa jambo unalolitaka na kumtaka mangcobo aongeze pesa) kisa ndo hicho....
kurudi kwa inno akawa anawaza namna ya kuchukua hizo pesa wakiwa wanakula mezan mawazo yanakua n mengi na kumfanya ashindwe kula anaulizwa vipi na kudanganya n kichwa kinamuuma na kutaka kwenda kijipumzisha mumewe anamuambia twende nikupeleke anakataa na kusema anaweza kwenda kisha anasepa........
anafika chumbani na kufungua safe lakini ghafla anaskia mumewe anamwita anafunga chap na kujifanya alikua amesimama na kusema kichwa kinamuuma sana
siku ya pili pia anajaribu tena mara hii akafumwa live na hela akiwa kashazitoa. Hakuwa na namna tena ikabidi kusema yoote hadi kucheat kwake na shemeji mtu... na ndio maana mangcobo alikua anatumia udhahifu huo....
Mishe inafeli kwa mangcobo. Ino anabaki na mumewe nkunzi na nkunzi akiwa na nosi... nosi anamsisitiza akamtoe mangcobo kule hospitali ila nkunzi anaghairi baada ya kumshirikisha inno kuhusu kutaka kumtoa mangcobo na kuja kuishi pamoja kama familia ila inakua ngumu kwa inno na kumwambia nkunzi kua mangcobo alitaka kumuua kwa kumtupia korongoni....
Nkunzi anashangaa kwa taarifa hizo na kumfata mangcobo na kuumuambia kwanini ajawahi mwambia kuhusu tukio ilo na mangcobo anaeleza kua inno pia alitaka kumuua hivyo alifanaya vile kwa kujitetea nkunzi anakasirika na kusema hataki kusikia lolote kuhusu yeye kisha akaondoka.
Inno kwavalishwa pete na nkunzi kwamadai wanarenew ndoa yao... inno kwa kiherehere zaidi kaenda
mringishia mangcobo.. mangcobo roho ikamuuma kweli na kuivua pete aliyovalishwa na nkunzi...
Ukirudi kwa mangcobo alikua anae best yake huko hospital na walikua wakielezana mamb yao na hata la mangcobo kutaka kumuua tena inno walishirikishana bhas siku ya siku uyo besti akaruhusiwa na kutoka...... akamwambia ufanye nawe haraka utoke bhas wakaagana...... usiku wake besti yake ghafla anaingia chumba cha Mangcobo na kumwambia tusepe ili amtoroshe mangcobo anabaki na butwaa haamini.... kisha wakasepa..... Nkunzi na inno sjui watajisikiaje kusikia mangcobo katoroka..?
J3 msiikose wadau nimejaribu kueleza yote nnayokumbuka niliyosahau watajazia wengine
Kibunango Its Pancho Jackal
Hapana ni yule yule ambaye ni ndugu wa nkunzi(jina lake ndio c'lifahamu.)Oya mywangu umetishaaaa
Demu wangu nosi ana bwana mwengine?
Mxo vipi?