Uzalo Special Thread

Uzalo Special Thread

Mimi sijawahi kumchukia mabuza licha ya mwili wake kukaa kizembe lakini linatumia.akili sana hata uchawa wake ni Wa faida kwa xulu.

Tatizo linapenda kula sana siku hizi simuoni na pipi,
 
Uzalo wanapenda misiba nao, huu msiba wa tatu hapo kwamashu, acha kuhesabu misiba ya wahalifu kama kina sqemeza na wengine ambao misiba yao hawaiwekagi kwenye storyline
 
Uzalo wanapenda misiba nao, huu msiba wa tatu hapo kwamashu, acha kuhesabu misiba ya wahalifu kama kina sqemeza na wengine ambao misiba yao hawaiwekagi kwenye storyline
Wa nne au tano: Sindisiwe, Xulu, Squemeza, Nombuso na sasa Amandla!!!
 
Kwa wataoiyona ya leo jioni ni kwamba yule mama Mkolisi kaenda kubadirisha majibu ya DNA, kwaiyo ngoma ngumu hapo, na pia mastermind anaanza kuwa na bifu mdogo mdogo na Xulu hapo, vipi ndo kwanza movie ndo inaanza😁
 
Kwa wataoiyona ya leo jioni ni kwamba yule mama Mkolisi kaenda kubadirisha majibu ya DNA, kwaiyo ngoma ngumu hapo, na pia mastermind anaanza kuwa na bifu mdogo mdogo na Xulu hapo, vipi ndo kwanza movie ndo inaanza😁
duh kweli huyu mama ni muuaji...
 
We zetu afrika kusini bwana, toka tumeanza kuangalia uzalo hakuna mtu anaitwa innocent, Rebecca wala frederick
Ni mwendo wa nombuso, nkosinati, dhlomo [emoji23][emoji23][emoji23]
Mpaka unajielewa kuwa unaangalia tamthilia ya kiafrika,
Kazi ipo bongo, majina yetu ya asili watu washayasahau
 
Halafu sio majina wanayoigizia tu, wasauzi wanatumia majina zaidi ya kiasili kuliko ya kizungu
 
We zetu afrika kusini bwana, toka tumeanza kuangalia uzalo hakuna mtu anaitwa innocent, Rebecca wala frederick
Ni mwendo wa nombuso, nkosinati, dhlomo [emoji23][emoji23][emoji23]
Mpaka unajielewa kuwa unaangalia tamthilia ya kiafrika,
Kazi ipo bongo, majina yetu ya asili watu washayasahau
😅😅kweli kabisa huku utaskia Ethan, Purity, Nathan...🤣
 
Wakuu kwa Wale wapenzi wa isidingo tuliipenda sana lakini hakuna kisicho na mwisho. Hivyo kwa sisi wafuatiliaji wa itv. Wameamua kutuletea tamthilia mpya ya UZALO japo sina hakika kama ni mpya kabisa ni ya muda kidogo. Kama mwaka juzi

Hivyo uzi huu ni wa kupeana update kwa Wale watakaokosa na ikiwezekana kuweka mkeka wote kiufupisho kidogo hapa. Imeanza ina kama mwezi uzuri waigizaji wa isidingo wapo humu humu. Kuna lungi wa isidingo yupo humu kacheza kama sindi.

Kuna yule aliyekuwa mzee wake sechaba kacheza kama inspector dhlomo.


Ni balaa hii
View attachment 1831308
View attachment 1831309View attachment 1831310
View attachment 1831311
Huna kaz eeh
 
Mxo amekutana na makaratasi ambayo Numbuso alikuwa nayo siku ambayo alikuwa anataka kumwambia ukweli

Makaratas hayo yanaweza kuwa yale yenye ukweli kuhusu Ayanda na Mxo na wazazi wao wa kweli
 
Mxo amekutana na makaratasi ambayo Numbuso alikuwa nayo siku ambayo alikuwa anataka kumwambia ukweli

Makaratas hayo yanaweza kuwa yale yenye ukweli kuhusu Ayanda na Mxo na wazazi wao wa kweli
Ndo yenyewe,ngoja tusubiri J3 itakuweje, patam hapo.
Naona Mk alipewa kibano na Gxabhashe sasa hv kawa mpole kwelikweli, hsna tena mbwembwe zake zile
 
mama ngcobo muhuni sana kama mumewe,
niliona jana mxo kafungua mkoba wa nombuso kakuta zile paper sijui itakuwaje ?
mshkji wangu mabuza sijamuona sijapenda. 🙂🙂
nadhani mxo anajichimbia kaburi baba yake kaamua kumuacha {japo baba feki]

Jagiya naona mumeo alimpa zweli makavu utakuwa umemfundisha 🙂🙂
na wewe crush wa xulu Vera ginger si bora ukate tamaa tuyajenge maana mama ngcobo kakaba mpaka penalti🙂

nilikuwepo
 
Back
Top Bottom