Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
- Thread starter
- #801
Nipo nilikuwa namsalaundia amandla mwana wa xulunipo nimejaaa tele... upo adim
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipo nilikuwa namsalaundia amandla mwana wa xulunipo nimejaaa tele... upo adim
tenaa😲😄Nipo nilikuwa namsalaundia amandla mwana wa xulu
Niko singo ujue vipi mbona niliskia Jana kelele za dhlomo ulimpa nini?😀😀😀tenaa😲😄
😅😅😅acha tu... kwanza uyo captain ananitibua kinoma ety anataka kumpeleka kituo kipya 😤Niko singo ujue vipi mbona niliskia Jana kelele za dhlomo ulimpa nini?😀😀😀
Hajui huyo ndo mtibua nyongo ndo maana Mzee akagoma haha😅😅😅acha tu... kwanza uyo captain ananitibua kinoma ety anataka kumpeleka kituo kipya 😤
sindio... hawezi chomokaa hapaa😅Hajui huyo ndo mtibua nyongo ndo maana Mzee akagoma haha
Wa nne au tano: Sindisiwe, Xulu, Squemeza, Nombuso na sasa Amandla!!!Uzalo wanapenda misiba nao, huu msiba wa tatu hapo kwamashu, acha kuhesabu misiba ya wahalifu kama kina sqemeza na wengine ambao misiba yao hawaiwekagi kwenye storyline
duh kweli huyu mama ni muuaji...Kwa wataoiyona ya leo jioni ni kwamba yule mama Mkolisi kaenda kubadirisha majibu ya DNA, kwaiyo ngoma ngumu hapo, na pia mastermind anaanza kuwa na bifu mdogo mdogo na Xulu hapo, vipi ndo kwanza movie ndo inaanza😁
😅😅kweli kabisa huku utaskia Ethan, Purity, Nathan...🤣We zetu afrika kusini bwana, toka tumeanza kuangalia uzalo hakuna mtu anaitwa innocent, Rebecca wala frederick
Ni mwendo wa nombuso, nkosinati, dhlomo [emoji23][emoji23][emoji23]
Mpaka unajielewa kuwa unaangalia tamthilia ya kiafrika,
Kazi ipo bongo, majina yetu ya asili watu washayasahau
... na inavutia kiukweli sasa sai kwetu huku umasaini umwite mtoto Nailejileji Lokindubulu..😅aje akue aende town ajanjaruke, Utamkuta anajiita Nice😂Halafu sio majina wanayoigizia tu, wasauzi wanatumia majina zaidi ya kiasili kuliko ya kizungu
Huna kaz eehWakuu kwa Wale wapenzi wa isidingo tuliipenda sana lakini hakuna kisicho na mwisho. Hivyo kwa sisi wafuatiliaji wa itv. Wameamua kutuletea tamthilia mpya ya UZALO japo sina hakika kama ni mpya kabisa ni ya muda kidogo. Kama mwaka juzi
Hivyo uzi huu ni wa kupeana update kwa Wale watakaokosa na ikiwezekana kuweka mkeka wote kiufupisho kidogo hapa. Imeanza ina kama mwezi uzuri waigizaji wa isidingo wapo humu humu. Kuna lungi wa isidingo yupo humu kacheza kama sindi.
Kuna yule aliyekuwa mzee wake sechaba kacheza kama inspector dhlomo.
Ni balaa hii
View attachment 1831308
View attachment 1831309View attachment 1831310
View attachment 1831311
Ndo yenyewe,ngoja tusubiri J3 itakuweje, patam hapo.Mxo amekutana na makaratasi ambayo Numbuso alikuwa nayo siku ambayo alikuwa anataka kumwambia ukweli
Makaratas hayo yanaweza kuwa yale yenye ukweli kuhusu Ayanda na Mxo na wazazi wao wa kweli