Uzalo Special Thread

Uzalo Special Thread

mxolisi Why did you kill the Boy?
Kumamamammae ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ™Œ๐Ÿพ๐Ÿ™Œ๐Ÿพ
 
huyu Malaya nosi atakayeoa sijui kama atapata kitu mimi nimemaliza aseeh.
Yaani watu wote kwamashu watamptia sasa..
Mondil mwenyewe anamlia buyu hakaoni aibu kademu haka..
Kanaweza mchoma mama yake haka sikaamini kabisa.
 
huyu Malaya nosi atakayeoa sijui kama atapata kitu mimi nimemaliza aseeh.
Yaani watu wote kwamashu watamptia sasa..
Mondil mwenyewe anamlia buyu hakaoni aibu kademu haka..
Kanaweza mchoma mama yake haka sikaamini kabisa.

[emoji23]
 
Wako, komaa nae tu bro..[emoji23]
Naona una mlengo wa kunichafua
Huyo tumeshapeana talaka au hujaskia.?
Mondil wako mmefikia wapi? Jamaa anafanya kazi mpaka over time.. ๐Ÿ˜€
 
Mxo pale alipojaribu kupiga simu ya nkosinathi ndio ameharibu yule IT alikuwa kaweka mtego simu itayopigwa.. Maskini mxo daah. Anapitia magumu sana

Ila manzuza mbishi huwa hajifunzi ulokole umempeleka sana puta.
Kafukuza dada yake aliyekuja kutambika.

Mondil anapiga kazi sana huyu jamaa mwanzo watu tulizani atakuwa chawa wa xulu.
 
Naona una mlengo wa kunichafua
Huyo tumeshapeana talaka au hujaskia.?
Mondil wako mmefikia wapi? Jamaa anafanya kazi mpaka over time.. [emoji3]

Yupo vizuri, nazidi kumpenda heโ€™s after kaziโ€ฆnosi alikua anajifanya kujifanyisha mazoezi akapitwa pyuuuuuuu[emoji23] i love the man for sure [emoji3590]
 
Yupo vizuri, nazidi kumpenda heโ€™s after kaziโ€ฆnosi alikua anajifanya kujifanyisha mazoezi akapitwa pyuuuuuuu[emoji23] i love the man for sure [emoji3590]
Lakini si ulidai ni chawa wa xulu?๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
 
ndio maana siku anaingia kazini xulu akatorokaโ€ฆnimejifunza kitu โ€œnot to judge anyoneโ€
Haya huyo ni mumeo mtamalizana huko huko ndani msitutangazie ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
 
Back
Top Bottom