Uzalo Special Thread

Uzalo Special Thread

Inaendelea,Mamlambo anafanya matambiko yake kwa familia ya xulu.na yameenda kombo tena
 
Ayanda na Pastor midevu pamechimbika kule kanisani. Kiwete feki aliyeletwa kwa wheelchair na kuombewa akapona, ameletwa na binti wa Dhlomo pale kanisani ili atoe ushahidi
 
Oya leteni update zote hapa jamani wengine tupo shift za usiku khee
 
Nimeona leo kwa mara ya kwanza. Ina story nzuri... Ayanda akiwa na hekaheka zake za kuanzisha kanisa lake....
 
Baadhi ya vipengele nilivyo bahatika kuviona.... .
Ayanda na nkosi wakitunishiana vifua wakiwa ofisini(japo skuelewa
mabishano yale kwan yalikua mwishoni)
Nosi akiwa njian anakutana na mondli na mkewe yule, nosi akimwomba msamaha mondli na kumwambia kua alikua anafanya kumsaidia mondli akasema hana shida... sa huyu mkewe alivyo na kihere anaanza mtambia nosi kuhusu wao kufunga ndoa nosi akampa hongera na kutaka kusepa ila uyu kisansuda bado akawa anamtambia nosi nosi akampush na kusepa
sma bado hamuelewi kakae na kumuuliza kuhusu fenicha zimeenda wapi... ila master akamweleza anajua anachokifanya hivyo akae kwa kutulia
mondli anaingia kwa mangcobo kuleta taarifa kuhusu kesi ya bandile na kusema kua inaweza funguliwa iwapo utapatikana ushahidi mpya jabulile na nosi wakifurahi ila sura za mashaka zikiwajaa mangcobo na mxo
Ayanda akiwa anapata chakula na mpenzi wake ghafla anamuona kijana alieponywa na nkosi😂yule kilema alietembea.. na ayanda kwenda kumuuliza anapata majibu kua hakuwai kuwa kilema.... ayanda anafikisha madai kwenye bodi ya kanisa akiwa karikodi kabisa ila hawakutaka kumwamini na ayanda akasema ntakuja nae athibitishe baadhi ya wanamemba wakakubali kasoro mmoja yule mama ras (simjui jina)
Siku ya ibada kama kawa nkosi na huduma zake za mafuta watu wakitoka mbele kutoa sadaka na kuchukua mafuta ayanda anaingia na kugomba kwa kitendo kile na kusema ni upotoshaji kisha akipiga teke meza ya mafuta na kutunishiana kifua na nkosi ghafla yule jamaa alieponywa uongo anaingizwa na mtoto wa dhlomo....huku nkosi akijawa na wasiwasi
Vera ginger Its Pancho
 
Baadhi ya vipengele nilivyo bahatika kuviona.... .
Ayanda na nkosi wakitunishiana vifua wakiwa ofisini(japo skuelewa
mabishano yale kwan yalikua mwishoni)
Nosi akiwa njian anakutana na mondli na mkewe yule, nosi akimwomba msamaha mondli na kumwambia kua alikua anafanya kumsaidia mondli akasema hana shida... sa huyu mkewe alivyo na kihere anaanza mtambia nosi kuhusu wao kufunga ndoa nosi akampa hongera na kutaka kusepa ila uyu kisansuda bado akawa anamtambia nosi nosi akampush na kusepa
sma bado hamuelewi kakae na kumuuliza kuhusu fenicha zimeenda wapi... ila master akamweleza anajua anachokifanya hivyo akae kwa kutulia
mondli anaingia kwa mangcobo kuleta taarifa kuhusu kesi ya bandile na kusema kua inaweza funguliwa iwapo utapatikana ushahidi mpya jabulile na nosi wakifurahi ila sura za mashaka zikiwajaa mangcobo na mxo
Ayanda akiwa anapata chakula na mpenzi wake ghafla anamuona kijana alieponywa na nkosi😂yule kilema alietembea.. na ayanda kwenda kumuuliza anapata majibu kua hakuwai kuwa kilema.... ayanda anafikisha madai kwenye bodi ya kanisa akiwa karikodi kabisa ila hawakutaka kumwamini na ayanda akasema ntakuja nae athibitishe baadhi ya wanamemba wakakubali kasoro mmoja yule mama ras (simjui jina)
Siku ya ibada kama kawa nkosi na huduma zake za mafuta watu wakitoka mbele kutoa sadaka na kuchukua mafuta ayanda anaingia na kugomba kwa kitendo kile na kusema ni upotoshaji kisha akipiga teke meza ya mafuta na kutunishiana kifua na nkosi ghafla yule jamaa alieponywa uongo anaingizwa na mtoto wa dhlomo....huku nkosi akijawa na wasiwasi
Vera ginger Its Pancho
Safi Sana
Hakika wewe ni wa pekee Sana, kila unayemuuliza update analeta kifupi fupi tu.

Pasaka hii jiandae
 
Baadhi ya vipengele nilivyo bahatika kuviona.... .
Ayanda na nkosi wakitunishiana vifua wakiwa ofisini(japo skuelewa
mabishano yale kwan yalikua mwishoni)
Nosi akiwa njian anakutana na mondli na mkewe yule, nosi akimwomba msamaha mondli na kumwambia kua alikua anafanya kumsaidia mondli akasema hana shida... sa huyu mkewe alivyo na kihere anaanza mtambia nosi kuhusu wao kufunga ndoa nosi akampa hongera na kutaka kusepa ila uyu kisansuda bado akawa anamtambia nosi nosi akampush na kusepa
sma bado hamuelewi kakae na kumuuliza kuhusu fenicha zimeenda wapi... ila master akamweleza anajua anachokifanya hivyo akae kwa kutulia
mondli anaingia kwa mangcobo kuleta taarifa kuhusu kesi ya bandile na kusema kua inaweza funguliwa iwapo utapatikana ushahidi mpya jabulile na nosi wakifurahi ila sura za mashaka zikiwajaa mangcobo na mxo
Ayanda akiwa anapata chakula na mpenzi wake ghafla anamuona kijana alieponywa na nkosi[emoji23]yule kilema alietembea.. na ayanda kwenda kumuuliza anapata majibu kua hakuwai kuwa kilema.... ayanda anafikisha madai kwenye bodi ya kanisa akiwa karikodi kabisa ila hawakutaka kumwamini na ayanda akasema ntakuja nae athibitishe baadhi ya wanamemba wakakubali kasoro mmoja yule mama ras (simjui jina)
Siku ya ibada kama kawa nkosi na huduma zake za mafuta watu wakitoka mbele kutoa sadaka na kuchukua mafuta ayanda anaingia na kugomba kwa kitendo kile na kusema ni upotoshaji kisha akipiga teke meza ya mafuta na kutunishiana kifua na nkosi ghafla yule jamaa alieponywa uongo anaingizwa na mtoto wa dhlomo....huku nkosi akijawa na wasiwasi
Vera ginger Its Pancho
Ahsante kipenzi
 
Ya Jana nimeifurahia Sana😂😂😂 celebration ikawa ovyoooo
 
Baadhi ya vipengele nilivyo bahatika kuviona.... .
Ayanda na nkosi wakitunishiana vifua wakiwa ofisini(japo skuelewa
mabishano yale kwan yalikua mwishoni)
Nosi akiwa njian anakutana na mondli na mkewe yule, nosi akimwomba msamaha mondli na kumwambia kua alikua anafanya kumsaidia mondli akasema hana shida... sa huyu mkewe alivyo na kihere anaanza mtambia nosi kuhusu wao kufunga ndoa nosi akampa hongera na kutaka kusepa ila uyu kisansuda bado akawa anamtambia nosi nosi akampush na kusepa
sma bado hamuelewi kakae na kumuuliza kuhusu fenicha zimeenda wapi... ila master akamweleza anajua anachokifanya hivyo akae kwa kutulia
mondli anaingia kwa mangcobo kuleta taarifa kuhusu kesi ya bandile na kusema kua inaweza funguliwa iwapo utapatikana ushahidi mpya jabulile na nosi wakifurahi ila sura za mashaka zikiwajaa mangcobo na mxo
Ayanda akiwa anapata chakula na mpenzi wake ghafla anamuona kijana alieponywa na nkosi😂yule kilema alietembea.. na ayanda kwenda kumuuliza anapata majibu kua hakuwai kuwa kilema.... ayanda anafikisha madai kwenye bodi ya kanisa akiwa karikodi kabisa ila hawakutaka kumwamini na ayanda akasema ntakuja nae athibitishe baadhi ya wanamemba wakakubali kasoro mmoja yule mama ras (simjui jina)
Siku ya ibada kama kawa nkosi na huduma zake za mafuta watu wakitoka mbele kutoa sadaka na kuchukua mafuta ayanda anaingia na kugomba kwa kitendo kile na kusema ni upotoshaji kisha akipiga teke meza ya mafuta na kutunishiana kifua na nkosi ghafla yule jamaa alieponywa uongo anaingizwa na mtoto wa dhlomo....huku nkosi akijawa na wasiwasi
Vera ginger Its Pancho
Umeelezea vizuri sana itabidi Jumatatu nifatilie muendelezo maana Itv walijua kuturudisha nyuma
 
Umeelezea vizuri sana itabidi Jumatatu nifatilie muendelezo maana Itv walijua kuturudisha nyuma
🤗.. waliturudisha sanaaa, nilishasahau hadi muda wakuangalia... unaangalia kwa kubahatisha
 
Ninachoipendea hii Tamthilia ni kwamba wanaendana na reality wamewekeza na ukiangalia unaona kabisa hapa hela imetumika ukianza tu na ndinga wanazotumia mule

Ayanda:Volkswagen
Ghabashe:Jaguar
Mkhonto:Bmw

Gari waliyoiba Mxo na Mastermind :Bmw i8

Mastermind Audi v10
Mxolisi Porsche 911
Zakhele Mkhize:Vintage
 
Baadhi ya vipengele nilivyo bahatika kuviona.... .
Ayanda na nkosi wakitunishiana vifua wakiwa ofisini(japo skuelewa
mabishano yale kwan yalikua mwishoni)
Nosi akiwa njian anakutana na mondli na mkewe yule, nosi akimwomba msamaha mondli na kumwambia kua alikua anafanya kumsaidia mondli akasema hana shida... sa huyu mkewe alivyo na kihere anaanza mtambia nosi kuhusu wao kufunga ndoa nosi akampa hongera na kutaka kusepa ila uyu kisansuda bado akawa anamtambia nosi nosi akampush na kusepa
sma bado hamuelewi kakae na kumuuliza kuhusu fenicha zimeenda wapi... ila master akamweleza anajua anachokifanya hivyo akae kwa kutulia
mondli anaingia kwa mangcobo kuleta taarifa kuhusu kesi ya bandile na kusema kua inaweza funguliwa iwapo utapatikana ushahidi mpya jabulile na nosi wakifurahi ila sura za mashaka zikiwajaa mangcobo na mxo
Ayanda akiwa anapata chakula na mpenzi wake ghafla anamuona kijana alieponywa na nkosi[emoji23]yule kilema alietembea.. na ayanda kwenda kumuuliza anapata majibu kua hakuwai kuwa kilema.... ayanda anafikisha madai kwenye bodi ya kanisa akiwa karikodi kabisa ila hawakutaka kumwamini na ayanda akasema ntakuja nae athibitishe baadhi ya wanamemba wakakubali kasoro mmoja yule mama ras (simjui jina)
Siku ya ibada kama kawa nkosi na huduma zake za mafuta watu wakitoka mbele kutoa sadaka na kuchukua mafuta ayanda anaingia na kugomba kwa kitendo kile na kusema ni upotoshaji kisha akipiga teke meza ya mafuta na kutunishiana kifua na nkosi ghafla yule jamaa alieponywa uongo anaingizwa na mtoto wa dhlomo....huku nkosi akijawa na wasiwasi
Vera ginger Its Pancho

asante kwa maelezo haya….umeupiga mwingi
 
Back
Top Bottom