Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nkosi sasa hivi ni Mtume (Apostle). Kapewa na kiti cha kifalme. Sba inaonekana alifanya uhuni sasa anatafutwa ndo kakamatwa. Tusubiri kesho tuone yatakayotokea. Leo hapakuwa na mambo mengi sana bali ni Utume wa Nkosi, kutekwa kwa Sba, Kesi ya kina Mso na Sweli kupewa hukumu na Mimba ya Sma pamoja na kutimula kwa Lindiwe na Mansuza. Ila sasa ni patamu. Tukutane kesho Kwamashu. Kikubwa ni wale watoto waliocheza kumkaribisha mtume Nkosi; jamani hivi wanajaladia huko nyuma au ndivyo wazulu walivyo?Alafu kule kanisani penyewe vimbwenga tu, yani hata sielewi pastor anajifanya mfalme mara kuingia na matarumbeta na wacheza shoo…waumini wenyewe hawaelewi wanashangaa kama mimi[emoji1787]
Ahsante kwa updateKwa ufupi kabisa
Zweli na sma wamefanikiwa kumzika baba yao kwa heshima,
Mxo na zweli wamekutwa na hatia so wamehukumiwa 3 years jela,
Kuna kaka amekuja kwamashu akawa anamuulizia mdada kwa kuonyesha picha akaelezwa huyo dada anapokaa
Ayanda anaongea na manzuza kuhusu smangele na ayanda anasema hana namna itabidi amuoe sma sasa muda anaongea hiyo sentensi sbanle ndo anaingia na anamsikia ile ayanda anageuka sbanle anatoka mbio anakimbia
Yule jamaa aliekua anamuulizia mdada anakutana na sbanle anakimbia sba kumuona huyo kaka anashtuka na kugeuza kukimbia yule kaka anamkamata na kumbeba juujuu anamfungia kwenye buti na kutokomea pasipo julikana. IMEISHIA HAPO
(Ila nachoka kuandika ingekua kuna voice note ingekua poa sana[emoji3])
Sba alifanya kosa Gani? Au mapito yake?Kwamashu ni pazuri jamani leo walikua wanaonyesha view kwanzia juu mji umejipanga vizuri sana ule [emoji4]
Sba alifanya kosa Gani? Au mapito yake?
Ok,mambo ni moto kwelii kweli,sitaikosa leoBado hatujajua alifanya nini
Sielewi mlokole gani yule?Tuache utani Manzuza anajifanya kupenda kusali lkn sio mtu wa kusamehe
Ana vinyongo mnoo jmn
🤣🤣 nae hafai mama kijacho SmaSielewi mlokole gani yule?
Kiufupi kanisa zima limeoza kasoro demu wangu sma 😆
Imeniuma sana yaani wamempa mimba ayanda huyu ngoja nami nivizie sibahle 😆😆🤣🤣 nae hafai mama kijacho Sma
Yeeeeeeeeeeees 😆😆hapa tunaenda sawa sasa kudadekiNimefurahi kuona Mabuza amerudi huyu baba alijua kuichangamsha hii tamthiliya
Anataka kuwasaidia Mxo na Master mind ngoja tuone kama atawezaYeeeeeeeeeeees 😆😆hapa tunaenda sawa sasa kudadeki
😂😂 umechelewa amekutana na Amos hukooImeniuma sana yaani wamempa mimba ayanda huyu ngoja nami nivizie sibahle 😆😆
Ujue ya alhamisi na ijumaa jana sijacheki kabisa yaani hivi amos ndo huyo niliskia ni stranger alikuwa anamuulizia sibahle?😂😂 umechelewa amekutana na Amos hukoo