Uzalo Special Thread

Uzalo Special Thread

Alafu kule kanisani penyewe vimbwenga tu, yani hata sielewi pastor anajifanya mfalme mara kuingia na matarumbeta na wacheza shoo…waumini wenyewe hawaelewi wanashangaa kama mimi[emoji1787]
 
Alafu kule kanisani penyewe vimbwenga tu, yani hata sielewi pastor anajifanya mfalme mara kuingia na matarumbeta na wacheza shoo…waumini wenyewe hawaelewi wanashangaa kama mimi[emoji1787]
Nkosi sasa hivi ni Mtume (Apostle). Kapewa na kiti cha kifalme. Sba inaonekana alifanya uhuni sasa anatafutwa ndo kakamatwa. Tusubiri kesho tuone yatakayotokea. Leo hapakuwa na mambo mengi sana bali ni Utume wa Nkosi, kutekwa kwa Sba, Kesi ya kina Mso na Sweli kupewa hukumu na Mimba ya Sma pamoja na kutimula kwa Lindiwe na Mansuza. Ila sasa ni patamu. Tukutane kesho Kwamashu. Kikubwa ni wale watoto waliocheza kumkaribisha mtume Nkosi; jamani hivi wanajaladia huko nyuma au ndivyo wazulu walivyo?
 
Ila leo nimecheka Sana na mbwembwe za nkosi🤣🤣🤣🤣ana maigizo hatari
 
Kwa ufupi kabisa

Zweli na sma wamefanikiwa kumzika baba yao kwa heshima,

Mxo na zweli wamekutwa na hatia so wamehukumiwa 3 years jela,

Kuna kaka amekuja kwamashu akawa anamuulizia mdada kwa kuonyesha picha akaelezwa huyo dada anapokaa

Ayanda anaongea na manzuza kuhusu smangele na ayanda anasema hana namna itabidi amuoe sma sasa muda anaongea hiyo sentensi sbanle ndo anaingia na anamsikia ile ayanda anageuka sbanle anatoka mbio anakimbia

Yule jamaa aliekua anamuulizia mdada anakutana na sbanle anakimbia sba kumuona huyo kaka anashtuka na kugeuza kukimbia yule kaka anamkamata na kumbeba juujuu anamfungia kwenye buti na kutokomea pasipo julikana. IMEISHIA HAPO


(Ila nachoka kuandika ingekua kuna voice note ingekua poa sana[emoji3])
Ahsante kwa update
 
Kesho sitokosa hakika leo nilipitiws kidogo
Mapema ntakuwepo kwa sis d kabla sijaenda kwa pastor nkosi..

Kwaherini wahuni wangu mxo na zweli huko jela..
 
😂😂 umechelewa amekutana na Amos hukoo
Ujue ya alhamisi na ijumaa jana sijacheki kabisa yaani hivi amos ndo huyo niliskia ni stranger alikuwa anamuulizia sibahle?
Na je walidhulumiana nini au ndo sibahle kalikula hela za muhuni na mbususu kakagoma kutoa nini?
 
Nimeangalia marudio

Kumbe sibahle alikua Malaya muuza mbunye na boss wake ndo huyo jamaa(Amos) aliyemfuata kwamashu baada ya kutoroka Johannesburg

Amos anasema sibahle alikua anatoa Huduma nzuri kwa Wateja wake ndo maana amefuata akaendelee kutoa uroda Wateja wanamuuliziaa [emoji1787]
 
Back
Top Bottom