Uzamiaji Afrika Kusini: Mikasa katika harakati za kuzamia Afrika Kusini kwa njia za panya

Uzamiaji Afrika Kusini: Mikasa katika harakati za kuzamia Afrika Kusini kwa njia za panya

Naunga hoja, na pia sielewi wazamiaji wote wanakwenda bondeni tu. Maana asilimia 90 naona no SA tu.

Uzi ukichanganya wanautelekeza.

Anyway tusimhukumu kwa makosa ya wengine aendelee tu labda anaweza kuwa tofauti.
Nyie watu mnaotoa story kuhusu maisha yenu huko south Africa ni wa ajabu sn,mwanzo mnaanza vizuri sn unakuta episode ya Kwanza Hadi ya 10 unatiririka safi sn, sasa Uzi ukishaanza kuwa na traffic jam mnaanza kuringa. Sijui mnatuchukuliaje asee.

Ni heri tu mkae na Stori zeni msizilete huku.
 
Uzi kama huu huwa sijishughulishi kusoma
Naenda mpaka mwisho nikikuta itaendelea naachana nao
Refer Kanya na yule mwingine khumbu sijui mpaka uwabembelze
Ifike mahali tuachane na huu ujinga kwa nini msifanye kama Bujibuji au kuna mdau mwingine aliteswa na polisi wa south uzi wake wote umenyooka mwanzo mpaka mwisho hakuna itaendelea.

Sent from my SM-J730GM using JamiiForums mobile app
 
Nyie watu mnaotoa story kuhusu maisha yenu huko south Africa ni wa ajabu sn,mwanzo mnaanza vizuri sn unakuta episode ya Kwanza Hadi ya 10 unatiririka safi sn, sasa Uzi ukishaanza kuwa na traffic jam mnaanza kuringa. Sijui mnatuchukuliaje asee.

Ni heri tu mkae na Stori zeni msizilete huku.
hapo ukute siyo watu ni mtu na ID zake
 
Naunga hoja, na pia sielewi wazamiaji wote wanakwenda bondeni tu. Maana asilimia 90 naona no SA tu.

Uzi ukichanganya wanautelekeza.

Anyway tusimhukumu kwa makosa ya wengine aendelee tu labda anaweza kuwa tofauti.
Akiachia njiani namloga[emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom