igwee frm anambra
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 957
- 1,496
Naijua kila kona ya kule ....wewe ni chawa wa Lumumba buku 2 kwa sasa, hujawahi kutoka nje ya mkoa unaoishi.acha bangi, ina maana unavijua vitongoji vyote huku? acha ujuaji wewe niko kikazi huku boya wewe
Nyie watu mnaotoa story kuhusu maisha yenu huko south Africa ni wa ajabu sn,mwanzo mnaanza vizuri sn unakuta episode ya Kwanza Hadi ya 10 unatiririka safi sn, sasa Uzi ukishaanza kuwa na traffic jam mnaanza kuringa. Sijui mnatuchukuliaje asee.
Ni heri tu mkae na Stori zeni msizilete huku.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Story za South Africa hazijawahi kuisha salama, hebu tuonyeshe kama wewe unaweza.
😂😂😂Hakuna sehemu yoyote yenye jina hilo ktk nchi ya Africa kusini.
....sema tu upo Mpandangindo wewe mataga.
Hujaachaga tu....?[emoji28][emoji28][emoji854][emoji846]konda msafi please hii izime mapema sana,ile ya jamaa mwingine ulichelewa sana kuizima.
🤣🤣🤣Hujaachaga tu....?[emoji28][emoji28][emoji854][emoji846]
hapo ukute siyo watu ni mtu na ID zakeNyie watu mnaotoa story kuhusu maisha yenu huko south Africa ni wa ajabu sn,mwanzo mnaanza vizuri sn unakuta episode ya Kwanza Hadi ya 10 unatiririka safi sn, sasa Uzi ukishaanza kuwa na traffic jam mnaanza kuringa. Sijui mnatuchukuliaje asee.
Ni heri tu mkae na Stori zeni msizilete huku.
Akiachia njiani namloga[emoji1787][emoji1787]Naunga hoja, na pia sielewi wazamiaji wote wanakwenda bondeni tu. Maana asilimia 90 naona no SA tu.
Uzi ukichanganya wanautelekeza.
Anyway tusimhukumu kwa makosa ya wengine aendelee tu labda anaweza kuwa tofauti.
Shauri yake..Ila wanatuletea miyeyusho Tu Kwa kweli..hapo ukute siyo watu ni mtu na ID zake
Ww ni hatari sana [emoji23][emoji23][emoji23]Akiachia njiani namloga[emoji1787][emoji1787]