lulu za uru
JF-Expert Member
- Aug 7, 2015
- 2,557
- 3,221
Usipomaliza story yako nakushusha busha Mzee Baba. Tuelezane tu mapema.
Hapo ndio unakumbuka neno la kiswahiliKwa lile debe mlilomtwisha askari kama mlirudishwa aseeh. Ngoja tusubirie muendeleze
Mkuu umemaliza kla ktu.Hii story waweza ipata kwenye hii kitabu. Maana hawa watu wanatuchosha na itaendelea halafu bdye wanaoshia njianiView attachment 1769342
Muache msimuliaji asimulie hata vitabu huwa vinaupdatiwaHii story waweza ipata kwenye hii kitabu. Maana hawa watu wanatuchosha na itaendelea halafu bdye wanaoshia njianiView attachment 1769342muache
Scroll honey sio scrowKabla ya kuanza kusoma imebidi nianze kuscrow kwanza
Hii story waweza ipata kwenye hii kitabu. Maana hawa watu wanatuchosha na itaendelea halafu bdye wanaoshia njianiView attachment 1769342