konda msafi ,wewe ni mtu mzima tayari, jaribu kupunguza utoto, naona siku hizi umejivika cheo cha utambuzi whether story fulani ni kweli au sio kweli ,wewe ndio umekua hakimu
By the way story yako ulishaileta, imesomwa ikaisha, kaa pembeni, tulisoma story yako mpaka mwisho, hata ilipo onesha kuwa na makando kando, wengine sisi tunataka burudani.
Halafu hata kama ametunga lakini inatufurahisha tulio wengi, wewe ni nani hadi uje uanze kutoa shambo.
Kuna watu humu wameshaleta visa vya kweli ,story kali za kusisimua, kuliko hata hako ka story kako.Wakina Analyse,kigayoko, yule alieandika how I I met my wife, na nyingine nyingi za kutafuta utajiri kwa njia za kishirikina.
Lakini huwezi wakuta waki tangatanga kwenye story za watu kuziharibu, wewe sio mtanzania wa kwanza au wa mwisho kufika south,watu bado wanaendelea kwenda.
Unaudhi sana asee, kaa kwa kutulia, acha tupate buruani hayo mengine ya story ni kweli au sio kweli tumuachie mtoa mada,.au roho kama inakuuma jaribu kuomba kazi ya umoderator uwe unazifuta juu kwa juu.