je alishaanza kupata siku zake kabla hajaanza kutumia vidonge au siku zilikuja baada ya kuanza hizo pills. experience ni kwamba pills huwa zinasababisha period kuanza hata kama wakati wake ulikuwa bado (kuna wanawake wakijifungua hawapati hedhi mpaka wamalize kunyonyesha, na hii ni one of the natural ways za kupanga uzazi). wasiwasi wangu ni kwamba isije kuwa pills zilileta hedhi then baada ya kuacha kuzitumia zikapotea tena. sifahamu kuhusu sindano, ila pills zina-interfere mfumo wa hedhi ndio maana mtu akiacha kuinywa siku moja tu anaweza kuconceive siku hiyomhiyo. ila kama unahisi atakuwa na ujauzito, nunueni kipima mimba ili kuondoa wasiwasi wenu. pia ni vizuri mrudi kwa wataalamu wa uzazi wa mpango kwa ushauri zaidi